Maisha hayana formula, kuna watu wametoboa kupitia elimu (kuajiriwa) na kuna watu wametoboa kupitia kujiajiri
Kuna waliosema elimu ila wanakuta na kuna wasiosoma wanakuta, bora wangesoma iliwalipwe hata 350k
Kikubwa tuliotoboa kwa kujiajiri tuwaoneshe njia waliosoma na hawana ajira, ukizingatia elimu yote ni nadharia tupu na haimuandai graduates kujiajiri
Sasa kama unaona unaweza ukawasaidia vijana waliosoma basi fanya hivyo,
Lakini shida ya wakongo,, mtu akijiajiri na kupata vihela vya kula tena wengine hela ya kula majanga, wanaanza kuwakejeli waliosoma na kuwaona wajinga
Hivi hatujengi bali tunabomoa na kuzidisha chuki juu ya waliosoma na wàsiosoma