Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
- Thread starter
-
- #41
Hata wewe mwenyewe kiswahili kinakushinda, katika paragraph ya pili "............kiasi gani dereva teksi hakajibu...." unamaanisha nini unaposema hakajibu
Pili wasema rafiki yako alikuwa anakwenda katikati ya mji, kutoka Ubungo kwenda city centre ni Tshs 15 - 18 Thousand, unasema toka ubungo kwenda sinza, tangu lini sinza imekuwa katikati ya mji?
Umuhimu wa lugha hutegema na uhitaji wa matumizi ya hiyo lugha...
Kuna watu wa kada fulani kujifunza na kufahamu Umombo ni muhimu lakini kuna watu wa kada nyingine si muhimu...
Hivyo huwezi hitimisha kwa kuandika "Kiingereza ni muhimu" pasipo kutaja kwa makundi au kada zipi...
Kiongozi lazima akomalie lugha ya Taifa lake, hii ni sehemu ya utamaduni wetu na ni urithi wa Utaifa wetu.
Sijui kama umeshawahi kujifunza sifa za Taifa kuwa ni lazima wawe na lugha inayowatambulisha??
Watoto wao wanasoma shule hizo kwa kuwa wanahitaji kujua lugha hiyo, la hasha si lazima uende shule hizo ili ujue kwa uzuri lugha ya Umombo.
Nimekuelewa na na hata hiyo sentensi uliyoiandika kama hitimisho nimeiona...
Sijaipa uzito kwa kuwa karibu 90% ya habari yako umesisitiza umuhimu wa lugha ya Umombo...
Hivyo huwezi hitimisha kwa kuandika "Kiingereza ni muhimu" pasipo kutaja kwa makundi au kada zipi...
Kiongozi lazima akomalie lugha ya Taifa lake, hii ni sehemu ya utamaduni wetu na ni urithi wa Utaifa wetu.
Sijui kama umeshawahi kujifunza sifa za Taifa kuwa ni lazima wawe na lugha inayowatambulisha??"
End of qoute:-
Nilishazungumza hapa JF, Watanzania tunajifanya kama mbuni.
Tuna tabia ya kutia kichwa kichakani wakati mwili wote uko nje.... na kujiona eti tumejificha!
Wengi tunazungumza na kuandika Kiswahili kibovu kabisa! Kiingereza hatukijui si kwa kupenda wala uzalendo, bali ni kwa mfumo mbovu wa elimu ulioanzwa na Mwl. Nyerere kwa faida zake za kutaka umaarufu wa kisiasa.
Sisi ndio ma mbumbumbu wa Afrika Mashariki, na si kwa lugha tu.
Kuna rafik yangu hajui kiswahili ameingia Tanzania leo kuja kutalii, ametoka marekani akaenda kwanza Entebe Uganda, kisha Nairobi Kenya leo kafika Dar.
sasa kanipigia simu ananiuliza nimwambie maana ya ten book wameshindwa kuelewana na dereva teksi,amemuuliza dereva teksi kwenda katikati ya mji ni kiasi gani dereva teksi hakajibu teni buku yani anaamanishi buku teni ( 10,000)
na amejiona yuko sahihi.
kuna haja ya kujua vizuri kiswahili na kiingereza pia ni muhimu sana kwa dunia ya sasa hivi kama wewe ni mfanyabiashara.
Amesikitisha sana dereva teksi hatuna budi kujua ata vitu muhimu muhimu.
mbona wazungu weng tu kiingereza hawajui
Ninyi akina nani mambumbumbu?Hivyo huwezi hitimisha kwa kuandika "Kiingereza ni muhimu" pasipo kutaja kwa makundi au kada zipi...
Kiongozi lazima akomalie lugha ya Taifa lake, hii ni sehemu ya utamaduni wetu na ni urithi wa Utaifa wetu.
Sijui kama umeshawahi kujifunza sifa za Taifa kuwa ni lazima wawe na lugha inayowatambulisha??"
End of qoute:-
Sisi ndio ma mbumbumbu wa Afrika Mashariki, na si kwa lugha tu.
Kuna rafik yangu hajui kiswahili ameingia Tanzania leo kuja kutalii, ametoka marekani akaenda kwanza Entebe Uganda, kisha Nairobi Kenya leo kafika Dar.
sasa kanipigia simu ananiuliza nimwambie maana ya ten book wameshindwa kuelewana na dereva teksi,amemuuliza dereva teksi kwenda katikati ya mji ni kiasi gani dereva teksi hakajibu teni buku yani anaamanishi buku teni ( 10,000)
na amejiona yuko sahihi.
kuna haja ya kujua vizuri kiswahili na kiingereza pia ni muhimu sana kwa dunia ya sasa hivi kama wewe ni mfanyabiashara.
Amesikitisha sana dereva teksi hatuna budi kujua ata vitu muhimu muhimu.
Watu wa kada gani ambao hawatakiwi kujua kiingereza?
Dunia ya sasa hivi hujui ya kesho hivo ni vizuri ukajua mapema
Kwa wanaojua nasikia huwezi pata visa ya uk au usa kama hujui kingereza ni kweli?. Mbn wao wanakuja ilhali hata neno jambo hajui?.
Haja kubwa!
Jamaa atakua alikua anajoke ila anavyopenda kujisifu duh
Uongo huo maana bei haitoi picha halisi ya gharama ya taxi kutoka airport to city centre, kichekesho chako ungekifanya kiendane na hali halisi
Na we umeligundu hilo. Inabidi wawe wanafikiria kabla ya kupost. Kwanza hakuna dereva tax airport ambae ajui hii lugha ya akina thank you ya kutajia bei
narudia tena na nina sisitiza ya kwamba si kila mzungu ni muingereza.