Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
- Thread starter
- #41
Hata wewe mwenyewe kiswahili kinakushinda, katika paragraph ya pili "............kiasi gani dereva teksi hakajibu...." unamaanisha nini unaposema hakajibu
Pili wasema rafiki yako alikuwa anakwenda katikati ya mji, kutoka Ubungo kwenda city centre ni Tshs 15 - 18 Thousand, unasema toka ubungo kwenda sinza, tangu lini sinza imekuwa katikati ya mji?
Ilo la bei yeye kaambiwa 10k wewe unasema 15k.
Kama unaona aliambiwa ndogo kata rufaa