Kuna haja mamlaka husika kudhibiti wasafirisha mayai kwa baiskeli

Kuna haja mamlaka husika kudhibiti wasafirisha mayai kwa baiskeli

Mr Sir1

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2018
Posts
1,749
Reaction score
7,945
Kwa wanotumia Pugu/Nyerere Road kutokea Gongo la mboto kupitia Airport watakuwa mashuhuda wa utitiri wa wasafirisha mayai maarafu kama Wakurya wanao ongozana wakiwa na shehena za mayai kwenye baiskeli.

Tatizo linakuja kwa namna ya wanavyoongozana katika barabara kubwa na kuchomekea wenye magari. Na ikitokea kwa bahati mbaya ukamgusa mmoja wao basi wanakuzingira na kukufanyia fujo. Uendeshaji wao wa baiskeli ni wa hatari mno, kama haupo makini ni rahisi sana kuwagonga. Kitendo chao cha kutokutaka kuendesha pembezoni mwa barabara kunaleta hatari zaidi za kuweza kuwavaa na kuwagonga.

Mamlaka za usalama wa barabarani wanapaswa kuwaangalia kwa usalama wao na watumiaji wengine wa barabara na ikiwezekana kushurtishwa kwa faini pale wanapokosea kama watumiaji wa vyombo vya moto, labda hii italeta nidhamu kwao.
 
Unataka wasafirishe kwa punda au ndege?

Wameokoa polution, msongamano barabarani, wahatumii mafuta mnayogombnia, wewe unawatakia nini hawa watu? Walale njaa wewe utawapa watoto wao chakula au kuwasomesha? Sijasoma ulichoandika nimesoma heading tu ikani touch. Ningekuwa mod ningefuta hii mada.
 
Unataka wasafirishe kwa punda au ndege?

Wameokoa polution, msongamano barabarani, wahatumii mafuta mnayogombnia, wewe unawatakia nini hawa watu? Walale njaa wewe utawapa watoto wao chakula au kuwasomesha? Sijasoma ulichoandika nimesoma heading tu ikani touch. Ningekuwa mod ningefuta hii mada.
Wewe ni pimbi kama mapimbi wengine.

Haya kasome thread yote sasa
 
Acha kuingilia utafutaji wa watu
Unaweza kuwaajiri wewe

Ova
Huyo Mleta mada ni wale wenye vigari mitumba walivyonunua toka Japan kwa mkopo kazini kwao .Nyodo kibao !! Kigari kimeokotwa majalalani Japan akauziwa yeye basi anajiona barabara yote yake.

Matajiri hawana shida barabarani
 
Huyo Mleta mada ni wale wenye vigari mitumba walivyonunua toka Japan kwa mkopo kazini kwao .Nyodo kibao !! Kifaru kimeokotwa majalalani Japan akauziwa yeye basi unajiona barabara yote yake.

Matajiri hawana shida barabarani
Lazima ujue kuwa ni ya mtumba maana ndio inayomrudisha mkeo kila siku usiku akishatoka kuniuzia uchi wake.
 
Kwa nini ukose umakini katika kutumia chombo cha moto” kuendesha” wewe ndio wapaswa kufutiwa leseni
 
Wengi wanaobisha hawajakutana na zahma ya hao jamaa. Huwa wanaingia katikati ya barabara, na uingiaji wao ni ghafla mno kiasi kwamba kumgonga ni rahisi mno.
 
Huna point ya msingi waacheni watu waishi kwa Uhuru wewe unaendesha IST gar ya mil 2 lkn unaleta dharau kwa Mtu anayesafirisha Mayai ya mil 10 shame
 
Kwa wanotumia Pugu/Nyerere Road kutokea Gongo la mboto kupitia Airport watakuwa mashuhuda wa utitiri wa wasafirisha mayai maarafu kama Wakurya wanao ongozana wakiwa na shehena za mayai kwenye baiskeli.

Tatizo linakuja kwa namna ya wanavyoongozana katika barabara kubwa na kuchomekea wenye magari. Na ikitokea kwa bahati mbaya ukamgusa mmoja wao basi wanakuzingira na kukufanyia fujo. Uendeshaji wao wa baiskeli ni wa hatari mno, kama haupo makini ni rahisi sana kuwagonga. Kitendo chao cha kutokutaka kuendesha pembezoni mwa barabara kunaleta hatari zaidi za kuweza kuwavaa na kuwagonga.

Mamlaka za usalama wa barabarani wanapaswa kuwaangalia kwa usalama wao na watumiaji wengine wa barabara na ikiwezekana kushurtishwa kwa faini pale wanapokosea kama watumiaji wa vyombo vya moto, labda hii italeta nidhamu kwao.
So as long as si chombo cha moto, hakuna atakayehangaika nao..
 
Unataka wasafirishe kwa punda au ndege?

Wameokoa polution, msongamano barabarani, wahatumii mafuta mnayogombnia, wewe unawatakia nini hawa watu? Walale njaa wewe utawapa watoto wao chakula au kuwasomesha? Sijasoma ulichoandika nimesoma heading tu ikani touch. Ningekuwa mod ningefuta hii mada.
Ni usafiri hatarishi, hata kuwa rahisi mtu kupoteza mtaji wake in a second!! Kuwa positive kuwashauri watu ili kuboresha maisha yao, Mimi Naona wangekodi canter wakakutana na mayai Yao kunako Wateja Kwa kuchangia gharama ( group)
 
Tatizo barabara zenyewe finyu na watumiaji lukuki, unakuta hadi guta anakaa kwenye lane ya magari......yaani ni vurugu mechi, mleta mada upo sahihi ingawaje watu wanakushambulia kibinfasi.
 
Back
Top Bottom