Kuna haja mamlaka husika kudhibiti wasafirisha mayai kwa baiskeli

Kuna haja mamlaka husika kudhibiti wasafirisha mayai kwa baiskeli

Kutojimithilisha na magari na kutambua athari kubwa zaidi itapatikana kwao pale wanapomchomekea mwenye gari kupelekea kugongwa. Mayai yatavunjika pengine na mwili kuumia.
Bado hamna suluhu.

Suluhu pekee ni kujenga barabara zinazopitikana kwa magari, baiskeli na waenda kwa miguu ili kitu kipite kwenye njia yake. Ishauri mamlaka hivyo.
 
Bado hamna suluhu.

Suluhu pekee ni kujenga barabara zinazopitikana kwa magari, baiskeli na waenda kwa miguu ili kitu kipite kwenye njia yake. Ishauri mamlaka hivyo.
Hapana Suluhu ni mwenye gari kukata bima kubwa comprehensive insurance. Ukigonga ukigongwa bima inalipa.

Pesa inaamua kesi
 
Hapana Suluhu ni mwenye gari kukata bima kubwa comprehensive insurance. Ukigonga ukigongwa bima inalipa.

Pesa inaamua kesi
maskini ya Mungu ukute hata mkokoteni huna, umekaa hapa kubana kalio kuhusu Comprehensive Insurance. Hii ndo athari ya mitandao kila kapuku kujifanya anacho.
 
Hapana Suluhu ni mwenye gari kukata bima kubwa comprehensive insurance. Ukigonga ukigongwa bima inalipa.

Pesa inaamua kesi
Mkuu pesa haiwezi kurudisha uhai wa Binadamu,pesa haiwezi kufanya watu wasiwe makini kwenye suala la road safety.
 
Mkuu pesa haiwezi kurudisha uhai wa Binadamu,pesa haiwezi kufanya watu wasiwe makini kwenye suala la road safety.
tatizo wanaishi kwa kukariri. Wakikaa vijiwe vya magazeti wakisikia watu wanaongea na wao wanayabeba kama yalivyo kuyaleta huku kama wataalam vile.

Thamani ya pesa hukomea pale unapoweza itumia kununua mbadala wa kitu. Ushavunjika kiuno upo kitandani, hiyo comprehensive insurance sijui itakuwa na msaada gani tena.
 
Sasa hivi kugongwa hawa jamaa kumepungua kidogo tofauti na zamani,watu washawazoea.
 
Unataka wasafirishe kwa punda au ndege?

Wameokoa polution, msongamano barabarani, wahatumii mafuta mnayogombnia, wewe unawatakia nini hawa watu? Walale njaa wewe utawapa watoto wao chakula au kuwasomesha? Sijasoma ulichoandika nimesoma heading tu ikani touch. Ningekuwa mod ningefuta hii mada.
Punguza hasira. Umaskini siyo kigezo cha kuhatarisha maisha binafsi au ya wengine barabarani!

Uendeshaji mzuri wa baiskel zaidi ya mtu mmoja ni kuendesha kwa foleni, yaani mmoja mbele, na mmoja nyuma.

Sasa uendeshaji wa baiskel wa watu zaidi ya mmoja wakiwa sambasamba ni hatari kwa sababu wanabana barabara, wengine huingia ndani ya mstari wa barabara wa vyombo vya moto.

Watu wanataka waendeshe baiskeli sambasmba huku wakipiga stori barabarani. Ni hatari!
 
Kwa wanotumia Pugu/Nyerere Road kutokea Gongo la mboto kupitia Airport watakuwa mashuhuda wa utitiri wa wasafirisha mayai maarafu kama Wakurya wanao ongozana wakiwa na shehena za mayai kwenye baiskeli.

Tatizo linakuja kwa namna ya wanavyoongozana katika barabara kubwa na kuchomekea wenye magari. Na ikitokea kwa bahati mbaya ukamgusa mmoja wao basi wanakuzingira na kukufanyia fujo. Uendeshaji wao wa baiskeli ni wa hatari mno, kama haupo makini ni rahisi sana kuwagonga. Kitendo chao cha kutokutaka kuendesha pembezoni mwa barabara kunaleta hatari zaidi za kuweza kuwavaa na kuwagonga.

Mamlaka za usalama wa barabarani wanapaswa kuwaangalia kwa usalama wao na watumiaji wengine wa barabara na ikiwezekana kushurtishwa kwa faini pale wanapokosea kama watumiaji wa vyombo vya moto, labda hii italeta nidhamu kwao.
wewe utakuwa bodaboda tu
 
Unataka wasafirishe kwa punda au ndege?

Wameokoa polution, msongamano barabarani, wahatumii mafuta mnayogombnia, wewe unawatakia nini hawa watu? Walale njaa wewe utawapa watoto wao chakula au kuwasomesha? Sijasoma ulichoandika nimesoma heading tu ikani touch. Ningekuwa mod ningefuta hii mada.
Usichokijua mwendesha baisikeli yupo kundi la watembea kwa miguu, ndiyo maana vyombo vyao havisajiriwi, wanatakiwa wawe na njia yao, siyo barabara ya magari.
Hivyo wapitapo barabara kutaka kutunishiana na wenye magari ni kosa.
 
Huyo Mleta mada ni wale wenye vigari mitumba walivyonunua toka Japan kwa mkopo kazini kwao .Nyodo kibao !! Kigari kimeokotwa majalalani Japan akauziwa yeye basi anajiona barabara yote yake.

Matajiri hawana shida barabarani
Iwe ya mtumba, isiwe ndiyo ana gari, na hata kama ameikopa, halipi mawe, ila analipa pesa inayotokana na Jasho lake.

Kama mkopo ni bure, si ukachukue ya kwako, wewe hupindi kuwa na gari, acha dhalau wewe, watu wanakopa mabasi, yeye nani asikope, kama pesa inamruhisu.
 
Kwa wanotumia Pugu/Nyerere Road kutokea Gongo la mboto kupitia Airport watakuwa mashuhuda wa utitiri wa wasafirisha mayai maarafu kama Wakurya wanao ongozana wakiwa na shehena za mayai kwenye baiskeli.

Tatizo linakuja kwa namna ya wanavyoongozana katika barabara kubwa na kuchomekea wenye magari. Na ikitokea kwa bahati mbaya ukamgusa mmoja wao basi wanakuzingira na kukufanyia fujo. Uendeshaji wao wa baiskeli ni wa hatari mno, kama haupo makini ni rahisi sana kuwagonga. Kitendo chao cha kutokutaka kuendesha pembezoni mwa barabara kunaleta hatari zaidi za kuweza kuwavaa na kuwagonga.

Mamlaka za usalama wa barabarani wanapaswa kuwaangalia kwa usalama wao na watumiaji wengine wa barabara na ikiwezekana kushurtishwa kwa faini pale wanapokosea kama watumiaji wa vyombo vya moto, labda hii italeta nidhamu kwao.
Kumiliki kisubaru cha mkopo ndiyo unawaona warndesha baiskeli hawana haki ya kutumia barabara. Mbafu sana wewe
 
Mleta mada kumbuka wana familia na hawatapewa mbususu bila kuleta pesa na mahitaji ya msingi nyumbani.
Waache tu wakaze kende zao kujitafutia riziki yao.
 
Unataka wasafirishe kwa punda au ndege?

Wameokoa polution, msongamano barabarani, wahatumii mafuta mnayogombnia, wewe unawatakia nini hawa watu? Walale njaa wewe utawapa watoto wao chakula au kuwasomesha? Sijasoma ulichoandika nimesoma heading tu ikani touch. Ningekuwa mod ningefuta hii mada.
UKISOMA VIZURI HII MADA, KINA CHO LALAMIKIWA NI MATUMIZI YA BARABARA YASIO SAHIHI,NA SIO BIASHARA YAO YA MAYAI!!
KILA KITU KINATARATIBU ZAKE, NA NDIO ASILI YA BINADAMU.
MFANO: HUWEZI KUNYA KAMA HUJALA CHAKULA
HUWEZI PATA MIMBA KAMA HUJATIWA


HAO SIJUI WAKURYA, HAWAJAKUTANA NA SISI VICHAA WA BARABARANI!
 
Kwa wanotumia Pugu/Nyerere Road kutokea Gongo la mboto kupitia Airport watakuwa mashuhuda wa utitiri wa wasafirisha mayai maarafu kama Wakurya wanao ongozana wakiwa na shehena za mayai kwenye baiskeli.

Tatizo linakuja kwa namna ya wanavyoongozana katika barabara kubwa na kuchomekea wenye magari. Na ikitokea kwa bahati mbaya ukamgusa mmoja wao basi wanakuzingira na kukufanyia fujo. Uendeshaji wao wa baiskeli ni wa hatari mno, kama haupo makini ni rahisi sana kuwagonga. Kitendo chao cha kutokutaka kuendesha pembezoni mwa barabara kunaleta hatari zaidi za kuweza kuwavaa na kuwagonga.

Mamlaka za usalama wa barabarani wanapaswa kuwaangalia kwa usalama wao na watumiaji wengine wa barabara na ikiwezekana kushurtishwa kwa faini pale wanapokosea kama watumiaji wa vyombo vya moto, labda hii italeta nidhamu kwao.
Huenda una hoja ila nilitamani uzungumzie pale similar scenarios kwenye barabara nyingine, mathalani, katika barabara ya morogoro kutoka kibaha hadi Chalinze kuna pikipiki zinazopakia mkaa. Hizi husababisha ajali kila uchao
 
Back
Top Bottom