Kuna haja mamlaka husika kudhibiti wasafirisha mayai kwa baiskeli

Kuna haja mamlaka husika kudhibiti wasafirisha mayai kwa baiskeli

UKISOMA VIZURI HII MADA, KINA CHO LALAMIKIWA NI MATUMIZI YA BARABARA YASIO SAHIHI,NA SIO BIASHARA YAO YA MAYAI!!
KILA KITU KINATARATIBU ZAKE, NA NDIO ASILI YA BINADAMU.
MFANO: HUWEZI KUNYA KAMA HUJALA CHAKULA
HUWEZI PATA MIMBA KAMA HUJATIWA


HAO SIJUI WAKURYA, HAWAJAKUTANA NA SISI VICHAA WA BARABARANI!
Ila nimegundua baadhi ya wachangiaji wanamlalamikia mleta mada kisa yeye ana gari na anawalalamikia wenye baiskeli.

Hivi kwani kuna ubaya gani waendesha baiskel wakiwa mastari mmoja (in vertical line) wanaendesha wamebana kushoto mwa barabara?
 
Back
Top Bottom