Bado hamna suluhu.Kutojimithilisha na magari na kutambua athari kubwa zaidi itapatikana kwao pale wanapomchomekea mwenye gari kupelekea kugongwa. Mayai yatavunjika pengine na mwili kuumia.
KabisaKwa nini ukose umakini katika kutumia chombo cha moto” kuendesha” wewe ndio wapaswa kufutiwa leseni
Hapana Suluhu ni mwenye gari kukata bima kubwa comprehensive insurance. Ukigonga ukigongwa bima inalipa.Bado hamna suluhu.
Suluhu pekee ni kujenga barabara zinazopitikana kwa magari, baiskeli na waenda kwa miguu ili kitu kipite kwenye njia yake. Ishauri mamlaka hivyo.
maskini ya Mungu ukute hata mkokoteni huna, umekaa hapa kubana kalio kuhusu Comprehensive Insurance. Hii ndo athari ya mitandao kila kapuku kujifanya anacho.Hapana Suluhu ni mwenye gari kukata bima kubwa comprehensive insurance. Ukigonga ukigongwa bima inalipa.
Pesa inaamua kesi
Mkuu pesa haiwezi kurudisha uhai wa Binadamu,pesa haiwezi kufanya watu wasiwe makini kwenye suala la road safety.Hapana Suluhu ni mwenye gari kukata bima kubwa comprehensive insurance. Ukigonga ukigongwa bima inalipa.
Pesa inaamua kesi
tatizo wanaishi kwa kukariri. Wakikaa vijiwe vya magazeti wakisikia watu wanaongea na wao wanayabeba kama yalivyo kuyaleta huku kama wataalam vile.Mkuu pesa haiwezi kurudisha uhai wa Binadamu,pesa haiwezi kufanya watu wasiwe makini kwenye suala la road safety.
Wakurya wanajifanyaga wababe kumbe wanauza mayaiSasa hivi kugongwa hawa jamaa kumepungua kidogo tofauti na zamani,watu washawazoea.
Punguza hasira. Umaskini siyo kigezo cha kuhatarisha maisha binafsi au ya wengine barabarani!Unataka wasafirishe kwa punda au ndege?
Wameokoa polution, msongamano barabarani, wahatumii mafuta mnayogombnia, wewe unawatakia nini hawa watu? Walale njaa wewe utawapa watoto wao chakula au kuwasomesha? Sijasoma ulichoandika nimesoma heading tu ikani touch. Ningekuwa mod ningefuta hii mada.
wewe utakuwa bodaboda tuKwa wanotumia Pugu/Nyerere Road kutokea Gongo la mboto kupitia Airport watakuwa mashuhuda wa utitiri wa wasafirisha mayai maarafu kama Wakurya wanao ongozana wakiwa na shehena za mayai kwenye baiskeli.
Tatizo linakuja kwa namna ya wanavyoongozana katika barabara kubwa na kuchomekea wenye magari. Na ikitokea kwa bahati mbaya ukamgusa mmoja wao basi wanakuzingira na kukufanyia fujo. Uendeshaji wao wa baiskeli ni wa hatari mno, kama haupo makini ni rahisi sana kuwagonga. Kitendo chao cha kutokutaka kuendesha pembezoni mwa barabara kunaleta hatari zaidi za kuweza kuwavaa na kuwagonga.
Mamlaka za usalama wa barabarani wanapaswa kuwaangalia kwa usalama wao na watumiaji wengine wa barabara na ikiwezekana kushurtishwa kwa faini pale wanapokosea kama watumiaji wa vyombo vya moto, labda hii italeta nidhamu kwao.
Usichokijua mwendesha baisikeli yupo kundi la watembea kwa miguu, ndiyo maana vyombo vyao havisajiriwi, wanatakiwa wawe na njia yao, siyo barabara ya magari.Unataka wasafirishe kwa punda au ndege?
Wameokoa polution, msongamano barabarani, wahatumii mafuta mnayogombnia, wewe unawatakia nini hawa watu? Walale njaa wewe utawapa watoto wao chakula au kuwasomesha? Sijasoma ulichoandika nimesoma heading tu ikani touch. Ningekuwa mod ningefuta hii mada.
Iwe ya mtumba, isiwe ndiyo ana gari, na hata kama ameikopa, halipi mawe, ila analipa pesa inayotokana na Jasho lake.Huyo Mleta mada ni wale wenye vigari mitumba walivyonunua toka Japan kwa mkopo kazini kwao .Nyodo kibao !! Kigari kimeokotwa majalalani Japan akauziwa yeye basi anajiona barabara yote yake.
Matajiri hawana shida barabarani
Kumiliki kisubaru cha mkopo ndiyo unawaona warndesha baiskeli hawana haki ya kutumia barabara. Mbafu sana weweKwa wanotumia Pugu/Nyerere Road kutokea Gongo la mboto kupitia Airport watakuwa mashuhuda wa utitiri wa wasafirisha mayai maarafu kama Wakurya wanao ongozana wakiwa na shehena za mayai kwenye baiskeli.
Tatizo linakuja kwa namna ya wanavyoongozana katika barabara kubwa na kuchomekea wenye magari. Na ikitokea kwa bahati mbaya ukamgusa mmoja wao basi wanakuzingira na kukufanyia fujo. Uendeshaji wao wa baiskeli ni wa hatari mno, kama haupo makini ni rahisi sana kuwagonga. Kitendo chao cha kutokutaka kuendesha pembezoni mwa barabara kunaleta hatari zaidi za kuweza kuwavaa na kuwagonga.
Mamlaka za usalama wa barabarani wanapaswa kuwaangalia kwa usalama wao na watumiaji wengine wa barabara na ikiwezekana kushurtishwa kwa faini pale wanapokosea kama watumiaji wa vyombo vya moto, labda hii italeta nidhamu kwao.
UKISOMA VIZURI HII MADA, KINA CHO LALAMIKIWA NI MATUMIZI YA BARABARA YASIO SAHIHI,NA SIO BIASHARA YAO YA MAYAI!!Unataka wasafirishe kwa punda au ndege?
Wameokoa polution, msongamano barabarani, wahatumii mafuta mnayogombnia, wewe unawatakia nini hawa watu? Walale njaa wewe utawapa watoto wao chakula au kuwasomesha? Sijasoma ulichoandika nimesoma heading tu ikani touch. Ningekuwa mod ningefuta hii mada.
Huenda una hoja ila nilitamani uzungumzie pale similar scenarios kwenye barabara nyingine, mathalani, katika barabara ya morogoro kutoka kibaha hadi Chalinze kuna pikipiki zinazopakia mkaa. Hizi husababisha ajali kila uchaoKwa wanotumia Pugu/Nyerere Road kutokea Gongo la mboto kupitia Airport watakuwa mashuhuda wa utitiri wa wasafirisha mayai maarafu kama Wakurya wanao ongozana wakiwa na shehena za mayai kwenye baiskeli.
Tatizo linakuja kwa namna ya wanavyoongozana katika barabara kubwa na kuchomekea wenye magari. Na ikitokea kwa bahati mbaya ukamgusa mmoja wao basi wanakuzingira na kukufanyia fujo. Uendeshaji wao wa baiskeli ni wa hatari mno, kama haupo makini ni rahisi sana kuwagonga. Kitendo chao cha kutokutaka kuendesha pembezoni mwa barabara kunaleta hatari zaidi za kuweza kuwavaa na kuwagonga.
Mamlaka za usalama wa barabarani wanapaswa kuwaangalia kwa usalama wao na watumiaji wengine wa barabara na ikiwezekana kushurtishwa kwa faini pale wanapokosea kama watumiaji wa vyombo vya moto, labda hii italeta nidhamu kwao.
Hahaha😅😅😅shida ni ule mlio wanaoutoa kukutahadhalisha usimgonge, unaweza zimia kwa pressure ukidhania umeshaua tayari.
utasikia aaaaaaaaaaaaaaaaaah