Kuna haja ya kuanzisha somo la namna ya kumuelewa na kumuenzi Hayati Magufuli

Kuna haja ya kuanzisha somo la namna ya kumuelewa na kumuenzi Hayati Magufuli

Unamuenzi vipi mtu alieminya demokrasia na haki za binadamu!
Unamuenzi vipi Rais ambae alitesa watu wake wa kuwaua,kuwafunga na kuwapiga risasi mchana kweupe!
Tumuenzi mtu ambae hakuheshimu Katiba iliyompa Uraisi?
Tunahitaji maendeleo hayo mengine ni porojo tu
 
Kumbe haeleweki?

Mbona mlidai anaeleweka na wanyonge?😂😂

Jamaa aliyekiri kwamba UvIKo ilikuwepo ila suluhisho akasema ni maombi ya siku 3?😂😂

Kuanzisha miradi kila mtu anaweza, ishu ni kumaliza hiyo miradi, Magufuli alianzisha na kumaliza mradi gani mkubwa?
Anazungumziwa mtu mwenye akili nyingi mno ambaye haikumstahili azaliwe kwa nchi ya wajinga kama wewe'
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Jambo jema, huenda wakakusikia wahusika. Ila wafundishe mema yake pekee. Maana hayati hakutaka mabaya yake yakumbukwe.
 
1. Kama alichukia wizi kwa nini Sabaya anasota ndani kwa makosa ya ujambazi na unyang'anyi wa kutumia silaha.

2. Mnyeti nae anapandishwa kizimbani kwa ufisadi.

3. Yale magari aliyokuwa anabadilisha makonda akiwa RC yanajulikana mengine alikwapua kwa wauza unga na huyo magu alikaa kimya.

Na bado watu wote hao wa3 wana rekodi mbaya dhidi ya haki za binadamu kama Sabaya kukata masikio na kutesa watu.

Mwisho wa siku marehemu alificha hela za kutosha nyumbani kwake Chato.
MAREHEMU ANA MENGI MACHAFU ALIYOANDIKA KWA MATENDO YAKE MWENYEWE.
Huu ndio ujinga wa mjinga mmojawapo wa ki Tanzagiza,

Embu toa ushahidi wa hili la kuficha fedha chato we kima?
 
Habari wana JF, Tanzania tangu kupata uhuru imetawaliwa na viongozi wengi sana lakini changamoto za watanzania ni zile zile .

lakini kiuhalisia kwa nchi kama Tanzania yenye vyanzo mbali mbali vya mapato hatutegemei mpaka leo changamoto hizo ziwepo.

hii ina maana watanzania wengi na viongozi wengi wanakuwa na mawazo yale yale na namna ya kuongoza ile ile.

JPM alikuja mfumo tofauti ambao ulijenga kuwaaminisha watanzania kwamba wanaweza na kwa Mali walizonazo watu sio wa kutegemea Nje ,Hivyo wafanye kazi kwa bidii hakuna pesa rahisi .

Alifundisha watu kuchukia wizi ,akaenda mbali kutoa watu wenye vyeti feki ambao walichukua nafasi za watu wenye sifa hizo kwa njia ya udanganyifu.

Kama baba wa familia alianzisha miradi mingi kwa kuwaaminisha waamisha wanawe kwamba pesa wanazoingiza ndio zinajenga hiyo miradi lengo waendelee kupambana ,kumbe kuna baadhi ya pesa anakopa nje.

Lakini pia aliwaongoza watanzania katika kipindi kigumu cha UVIKO-19 kwa busara zake watanzania wengi walipita salama kiuchumi na kiafya kipindi hicho.

Lakini alienda mbali na kuamini adui wa Nchi ni adui wa JPM pia hivyo alishughulika nao vilivyo na wakati mwingine nguvu kubwa ilitumika kukusanya kodi.

Kwa haya utagundua alikuwa Tofauti na watanzania na viongozi wengi na ndio wengi hawamuelewi hivyo kwa Mambo alifanya na kuanzisha kwa Muda mchache kuna haja elimu hiyo ikamfikia kila Mtanzania na kuienzi .
Tanzania ni tajiri kwa Rasilimali tulizo nazo. Lakni tukubali tukatae, shilingi ina pande mbili na binadamu siyo malaika. Magufuli alithubutu, alisiimamia lile aliloliamini na kuitekeleza kwa wakati- hakuna ubishi. Lakini tukubali vile vile alitesa na kuonea sana baadhi ya watu. Aidha, udhalilishaji wa watu wazimaambao haukuwa wa lazima ulikithiri. Baadhi ya vijana kama kina Makonda, Sabaya na Ali happi wakatumia madaraka vibaya huku wakipigiwa makofi kwa maovu waliyoyatenda katika ofisi za umma. Uongozi wowote unatakiwa kumtanguliza Mungu Muumba wetu na maelekezo yake ndipo amri za binadamu zifuate.
 
Mchango wa Magu ni mkubwa sana.

Mungu kamtumia kazi yake amemaliza.

Waliobaki wana majukumu ya kutekeleza kwa vitendo mazuri yake aliyotuachia.
 
Habari wana JF, Tanzania tangu kupata uhuru imetawaliwa na viongozi wengi sana lakini changamoto za watanzania ni zile zile .

lakini kiuhalisia kwa nchi kama Tanzania yenye vyanzo mbali mbali vya mapato hatutegemei mpaka leo changamoto hizo ziwepo.

hii ina maana watanzania wengi na viongozi wengi wanakuwa na mawazo yale yale na namna ya kuongoza ile ile.

JPM alikuja mfumo tofauti ambao ulijenga kuwaaminisha watanzania kwamba wanaweza na kwa Mali walizonazo watu sio wa kutegemea Nje ,Hivyo wafanye kazi kwa bidii hakuna pesa rahisi .

Alifundisha watu kuchukia wizi ,akaenda mbali kutoa watu wenye vyeti feki ambao walichukua nafasi za watu wenye sifa hizo kwa njia ya udanganyifu.

Kama baba wa familia alianzisha miradi mingi kwa kuwaaminisha waamisha wanawe kwamba pesa wanazoingiza ndio zinajenga hiyo miradi lengo waendelee kupambana ,kumbe kuna baadhi ya pesa anakopa nje.

Lakini pia aliwaongoza watanzania katika kipindi kigumu cha UVIKO-19 kwa busara zake watanzania wengi walipita salama kiuchumi na kiafya kipindi hicho.

Lakini alienda mbali na kuamini adui wa Nchi ni adui wa JPM pia hivyo alishughulika nao vilivyo na wakati mwingine nguvu kubwa ilitumika kukusanya kodi.

Kwa haya utagundua alikuwa Tofauti na watanzania na viongozi wengi na ndio wengi hawamuelewi hivyo kwa Mambo alifanya na kuanzisha kwa Muda mchache kuna haja elimu hiyo ikamfikia kila Mtanzania na kuienzi .
Lecturer wa Hilo SoMo atakuwa Wakili Msomi Tundu Lisu.
 
Tanzania ni tajiri kwa Rasilimali tulizo nazo. Lakni tukubali tukatae, shilingi ina pande mbili na binadamu siyo malaika. Magufuli alithubutu, alisiimamia lile aliloliamini na kuitekeleza kwa wakati- hakuna ubishi. Lakini tukubali vile vile alitesa na kuonea sana baadhi ya watu. Aidha, udhalilishaji wa watu wazimaambao haukuwa wa lazima ulikithiri. Baadhi ya vijana kama kina Makonda, Sabaya na Ali happi wakatumia madaraka vibaya huku wakipigiwa makofi kwa maovu waliyoyatenda katika ofisi za umma. Uongozi wowote unatakiwa kumtanguliza Mungu Muumba wetu na maelekezo yake ndipo amri za binadamu zifuate.
Hata suala la 'vyeti feki', Makonda au sijui ni Bashite whatever his real name is angemng'oa live kuonyesha msisitizo kuwa alikuwa serous. Yeye mwenyewe elimu yake ilitiliwa mashaka na aliyeanzisha mjadala wa uhalali wa PHD yake the late Ben Saanane 'alipotezwa' kwa sababu ambazo wengi wanahisi kulinda Jiwe asiaibishwe kwa kuwa mmoja wa wenye 'vyeti feki'.
Kuwa katili, muuaji, mnyanyasi na baradhuli mtesaji kunafanya mtu aonekane mnafiki anapojifanya ana huruma kwa 'the so called wanyonge', kuwa mnyonge iligeuzwa kuwa ni sifa. Watu walikuwa brainwashed kipumbavu sana ili waridhike kuwa watu wa hali ya chini.
 
Anazungumziwa mtu mwenye akili nyingi mno ambaye haikumstahili azaliwe kwa nchi ya wajinga kama wewe'
Huyo mbwa wenu angezaliwa nchi ya watu wanaojielewa kidogo angetolewa madarakani kisha angenyonywa, ni Tanzania tu kuliko na misukule isoyo na elimu ndio maana alishangiliwa

Rais fisadi, mvunja katiba, muuaji
 
Kuna haja ya kujifunza kitu kutoka kwa huyu mtu
Jifunze ww kuhusu yeye, sisi wengine tunajua alikuwa ni kiongozi dhalimu. Na hatuko tayari watoto wetu wajifunze kuhusu kiongozi muovu.
 
Tunahitaji maendeleo hayo mengine ni porojo tu

Kama demokrasia sio jambo la maana, kwanini Nyerere alitumia raslimali za nchi kuwasadia weusi wa Afrika kusini dhidi ya makaburu, wakati makaburu ndio walileta maendeleo kwenye nchi ile?
 
Uko sahihi sana mkuu.

Watanzania wanapenda sana uongo wa wazungu. Wanadhani wazungu walitajirika kwa demokrasia. Wazungu walitajirika kwanza halafu ndo wakaleta demokrasia baadae. Walitajirika kwa kufanya ujambazi duniani kote ambako walivamia dunia nzima na kupora ardhi na mali. Hayo yote waliyafanya wakiwa chini ya tawala za kiimla, tawala za Kifalme.

Mfano mwingine ni angalia waarabu wenye tawala za kiimla za kifalme, na Wanaijeria au Waangola. Wote wana mafuta ya kutosha kubadilisha nchi zao, lakini ni tawala za kiimla tu ndo zimeweza kubadilisha nchi zao.

Demokrasia sio nzuri kwa nchi inayotaka kufanya mapinduzi ya kiuchumi. Demokrasia ni anasa ya watu ambao wameshatajirika tayari.

Tungekaa na Magufuli kwa miaka mingi nchi ingefika mbali sana kiuchumi na kifikra.

Sasa hivi hatuna uongozi wa fikra kama taifa. Viongozi walioleta uongozi wa fikra Tanzania ni wawili tu - Nyerere na Magufuli.
Kwani yeye alipatikana kwa njia gani
 
Habari wana JF, Tanzania tangu kupata uhuru imetawaliwa na viongozi wengi sana lakini changamoto za watanzania ni zile zile .

lakini kiuhalisia kwa nchi kama Tanzania yenye vyanzo mbali mbali vya mapato hatutegemei mpaka leo changamoto hizo ziwepo.

hii ina maana watanzania wengi na viongozi wengi wanakuwa na mawazo yale yale na namna ya kuongoza ile ile.

JPM alikuja mfumo tofauti ambao ulijenga kuwaaminisha watanzania kwamba wanaweza na kwa Mali walizonazo watu sio wa kutegemea Nje ,Hivyo wafanye kazi kwa bidii hakuna pesa rahisi .

Alifundisha watu kuchukia wizi ,akaenda mbali kutoa watu wenye vyeti feki ambao walichukua nafasi za watu wenye sifa hizo kwa njia ya udanganyifu.

Kama baba wa familia alianzisha miradi mingi kwa kuwaaminisha waamisha wanawe kwamba pesa wanazoingiza ndio zinajenga hiyo miradi lengo waendelee kupambana ,kumbe kuna baadhi ya pesa anakopa nje.

Lakini pia aliwaongoza watanzania katika kipindi kigumu cha UVIKO-19 kwa busara zake watanzania wengi walipita salama kiuchumi na kiafya kipindi hicho.

Lakini alienda mbali na kuamini adui wa Nchi ni adui wa JPM pia hivyo alishughulika nao vilivyo na wakati mwingine nguvu kubwa ilitumika kukusanya kodi.

Kwa haya utagundua alikuwa Tofauti na watanzania na viongozi wengi na ndio wengi hawamuelewi hivyo kwa Mambo alifanya na kuanzisha kwa Muda mchache kuna haja elimu hiyo ikamfikia kila Mtanzania na kuienzi .
Yaani kulienzi jambazi lilopelekea vijana kufika huku?
 

Attachments

  • VID-20230112-WA0025.mp4
    15.6 MB
Hata na Polepole alikuwa na akiri kama zakwako ..hadi akaanzisha Chuo kabisa kama UD chakueneza demokrasia ya jiwe baada ya kulamba asali tupo naye hapa Lilongwe akatulia.Wewe pambana usije ukalamba asali nakuterekeza wazo la kipumbavu kama hilo
Ndugu na jamaa wa "MAREHEMU"...
 
Habari wana JF, Tanzania tangu kupata uhuru imetawaliwa na viongozi wengi sana lakini changamoto za watanzania ni zile zile .

lakini kiuhalisia kwa nchi kama Tanzania yenye vyanzo mbali mbali vya mapato hatutegemei mpaka leo changamoto hizo ziwepo.

hii ina maana watanzania wengi na viongozi wengi wanakuwa na mawazo yale yale na namna ya kuongoza ile ile.

JPM alikuja mfumo tofauti ambao ulijenga kuwaaminisha watanzania kwamba wanaweza na kwa Mali walizonazo watu sio wa kutegemea Nje ,Hivyo wafanye kazi kwa bidii hakuna pesa rahisi .

Alifundisha watu kuchukia wizi ,akaenda mbali kutoa watu wenye vyeti feki ambao walichukua nafasi za watu wenye sifa hizo kwa njia ya udanganyifu.

Kama baba wa familia alianzisha miradi mingi kwa kuwaaminisha waamisha wanawe kwamba pesa wanazoingiza ndio zinajenga hiyo miradi lengo waendelee kupambana ,kumbe kuna baadhi ya pesa anakopa nje.

Lakini pia aliwaongoza watanzania katika kipindi kigumu cha UVIKO-19 kwa busara zake watanzania wengi walipita salama kiuchumi na kiafya kipindi hicho.

Lakini alienda mbali na kuamini adui wa Nchi ni adui wa JPM pia hivyo alishughulika nao vilivyo na wakati mwingine nguvu kubwa ilitumika kukusanya kodi.

Kwa haya utagundua alikuwa Tofauti na watanzania na viongozi wengi na ndio wengi hawamuelewi hivyo kwa Mambo alifanya na kuanzisha kwa Muda mchache kuna haja elimu hiyo ikamfikia kila Mtanzania na kuienzi .
Nenda chato kazikwe nae
 
Back
Top Bottom