Kuna haja ya kuanzisha somo la namna ya kumuelewa na kumuenzi Hayati Magufuli

Kuna haja ya kuanzisha somo la namna ya kumuelewa na kumuenzi Hayati Magufuli

Habari wana JF, Tanzania tangu kupata uhuru imetawaliwa na viongozi wengi sana lakini changamoto za watanzania ni zile zile .

lakini kiuhalisia kwa nchi kama Tanzania yenye vyanzo mbali mbali vya mapato hatutegemei mpaka leo changamoto hizo ziwepo.

hii ina maana watanzania wengi na viongozi wengi wanakuwa na mawazo yale yale na namna ya kuongoza ile ile.

JPM alikuja mfumo tofauti ambao ulijenga kuwaaminisha watanzania kwamba wanaweza na kwa Mali walizonazo watu sio wa kutegemea Nje ,Hivyo wafanye kazi kwa bidii hakuna pesa rahisi .

Alifundisha watu kuchukia wizi ,akaenda mbali kutoa watu wenye vyeti feki ambao walichukua nafasi za watu wenye sifa hizo kwa njia ya udanganyifu.

Kama baba wa familia alianzisha miradi mingi kwa kuwaaminisha waamisha wanawe kwamba pesa wanazoingiza ndio zinajenga hiyo miradi lengo waendelee kupambana ,kumbe kuna baadhi ya pesa anakopa nje.

Lakini pia aliwaongoza watanzania katika kipindi kigumu cha UVIKO-19 kwa busara zake watanzania wengi walipita salama kiuchumi na kiafya kipindi hicho.

Lakini alienda mbali na kuamini adui wa Nchi ni adui wa JPM pia hivyo alishughulika nao vilivyo na wakati mwingine nguvu kubwa ilitumika kukusanya kodi.

Kwa haya utagundua alikuwa Tofauti na watanzania na viongozi wengi na ndio wengi hawamuelewi hivyo kwa Mambo alifanya na kuanzisha kwa Muda mchache kuna haja elimu hiyo ikamfikia kila Mtanzania na kuienzi .
Mzalendo no.1 ambae hakutak matumizi ya serikali yake yachunguzwe 🤣🤣🤣🤣
 
Magu alitaka tumwabudu

Magu alitaka awe alpha na Omega kwenye maisha yetu

Magu alitaka hata former Presidents wampigie magoti

Magu ni laana juu ya nchii
Viva Samia.. ...
ule mpango wa kuandika hukumu kwa kiswahili uliishia wapi?
ule mpango wa kufundisha historia ya kumtukuza chizi tangu darasa la tatu uliishia wapi
hahaha mungu fundi nyie mlijua hata kufa?
ile damu ya ben sanane aliyoimwaga kwa mikono yake pale ikulu itawatesa nyie wooote mliokuwa mkishangilia na vizazi vyenu
 
Habari wana JF, Tanzania tangu kupata uhuru imetawaliwa na viongozi wengi sana lakini changamoto za watanzania ni zile zile .

lakini kiuhalisia kwa nchi kama Tanzania yenye vyanzo mbali mbali vya mapato hatutegemei mpaka leo changamoto hizo ziwepo.

hii ina maana watanzania wengi na viongozi wengi wanakuwa na mawazo yale yale na namna ya kuongoza ile ile.

JPM alikuja mfumo tofauti ambao ulijenga kuwaaminisha watanzania kwamba wanaweza na kwa Mali walizonazo watu sio wa kutegemea Nje ,Hivyo wafanye kazi kwa bidii hakuna pesa rahisi .

Alifundisha watu kuchukia wizi ,akaenda mbali kutoa watu wenye vyeti feki ambao walichukua nafasi za watu wenye sifa hizo kwa njia ya udanganyifu.

Kama baba wa familia alianzisha miradi mingi kwa kuwaaminisha waamisha wanawe kwamba pesa wanazoingiza ndio zinajenga hiyo miradi lengo waendelee kupambana ,kumbe kuna baadhi ya pesa anakopa nje.

Lakini pia aliwaongoza watanzania katika kipindi kigumu cha UVIKO-19 kwa busara zake watanzania wengi walipita salama kiuchumi na kiafya kipindi hicho.

Lakini alienda mbali na kuamini adui wa Nchi ni adui wa JPM pia hivyo alishughulika nao vilivyo na wakati mwingine nguvu kubwa ilitumika kukusanya kodi.

Kwa haya utagundua alikuwa Tofauti na watanzania na viongozi wengi na ndio wengi hawamuelewi hivyo kwa Mambo alifanya na kuanzisha kwa Muda mchache kuna haja elimu hiyo ikamfikia kila Mtanzania na kuienzi .
Masomo kama hayo alianzisha Mobutu sio mbaya wafuasi wa dikteta uchwara nao wakaanzisha masomo ya kujifunza ujinga wa bwana wao.
 
Habari wana JF, Tanzania tangu kupata uhuru imetawaliwa na viongozi wengi sana lakini changamoto za watanzania ni zile zile .

lakini kiuhalisia kwa nchi kama Tanzania yenye vyanzo mbali mbali vya mapato hatutegemei mpaka leo changamoto hizo ziwepo.

hii ina maana watanzania wengi na viongozi wengi wanakuwa na mawazo yale yale na namna ya kuongoza ile ile.

JPM alikuja mfumo tofauti ambao ulijenga kuwaaminisha watanzania kwamba wanaweza na kwa Mali walizonazo watu sio wa kutegemea Nje ,Hivyo wafanye kazi kwa bidii hakuna pesa rahisi .

Alifundisha watu kuchukia wizi ,akaenda mbali kutoa watu wenye vyeti feki ambao walichukua nafasi za watu wenye sifa hizo kwa njia ya udanganyifu.

Kama baba wa familia alianzisha miradi mingi kwa kuwaaminisha waamisha wanawe kwamba pesa wanazoingiza ndio zinajenga hiyo miradi lengo waendelee kupambana ,kumbe kuna baadhi ya pesa anakopa nje.

Lakini pia aliwaongoza watanzania katika kipindi kigumu cha UVIKO-19 kwa busara zake watanzania wengi walipita salama kiuchumi na kiafya kipindi hicho.

Lakini alienda mbali na kuamini adui wa Nchi ni adui wa JPM pia hivyo alishughulika nao vilivyo na wakati mwingine nguvu kubwa ilitumika kukusanya kodi.

Kwa haya utagundua alikuwa Tofauti na watanzania na viongozi wengi na ndio wengi hawamuelewi hivyo kwa Mambo alifanya na kuanzisha kwa Muda mchache kuna haja elimu hiyo ikamfikia kila Mtanzania na kuienzi .
Tunaangamia kwa kukumbatia ujinga😭😭😭😭 hatutaki maarifa...hatujakosa
 
Magu alitaka tumwabudu

Magu alitaka awe alpha na Omega kwenye maisha yetu

Magu alitaka hata former Presidents wampigie magoti

Magu ni laana juu ya nchii
Viva Samia.. ...
Nchi inaenda, so far so good.. hakuna tena kuokota viroba Coco, wala raia kutekwa ovyo.... hongera mamaaa.... Samiaaa....
 
Huyo mbwa wenu angezaliwa nchi ya watu wanaojielewa kidogo angetolewa madarakani kisha angenyonywa, ni Tanzania tu kuliko na misukule isoyo na elimu ndio maana alishangiliwa

Rais fisadi, mvunja katiba, muuaji
Ni nchi ya wajinga tu ambayo kuna watu maofsini wamefoji vyeti
 
Tumuulize mama Samia, kuhusu hizo hekaya.

Kuhusu hayo maandiko ya miungu nadhani wewe ndio tukusaidie, miungu ya Waisrael na warumi kamwe haitakusaidia wewe hapo kwa mparange… tafuta Mungu wako acha hekaya za warumi.
Wewe upo shimoni ambapo hamna mwanga halafu mtu aliyepo nnje anakwambia huku juu nnje jua kali na bado unambishia kwa kusema hizo ni hekaya!!???

Pole sana kwa upofu wa akili ulionao.
 
1. Kama alichukia wizi kwa nini Sabaya anasota ndani kwa makosa ya ujambazi na unyang'anyi wa kutumia silaha.

2. Mnyeti nae anapandishwa kizimbani kwa ufisadi.

3. Yale magari aliyokuwa anabadilisha makonda akiwa RC yanajulikana mengine alikwapua kwa wauza unga na huyo magu alikaa kimya.

Na bado watu wote hao wa3 wana rekodi mbaya dhidi ya haki za binadamu kama Sabaya kukata masikio na kutesa watu.

Mwisho wa siku marehemu alificha hela za kutosha nyumbani kwake Chato.
MAREHEMU ANA MENGI MACHAFU ALIYOANDIKA KWA MATENDO YAKE MWENYEWE.
sio kila kitu unachoambiwa kiko sahihi
 
Magu alitaka tumwabudu

Magu alitaka awe alpha na Omega kwenye maisha yetu

Magu alitaka hata former Presidents wampigie magoti

Magu ni laana juu ya nchii
Viva Samia.. ...
ni mawazo yako tu
 
Masomo kama hayo alianzisha Mobutu sio mbaya wafuasi wa dikteta uchwara nao wakaanzisha masomo ya kujifunza ujinga wa bwana wao.
kuwa na heshima
 
Habari wana JF, Tanzania tangu kupata uhuru imetawaliwa na viongozi wengi sana lakini changamoto za watanzania ni zile zile .

lakini kiuhalisia kwa nchi kama Tanzania yenye vyanzo mbali mbali vya mapato hatutegemei mpaka leo changamoto hizo ziwepo.

hii ina maana watanzania wengi na viongozi wengi wanakuwa na mawazo yale yale na namna ya kuongoza ile ile.

JPM alikuja mfumo tofauti ambao ulijenga kuwaaminisha watanzania kwamba wanaweza na kwa Mali walizonazo watu sio wa kutegemea Nje ,Hivyo wafanye kazi kwa bidii hakuna pesa rahisi .

Alifundisha watu kuchukia wizi ,akaenda mbali kutoa watu wenye vyeti feki ambao walichukua nafasi za watu wenye sifa hizo kwa njia ya udanganyifu.

Kama baba wa familia alianzisha miradi mingi kwa kuwaaminisha waamisha wanawe kwamba pesa wanazoingiza ndio zinajenga hiyo miradi lengo waendelee kupambana ,kumbe kuna baadhi ya pesa anakopa nje.

Lakini pia aliwaongoza watanzania katika kipindi kigumu cha UVIKO-19 kwa busara zake watanzania wengi walipita salama kiuchumi na kiafya kipindi hicho.

Lakini alienda mbali na kuamini adui wa Nchi ni adui wa JPM pia hivyo alishughulika nao vilivyo na wakati mwingine nguvu kubwa ilitumika kukusanya kodi.

Kwa haya utagundua alikuwa Tofauti na watanzania na viongozi wengi na ndio wengi hawamuelewi hivyo kwa Mambo alifanya na kuanzisha kwa Muda mchache kuna haja elimu hiyo ikamfikia kila Mtanzania na kuienzi .
Una matatizo wewe, aenziwe kwa lipi haswa, yaani uanzishe somo kwa jili ha kumuenzi mwendawazimu
 
Back
Top Bottom