The redemeer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2025
- 1,497
- 2,681
Wabongo SI watu wa mitandao,mtandaoni ndipo sahihi kupata mtu wa sifa uzitakazo then mkikutana live ndo mnapima sifa hizo je ziposi kweli gentleman,
hapangekua na kundi kubwa namna hili linalotangatanga na kuhangaika kutafuta wake na waume kiasi hiki,
kati ya vijana elfu 10 unaweza usipate hata moja aliefanikiwa kwenye hilo, kusema wengi ni uoptoshaji 🐒