Kuna haja ya kuanzisha taasisi maalum yakutafutia vijana wachumba wa kuoa kabisa sio ajira pekee yake

Kuna haja ya kuanzisha taasisi maalum yakutafutia vijana wachumba wa kuoa kabisa sio ajira pekee yake

Napendekeza hilo kwasababu mahangaiko ya vijana wa kike na wa kiume katika kutafuta wanchumba, wenza na wake wa kuoa ni makubwa mno huku changamoto ya kila moja kumpata mwenza wake ikiwa ni kubwa mno.

Napendekeza pawepo na taasisi maalumu yenye vituo maalumu mikoa mbalimbali kwajili ya vijana kutuma maombi ya kupata mchumba au mke na siku ya kwenda kuchukua majibu wanakutana kabisa macho kwa macho na wenza wao, kulingana na sifa na vigezo walivyoanisha kwenye maombi yao.

Hii itapunguza wimbi kubwa la vina kuhaha kutafuta wachumba mitandaoni hususani humu JF bila mafanikio.

Vituo vifunguliwe mikoa yote nchini.

Una maoni gani dhidi ya pendekezo hili ndugu zangu wadau wa jukwaa hili?

Mungu Ibarki Tanzania
tazama juu kisha tamka maneno haya "hakika mimi ni bwege"
 
Sio rahisi kihivyo, idea yako watu washaijaribugi ikafeli, marekani Wana kitu kinaitwa singles event, Yani wanaandaa eneo, wanawake na wanaume walio single wanakutana kutafta wachumba, sahivi kwenye singles event huko USAwanaume hawaendi, wanaona ni usumbufu na kupoteza mda, singles event kule USA zinajaaga wadada tu, wanaume wengi hawaendi sababu ya kuchoka kukataliwa

Hiyo system hata ukileta bongo matokeo yatakua hayo hayo Tlaatlaah
Sasa mademu tena wapo aingle alafu bado wanakata wanaume. Ebo!
 
Ww si chawa wa mama kizimkazi

Kwann usfikishie direct
 
Kanisa linahusika pale wanapokuja wahusika wakiwa tayari wamependana... Sasa hii taasisi itakuwa tofauti na kanisa
kwahiyo kwa mwamposa wanaenda wakiwa wameshapendana au ndio wanaenda kutaftana?

na wakipatana na kufunga ndoa, na ndoa ikipata tatizo, watarudi kumlaumu mwamposa kweli kwa kuwakutanisha na kuwafungisha ndoa?🐒
 
kwahiyo kwa mwamposa wanaenda wakiwa wameshapendana au ndio wanaenda kutaftana?

na wakipatana na kufunga ndoa, na ndoa ikipata tatizo, watarudi kumlaumu mwamposa kweli kwa kuwakutanisha na kuwafungisha ndoa?🐒
Sikujua kumbe watu wanaenda kwa Mwamposa kutafuta wanawake/Wanaume wa kuishi!?
 
Sikujua kumbe watu wanaenda kwa Mwamposa kutafuta wanawake/Wanaume wa kuishi!?
kumbe wanaenda kutafuta nini unadhani kwa machozi na utakatifu ule wakiwa na umri wa miaka35?

ulidhani wanaenda kula keki ya upako tu na kwamba majumbani mwao hawana chakula?🐒
 
kumbe wanaenda kutafuta nini unadhani kwa machozi na utakatifu ule wakiwa na umri wa miaka35?

ulidhani wanaenda kula keki ya upako tu na kwamba majumbani mwao hawana chakula?🐒
Hayo siyajui, kumbe wanaenda kutafuta wenza
 
Hayo siyajui, kumbe wanaenda kutafuta wenza
nchecheto na sitilesi za vijanaa wa miaka35 hana mume, hana mtoto, hana ajira, hatungishi wala hashiki mimba, anatembea na mafuta ya upako miaka yote lakini wap,

madam, unafaaa nchezo nini 🐒
 
nchecheto na sitilesi za vijanaa wa miaka35 hana mume, hana mtoto, hana ajira, hatungishi wala hashiki mimba, anatembea na mafuta ya upako miaka yote lakini wap,

madam, unafaaa nchezo nini 🐒
Shughuli hii ni kubwa sana
 
Shughuli hii ni kubwa sana
taasisi maalumu kwajili ya kuwakutanisha ikiundwa itasaidia sana kuondoa changamoto hii inayowahangaisha vijanaa,

halafu wengi ni graduate kabisa dah 🐒
 
Napendekeza hilo kwasababu mahangaiko ya vijana wa kike na wa kiume katika kutafuta wanchumba, wenza na wake wa kuoa ni makubwa mno huku changamoto ya kila moja kumpata mwenza wake ikiwa ni kubwa mno.

Napendekeza pawepo na taasisi maalumu yenye vituo maalumu mikoa mbalimbali kwajili ya vijana kutuma maombi ya kupata mchumba au mke na siku ya kwenda kuchukua majibu wanakutana kabisa macho kwa macho na wenza wao, kulingana na sifa na vigezo walivyoanisha kwenye maombi yao.

Hii itapunguza wimbi kubwa la vina kuhaha kutafuta wachumba mitandaoni hususani humu JF bila mafanikio.

Vituo vifunguliwe mikoa yote nchini.

Una maoni gani dhidi ya pendekezo hili ndugu zangu wadau wa jukwaa hili?

Mungu Ibarki Tanzania
Vijana wapate ajira then kuoa kutakuja AUTOMATICALLY Sasa nyie CCM hamtoi ajira kwa vijana pia mmeleta mpaka mchujo kwenye ajira za waalimu.

Ivi huyu mdogo etu hapa jukwan venzo jr hawezi kua hata mwalimu wa primary school na degree yake ya BAED

Sasa vijana wataoaje WAKATI CCM mmekataa kuwapa ajira.
 
Napendekeza hilo kwasababu mahangaiko ya vijana wa kike na wa kiume katika kutafuta wanchumba, wenza na wake wa kuoa ni makubwa mno huku changamoto ya kila moja kumpata mwenza wake ikiwa ni kubwa mno.

Napendekeza pawepo na taasisi maalumu yenye vituo maalumu mikoa mbalimbali kwajili ya vijana kutuma maombi ya kupata mchumba au mke na siku ya kwenda kuchukua majibu wanakutana kabisa macho kwa macho na wenza wao, kulingana na sifa na vigezo walivyoanisha kwenye maombi yao.

Hii itapunguza wimbi kubwa la vina kuhaha kutafuta wachumba mitandaoni hususani humu JF bila mafanikio.

Vituo vifunguliwe mikoa yote nchini.

Una maoni gani dhidi ya pendekezo hili ndugu zangu wadau wa jukwaa hili?

Mungu Ibarki Tanzania
Kabla ya taasisi hiyo iundwa ya kuwafunza vijana wetu kukataa kuwa,ama kutumika kama chawa.Halafu ya kuwatafutia na kuwawezesha kupata ajira na mwisho wakiweza kujitegemea ama wakipata uhuru wa kiuchumi,kuoa sii shida,kufanya maamuzi sahihi juu ya mustakabali wa taifa letu sii shida.Na hapo ndio utakuwa ukombozi dhidi ya ukoloni mamboleo,kuwa chawa wa wanasiasa na makundi yenye kulinda maslahi yao pekee.
 
Napendekeza hilo kwasababu mahangaiko ya vijana wa kike na wa kiume katika kutafuta wanchumba, wenza na wake wa kuoa ni makubwa mno huku changamoto ya kila moja kumpata mwenza wake ikiwa ni kubwa mno.

Napendekeza pawepo na taasisi maalumu yenye vituo maalumu mikoa mbalimbali kwajili ya vijana kutuma maombi ya kupata mchumba au mke na siku ya kwenda kuchukua majibu wanakutana kabisa macho kwa macho na wenza wao, kulingana na sifa na vigezo walivyoanisha kwenye maombi yao.

Hii itapunguza wimbi kubwa la vina kuhaha kutafuta wachumba mitandaoni hususani humu JF bila mafanikio.

Vituo vifunguliwe mikoa yote nchini.

Una maoni gani dhidi ya pendekezo hili ndugu zangu wadau wa jukwaa hili?

Mungu Ibarki Tanzania
Kweli punguani wa raisi
 
Napendekeza hilo kwasababu mahangaiko ya vijana wa kike na wa kiume katika kutafuta wanchumba, wenza na wake wa kuoa ni makubwa mno huku changamoto ya kila moja kumpata mwenza wake ikiwa ni kubwa mno.

Napendekeza pawepo na taasisi maalumu yenye vituo maalumu mikoa mbalimbali kwajili ya vijana kutuma maombi ya kupata mchumba au mke na siku ya kwenda kuchukua majibu wanakutana kabisa macho kwa macho na wenza wao, kulingana na sifa na vigezo walivyoanisha kwenye maombi yao.

Hii itapunguza wimbi kubwa la vina kuhaha kutafuta wachumba mitandaoni hususani humu JF bila mafanikio.

Vituo vifunguliwe mikoa yote nchini.

Una maoni gani dhidi ya pendekezo hili ndugu zangu wadau wa jukwaa hili?

Mungu Ibarki Tanzania
Bila kuzingatia hisia zao
 
Vijana wapate ajira then kuoa kutakuja AUTOMATICALLY Sasa nyie CCM hamtoi ajira kwa vijana pia mmeleta mpaka mchujo kwenye ajira za waalimu.

Ivi huyu mdogo etu hapa jukwan venzo jr hawezi kua hata mwalimu wa primary school na degree yake ya BAED

Sasa vijana wataoaje WAKATI CCM mmekataa kuwapa ajira.
gentleman,
ajira za uhakika za kutosha vijanaa wote waTanzania ziko bwerere shambani we unasema nini gentleman?

huenda unazungumzia wachagua kazi, right? ambao wengi ni graduate na bado wanaishi kwa wazazi wao right?

kumbuka,
vyovyote itakavyo kua, umri wa kuamua au wa maamuzi ni miaka 40-45, ukizubaa hapo kufa maskini kinyonge sana pasina kua na plot, mtoto wala mke hapaepukiki.

Inasikitisha sana, na inafedhehesha mno 🐒
 
Back
Top Bottom