Kuna haja ya kuendelea kuwa na namba ya ex wako huku ukiwa kwenye penzi jipya?

Kuna haja ya kuendelea kuwa na namba ya ex wako huku ukiwa kwenye penzi jipya?

Morg

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2018
Posts
1,301
Reaction score
1,788
Kume kuwa na hulka flan hiv ya mahusiano pindi yanapofika kikomo wahusika wawili Bado hubakia na namba ya ex wake kwenye simu kwa kigezo kuwa eti kuachana sio ugomvi.

Pindi wanapoingia kwenye mahusiano mapya still bado wanazo namba za maex zao. Binafsi sidhani kama ni sahihi kama kilichowakutanisha ni mahusiano na pindi mnapoachana hakuna haja ya kuendelea kuwa na namba yake kwa lipi labda mtafanya kama sio ulimbukeni.

Utasikia mdada anakuambia huyu tushaachana mbona namba yake unayo mnawasiliana hapana ya nini sasa KAMA WEWE DEM WAKO ANA NAMBA ZA MAEX AU BOY WAKO JUA KABISA HAO BADO WAPO PAMOJA OVER ,wewe ni emergency department tuu

Kama mlikutana hamkuwa mkiwasiliana before mkiachana futa everything hadi picture
 
Kwani namba ya ex ina shida gani?
Kilichowakutanisha ni mahusiano na kitakachowaachisha ni mahusiano kwaann uwe na namba yake Kwan mnawasiliana hapa nia yenu ni kupasha kiporo daadeq
 
Sawa tutafuta kila kitu..

Na zile ambazo tulikariri tunazifanyaje?? Muongozo tafadhali, bila kusahau kiherehere nayo iko tu hapo inakusubiri siku uwe idle ikutume um'text [emoji1787][emoji1787]
Restore kila kitu kuhusu ex hawa ndio chachu ya mvurugano katika penzi jipya
 
Ex ni adui yangu
Akishakuwa ex nafuta kila kitu na natupa/nachoma mazagazaga yote aliyowahi kunipa

Nabaki na memories ambazo with time zinapotea
Absolutely kuendelea kushikilia vitu vya maex ni Jambo moja la kininga sana
 
Kwani ex wako ni adui wako?

Maisha ya mahusiano yakiisha kuna maisha mengine.
 
Back
Top Bottom