Kuna haja ya kuendelea kuwa na namba ya ex wako huku ukiwa kwenye penzi jipya?

Kuna haja ya kuendelea kuwa na namba ya ex wako huku ukiwa kwenye penzi jipya?

Aaah sister, maisha ndio haya haya. Ya nini kufuta namba ya ex wakati hajafa[emoji2369][emoji2369][emoji2369]
He he he.. sasa ikae kwa simu yangu juu ya kuifanyia nini?Na sina kazi nayo tena[emoji28]
Kuifuta itaniepusha na vingi..Ku'block huwa siwezi kabisa..Kwa mtu yoyote yule..

Nimekumbuka Rafiki yangu mmoja alifuta namna ya EX wake, sasa siku moja EX kampigia..Akamuuliza naongea na nani mwenzangu[emoji23]Bwana EX akamuuliza huna NO. Yangu.. Akamjibu ningekuwa nayo nisingekuuliza...EX alikata simu hadi kesho hata kujifanya kakosea msg hajawai[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
He he he.. sasa ikae kwa simu yangu juu ya kuifanyia nini?Na sina kazi nayo tena[emoji28]
Kuifuta itaniepusha na vingi..Ku'block huwa siwezi kabisa..Kwa mtu yoyote yule..

Nimekumbuka Rafiki yangu mmoja alifuta namna ya EX wake, sasa siku moja EX kampigia..Akamuuliza naongea na nani mwenzangu[emoji23]Bwana EX akamuuliza huna NO. Yangu.. Akamjibu ningekuwa nayo nisingekuuliza...EX alikata simu hadi kesho hata kujifanya kakosea msg hajawai[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dada mimi bado nina kazi nayo kwakweli.
 
Just imagine utaishi miaka 30/40 mbele halafu umkaushie mtu milele kisa ni ex. Labda kama alikuibia figo wakati mnaachana.
 
Back
Top Bottom