Dolla_Mbili
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 1,207
- 2,981
Kuachana sio kugombana, kama watu waliacha kwa kushindwa itikadi fulani acha maisha yaendelee kikubwa acha kupekua pekua kutaka kujua background za mtu uliye naye kila mara itakutesa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa tutafuta kila kitu..
Na zile ambazo tulikariri tunazifanyaje?? Muongozo tafadhali, bila kusahau kiherehere nayo iko tu hapo inakusubiri siku uwe idle ikutume um'text [emoji1787][emoji1787]
Kwan kifuta namba yake ni ni ugomvi unaweza futa na still mkaendelea kuwa marafiki Kwan lazima mwasilianeNaonaga wanaofuta/block namba za ex wakogo weak na wengi wao wanakuaga wameachwa
Kuna maisha baada ya mapenzi huwezi jua kesho huyo ex atakufaa nini.
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Urafiki gani watu hamuwasiliani? Yani namba naweka fresh tuKwan kifuta namba yake ni ni ugomvi unaweza futa na still mkaendelea kuwa marafiki Kwan lazima mwasiliane
Kuachana haimanishi msiwasiliane , labda inategemea mmeachanajeUrafiki gani watu hamuwasiliani? Yani namba naweka fresh tu
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Na sisi tuliozaa nao je? Tukaue watoto ili tuwasahau?Restore kila kitu kuhusu ex hawa ndio chachu ya mvurugano katika penzi jipya
Naomba niwe ex wako mzigua, sifuti namba ya mtu coz huwezi jua kesho itakuwaje, sio kimahusiano tu...maisha kwa ujumla!!Naonaga wanaofuta/block namba za ex wakogo weak na wengi wao wanakuaga wameachwa
Kuna maisha baada ya mapenzi huwezi jua kesho huyo ex atakufaa nini.
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Mbona mi nnayo ya kwako na hakuna shida, ukiweka status nakuwa wa kwanza kabisa...alaaa.Hakuna shida, unakuwa nayo tu. Just in case.
Mi hata tukiachanaje sifuti namba kwa sababu ni ex labda uwe unanikera ila sio sababu tumeachanaKuachana haimanishi msiwasiliane , labda inategemea mmeachanaje
Nakuzoom tu![emoji57][emoji57][emoji57]Naomba niwe ex wako mzigua, sifuti namba ya mtu coz huwezi jua kesho itakuwaje, sio kimahusiano tu...maisha kwa ujumla!!
Karibu mkuuNaomba niwe ex wako mzigua, sifuti namba ya mtu coz huwezi jua kesho itakuwaje, sio kimahusiano tu...maisha kwa ujumla!!
Sema za ex wako.zihifadhe Google drive huwa zinasaidia sana.Kume kuwa na hulka flan hiv ya mahusiano pindi yanapofika kikomo wahusika wawili Bado hubakia na namba ya ex wake kwenye simu kwa kigezo kuwa eti kuachana sio ugomvi.
Pindi wanapoingia kwenye mahusiano mapya still bado wanazo namba za maex zao. Binafsi sidhani kama ni sahihi kama kilichowakutanisha ni mahusiano na pindi mnapoachana hakuna haja ya kuendelea kuwa na namba yake kwa lipi labda mtafanya kama sio ulimbukeni.
Utasikia mdada anakuambia huyu tushaachana mbona namba yake unayo mnawasiliana hapana ya nini sasa KAMA WEWE DEM WAKO ANA NAMBA ZA MAEX AU BOY WAKO JUA KABISA HAO BADO WAPO PAMOJA OVER ,wewe ni emergency department tuu
Kama mlikutana hamkuwa mkiwasiliana before mkiachana futa everything hadi picture