Siyo wote wamekutanishwa na mahusiano, wapo waliokutanushwa na kazi, biashara etcKilichowakutanisha ni mahusiano na kitakachowaachisha ni mahusiano kwaann uwe na namba yake Kwan mnawasiliana hapa nia yenu ni kupasha kiporo daadeq
Utakuwa ex wangu mama?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] wivu sio mzuri!Nakuzoom tu![emoji57][emoji57][emoji57]
Wewe huyoo uchome laptop, Simu ya Apple/Samsung, TV flat screen inch 40 weweee uyoo uvichome?? [emoji12][emoji12]Ex ni adui yangu ambaye sina chuki nae
Akishakuwa ex nafuta kila kitu na natupa/nachoma mazagazaga yote aliyowahi kunipa
Nabaki na memories ambazo with time zinapotea
Wewe huyoo uchome laptop, Simu ya Apple/Samsung, TV flat screen inch 40 weweee uyoo uvichome?? [emoji12][emoji12]
Hello dear ex![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] wivu sio mzuri!
Kuna jamaa alianzisha Uzi kukuhusu cjui uliona?Ex ni adui yangu ambaye sina chuki nae
Akishakuwa ex nafuta kila kitu na natupa/nachoma mazagazaga yote aliyowahi kunipa
Nabaki na memories ambazo with time zinapotea
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]Hakuna usalama mzuri wa nafsi kama kufuta kumbukumbu zisizo na maana katika mapito yako ya nyuma,, kipaji hiki namshukuru Mungu nimepewa, nakufuta kichwani kabisa hata ukikaa ikulu wala sishoboki,,
Safi sana[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]
Najiona Mimi..
Sent using Jamii Forums mobile app
He he he..Eti just Incase!!!Kwamba siku afanyike back up?[emoji28]Hakuna shida, unakuwa nayo tu. Just in case.
[emoji28][emoji28][emoji28]Kwamba ni EX mlioamua kuwa marafiki? Ha ha ha..Mbona balaa zito[emoji2]
Acha visa basi shem!!![emoji28][emoji28][emoji28]Kwamba ni EX mlioamua kuwa marafiki? Ha ha ha..Mbona balaa zito[emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app