Aaah sister, maisha ndio haya haya. Ya nini kufuta namba ya ex wakati hajafa[emoji2369][emoji2369][emoji2369]He he he..Eti just Incase!!!Kwamba siku afanyike back up?[emoji28]
Itoshe kusema..Once its done, it's done...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa yeye ni ex mpendwa[emoji23][emoji23][emoji23] kwani si inawezekana tu!!
Kwakweli leo ndio nimegundua amu singo endi didinti no[emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji28][emoji28][emoji28]Kwamba ni EX mlioamua kuwa marafiki? Ha ha ha..Mbona balaa zito[emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Shemeji yako kwa nani labda?
He he he.. sasa ikae kwa simu yangu juu ya kuifanyia nini?Na sina kazi nayo tena[emoji28]Aaah sister, maisha ndio haya haya. Ya nini kufuta namba ya ex wakati hajafa[emoji2369][emoji2369][emoji2369]
Hakuna cha EX mpendwa weweKuwa yeye ni ex mpendwa[emoji23][emoji23][emoji23] kwani si inawezekana tu!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]He he he.. sasa ikae kwa simu yangu juu ya kuifanyia nini?Na sina kazi nayo tena[emoji28]
Kuifuta itaniepusha na vingi..Ku'block huwa siwezi kabisa..Kwa mtu yoyote yule..
Nimekumbuka Rafiki yangu mmoja alifuta namna ya EX wake, sasa siku moja EX kampigia..Akamuuliza naongea na nani mwenzangu[emoji23]Bwana EX akamuuliza huna NO. Yangu.. Akamjibu ningekuwa nayo nisingekuuliza...EX alikata simu hadi kesho hata kujifanya kakosea msg hajawai[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Utahama ukoo nakwambia.
Sawa..Ukimalizana nayo uniletee mrejesho[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dada mimi bado nina kazi nayo kwakweli.
He he he..Mambo hayo yametokea lini kwani? Sina taarifa rasmi ujue...Utahama ukoo nakwambia.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii ndio taarifa rasmi sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]He he he..Mambo hayo yametokea lini kwani? Sina taarifa rasmi ujue...
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Dah!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sidhani kama nitamalizana nayo kwakweli.
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]Hii ndio taarifa rasmi sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hao wana muda wa kufanya hayo..Weng hawafut sabab ya umbea(in a woman voice) tu
Yaan kuchunguzana .uko na nan..are u happy...umefulia..unateseka etc etc
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
N'taambia nini watu sasa? Subiri kwanza..nitatoa tamko..
Sent using Jamii Forums mobile app