Kuna haja ya kumuamimi Tundu Lissu? Kauli zake huwa zina mkanganyiko kila mara

Kuna haja ya kumuamimi Tundu Lissu? Kauli zake huwa zina mkanganyiko kila mara

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Mwaka 2020 Tundu Lissu baada ya kumaliza kupiga kura akiwa wilayani Ikungi mkoani Singida alisema kwa kinywa chake kuwa zoezi la uchaguzi limenda vizuri.

Lakini baada ya matokeo kutoka Lissu alipaza sauti kuwa huu haukuwa uchaguzi bali wizi na uchafuzi. Na akaondoka nchini kwa escort akisaidiwa na ubalozi wa Ujerumani.

image_search_1645257635641.jpg

Mwaka huu baada ya kukutana na Rais wa JMT Samia Suluhu alisikika akisema kuwa ameongea na rais juu ya masuala kadhaa na mojawapo ni juu ya kesi inayomkabili Mbowe na wenzake. Hapa ndipo makelele na mayowe yakasikika maana watu walijua Mbowe atakuwa huru. Lakini mambo yameenda ndivyo sivyo.

Kauli za Lissu ni kuaminika tena?
image_search_1645257935734.jpg
 
Itakuwa pengine alitaka kumtangulia Bi Mikopo, ili Mr Hai akiachiwa, yeye ajichukulie credits. Atakuwa huenda alifahamu kwamba Mr Hai angeachiwa.

So, akaona kwa nini asiuvuruge mpango mzuri kama alivyofanya, ili Mr Hai aendelee kushikiliwa, then yeye azidi kunufaika kwa kupata mileage na springboards za kuchupia kisiasa.
 
Ukiangalia vizuri picha ya Mr No More, No Less, utagundua kwamba anazidi kunenepa sana kupita kiasi kuliko alivyokuwa 2 years ago.

Kwa upande mwingine, Bi Mikopo amezingatia ushauri wa wadau (mimi nikiwemo). Amepunguza weight kwa kiasi fulani. Japo kazi bado anayo.
 
Nawashangaa mmetawaliwa na hisia zaidi na kuangalia maumbile ya watu ili kuzifurahisha nafsi zenu, bado sijaona popote Lissu alipokosea zaidi ya mahaba yenu kwa watawala.
 
Kwa hii reference uliyotoa kama ndo akili yako ilipoishia basi unahitaji msaada wa tiba ya akili.
 
Nawashangaa mmetawaliwa na hisia zaidi na kuangalia maumbile ya watu ili kuzifurahisha nafsi zenu, bado sijaona popote Lissu alipokosea zaidi ya mahaba yenu kwa watawala.
No case to answer.
 
Back
Top Bottom