Kuna haja ya serikali kutenga bajeti kubwa kwa ajili ya kuisapoti Simba SC

Kuna haja ya serikali kutenga bajeti kubwa kwa ajili ya kuisapoti Simba SC

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Hakuna ubishi kuwa Simba ndio nembo ya Taifa hili kwenye medani za kimataifa ngazi ya klabu barani Afrika.

Simba imekuwa tunu ya Taifa hili hakika tunapaswa kujivunia, huko nyuma tulikuwa wanyonge timu kutoka nje ya nchi zilikuja na kujibebea pointi na kuondoka zao.

Hivi sasa kuna klabu gani kubwa Afrika isiyoijua Simba SC? Hasa inapokuwa uwanja wake wa nyumbani? Benjamin Mkapa (lupaso), jibu ni hapana hivi sasa ni tishio barani Afrika hii haijaja kwa bahati mbaya ni mikakati na uthubutu.

Hivi sasa Tanzania tumepata uwakilishi wa klabu nne kimataifa, hii siyo ndondokela ni Simba kufanya kwake vizuri kimataifa, kuna haja ya bunge la nchi hii kuhakikisha kila wanapopitisha bajeti kila mwaka basi na bajeti ya Simba iwepo.

Jumapili ijayo itamenyana na Orlando Pirates kutoka South Africa, embu vuta picha ni mashabiki wangapi dunia wataufuatili mchezo huo? Ni kiasi gani cha pesa kama taifa tutaingiza kupitia mchezo huo? Jibu ni pesapesa za kutosha.

Nimalize kwa kuwaomba Watanzainia hii ni timu yetu sote tuiunge mkono kwa hali na mali tujitokeze kwa wingi tarehe 17 tukiwa na uzi wetu mwekundu, hii mechi hatuhitaji kushinda tu bali tunataka ushindi wa kishindo.#NGUVUMOJA.
 
Hatuhitaji michango, tunahitaji kupewa thamani kama vilivyo vivutio vingine nchini, kwa mfano wizara ya utalii si inabajeti kwa sababu inaliingizia taifa pesa? Basi na Simba tunahitaji kupewa haki yetu.
Umemjibu vizuri japo hawa ndugu zetu huwa hawapendi kuambiwa ukweli
 
Hakuna ubishi kuwa Simba ndio nembo ya Taifa hili kwenye medani za kimataifa ngazi ya klabu barani Afrika.

Simba imekuwa tunu ya Taifa hili hakika tunapaswa kujivunia, huko nyuma tulikuwa wanyonge timu kutoka nje ya nchi zilikuja na kujibebea pointi na kuondoka zao.

Hivi sasa kuna klabu gani kubwa Afrika isiyoijua Simba SC? Hasa inapokuwa uwanja wake wa nyumbani? Benjamin Mkapa (lupaso), jibu ni hapana hivi sasa ni tishio barani Afrika hii haijaja kwa bahati mbaya ni mikakati na uthubutu.

Hivi sasa Tanzania tumepata uwakilishi wa klabu nne kimataifa, hii siyo ndondokela ni Simba kufanya kwake vizuri kimataifa, kuna haja ya bunge la nchi hii kuhakikisha kila wanapopitisha bajeti kila mwaka basi na bajeti ya Simba iwepo.

Jumapili ijayo itamenyana na Orlando Pirates kutoka South Africa, embu vuta picha ni mashabiki wangapi dunia wataufuatili mchezo huo? Ni kiasi gani cha pesa kama taifa tutaingiza kupitia mchezo huo? Jibu ni pesapesa za kutosha.

Nimalize kwa kuwaomba Watanzainia hii ni timu yetu sote tuiunge mkono kwa hali na mali tujitokeze kwa wingi tarehe 17 tukiwa na uzi wetu mwekundu, hii mechi hatuhitaji kushinda tu bali tunataka ushindi wa kishindo.#NGUVUMOJA.
Hivi kitu gani cha ajabu ambacho Simba imefanya kiasi kwamba mnai overrate hivyo?
 
Hakuna ubishi kuwa Simba ndio nembo ya Taifa hili kwenye medani za kimataifa ngazi ya klabu barani Afrika.

Simba imekuwa tunu ya Taifa hili hakika tunapaswa kujivunia, huko nyuma tulikuwa wanyonge timu kutoka nje ya nchi zilikuja na kujibebea pointi na kuondoka zao.

Hivi sasa kuna klabu gani kubwa Afrika isiyoijua Simba SC? Hasa inapokuwa uwanja wake wa nyumbani? Benjamin Mkapa (lupaso), jibu ni hapana hivi sasa ni tishio barani Afrika hii haijaja kwa bahati mbaya ni mikakati na uthubutu.

Hivi sasa Tanzania tumepata uwakilishi wa klabu nne kimataifa, hii siyo ndondokela ni Simba kufanya kwake vizuri kimataifa, kuna haja ya bunge la nchi hii kuhakikisha kila wanapopitisha bajeti kila mwaka basi na bajeti ya Simba iwepo.

Jumapili ijayo itamenyana na Orlando Pirates kutoka South Africa, embu vuta picha ni mashabiki wangapi dunia wataufuatili mchezo huo? Ni kiasi gani cha pesa kama taifa tutaingiza kupitia mchezo huo? Jibu ni pesapesa za kutosha.

Nimalize kwa kuwaomba Watanzainia hii ni timu yetu sote tuiunge mkono kwa hali na mali tujitokeze kwa wingi tarehe 17 tukiwa na uzi wetu mwekundu, hii mechi hatuhitaji kushinda tu bali tunataka ushindi wa kishindo.#NGUVUMOJA.
Simba ni kama "Wakuria" tuu.
Wababe kwao,mjini wanauza mayai

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
 
Karibu tarehe 17 kwa mkapa fahari wa nchi anacheza, usisahau uzi wako mwekundu mbele maandishi yasomeke visit Tanzani [emoji123][emoji123][emoji881][emoji881]
Fahari [emoji777] Fahali [emoji736]

Ndiyomaana inasemekana wakenya wanatuzidi kiswahili tokana na vitu kama hivi.
 
Sisi ni thamani mzee, kuna watalii wanatoka mataifa mbali mbali kwa ajili ya kuja kuiona Simba sc.
Watalii gani hao walikosa kazi ya kufanya? Yani mtu apoteze kabisa muda wake kusafiri kuja kuangalia manyau nyau meusi kwa mkapa yakicheza mpira, si bora hata huo muda achape usingizi mwororo na familia yake nyumbani [emoji848] [emoji16]

Bila shaka ndoto za mchana ni raha sana [emoji28]
 
Back
Top Bottom