Kuna haja ya serikali kutenga bajeti kubwa kwa ajili ya kuisapoti Simba SC

Kuna haja ya serikali kutenga bajeti kubwa kwa ajili ya kuisapoti Simba SC

Tukiwaambia mashabiki wa MIKIA
1. Wengi madishi yameyumba
2. Wengi ni watoto watoto
3. Wengi wanaota simba tu
4. Wengi wale wenye dishi upande kama huyu hawana kazi zingine wanawaza ipo siku watagawiwa maisha (hela kutoka mikiani).
5. Wengi hakuna wanachofikiri zaidi ya simba kutwa nzima
kushinda hawa? kama asemavyo msukule

C043081A-4F90-4137-9D6B-6548F0C3D8DE.jpeg
 
Nashauri serikali kupitia wizara ya utalii, iweke bajeti japo ya 100m kwa kila mechi za awali. 100m ikishinda na 30m ikidroo, ikifungwa 10m

Afu kule makundi 200m kila mechi kutangaza utalii timu ikipata ushindi,ikidroo 100m. Ikifungwa 20m

Hatua ya robo fainali na kuendelea 500m ikishinda, droo 200m ikifungwa 50m.

Hii itasaidia pia kuzipa morali timu zetu.
 
Back
Top Bottom