Kuna haja ya serikali kutenga bajeti kubwa kwa ajili ya kuisapoti Simba SC

kushinda hawa? kama asemavyo msukule

 
Nashauri serikali kupitia wizara ya utalii, iweke bajeti japo ya 100m kwa kila mechi za awali. 100m ikishinda na 30m ikidroo, ikifungwa 10m

Afu kule makundi 200m kila mechi kutangaza utalii timu ikipata ushindi,ikidroo 100m. Ikifungwa 20m

Hatua ya robo fainali na kuendelea 500m ikishinda, droo 200m ikifungwa 50m.

Hii itasaidia pia kuzipa morali timu zetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…