The Worst
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 6,108
- 21,140
Lakini huyu wa juzi.....yaani hata sijui alikuwa na maana gani au akili gani?niliposoma habari zake nilijiuliza kwa masaa kujaribu kuwaza aliwaza nini hadi akafanya unyama ule nikakosa jibu.
Watoto 22 kweli kweli kabisa watoto ishirini na mbili unawanajisi tena continuously hata utu unakosa?hii kitu inasikitisha na inatia hasira kinyama yani huyu kwa waliotendwa kwa watoto wao wadili nae nje ya mfumo ili amani ya mioyo ipatikane hiki ni kidonda kikali sana hakivumiliki!!!
Watoto 22 kweli kweli kabisa watoto ishirini na mbili unawanajisi tena continuously hata utu unakosa?hii kitu inasikitisha na inatia hasira kinyama yani huyu kwa waliotendwa kwa watoto wao wadili nae nje ya mfumo ili amani ya mioyo ipatikane hiki ni kidonda kikali sana hakivumiliki!!!