Sisi SII Wana umoja party hivyo pambana na Wana umoja wenzio🤔Baada ya vuguvugu kubwa la kuanzishwa kwa chama cha siasa cha Umoja Party ni dhahili sasa safari imeanza ,lakini nna ombi moja tu tubadili Jina kuwa Chama cha Ukombozi na Umoja Tanzania (CUUTA).
Sababu kubwa ni kwamba kwanza tunahitaji kukomboa watu kifikra na ki uchumi na ndipo tuwaunganishe .
WanaJf mnaonaje ?
Umeachana na CCM na ACT-Wazerankende?Umoja party ni mkombozi wetu, chadema ni wanafiki mno
Tutawanyoosha washamba nyie lazima mkachunge ng'ombe mwaka huuUmoja party ni mkombozi wetu, chadema ni wanafiki mno
... mmeanza kuunda na kufadhili vikundi vya mamluki kupambana na vyama vinavyotetea maslahi ya wananchi? Ndicho mlichokubaliana kwenye vikao vyenu vya TCD? Tumewastukia!Umoja party ni mkombozi wetu, chadema ni wanafiki mno
Acha ChukiKalemani na Polepole ndio wafadhili wa hiki chama, pamoja na Luhaga Mpina na Bashiru.
Nashauri kiitwe Chato Democratic Party -CDP
Viongozi wao ni akina Nani? Itikadi yao ni ipi?Umoja party ni mkombozi wetu, chadema ni wanafiki mno
[emoji28][emoji28]Umeachana na CCM na ACT-Wazerankende?
Chato and sukuma alluance partyKalemani na Polepole ndio wafadhili wa hiki chama, pamoja na Luhaga Mpina na Bashiru.
Nashauri kiitwe Chato Democratic Party -CDP
Mwenzenu nililala ndiyo naamka.Kuna chama kimesajiliwa kinaitwa umoja party?Lini tena!Baada ya vuguvugu kubwa la kuanzishwa kwa chama cha siasa cha Umoja Party ni dhahili sasa safari imeanza lakini nna ombi moja tu tubadili Jina kuwa Chama cha Ukombozi na Umoja Tanzania (CUUTA).
Sababu kubwa ni kwamba kwanza tunahitaji kukomboa watu kifikra na kiuchumi na ndipo tuwaunganishe.
WanaJf mnaonaje?
Acha Chuki
Baada ya vuguvugu kubwa la kuanzishwa kwa chama cha siasa cha Umoja Party ni dhahili sasa safari imeanza lakini nna ombi moja tu tubadili Jina kuwa Chama cha Ukombozi na Umoja Tanzania (CUUTA).
Sababu kubwa ni kwamba kwanza tunahitaji kukomboa watu kifikra na kiuchumi na ndipo tuwaunganishe.
WanaJf mnaonaje?
mkuu hujapigwa ban? naona uzi wako ulifutwaUmoja party ni mkombozi wetu, chadema ni wanafiki mno
Ndio mwenye kiti wa umoja party au🐒Umoja party ni mkombozi wetu, chadema ni wanafiki mno