Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa, yaani kazi wanayoWape salaam kwa ufupi tu kwamba anayesajili vyama vya siasa usajili wa kudumu ana riport kila siku kwa Mwenyekiti wa CCM Taifa.
Linalofanyika ndivyo sivyo ndani ya CCM au wapi? Kwani huko ndani ya CCM kuna nini mkuu, joto limezidi?Kadi yangu ya CCM nitabaki nayo ila sitakaa kimya nikiona kuna jambo linalofanyika ndivyo sivyo.
Makundi mawili ya CCM haya. Hapa kuna lile la mwendazake na hili la chief Hangaya. Yetu macho.Naona unataja watu ambao mioyoni mwa watanzania wanakubalika kinoma. Pole sana, maana mlivyo wachafu hata kuingia mitaani mnaogopa. Makamba alienda kule Stigler basi akafika akashusha vioo asalimie aisee watu walimkaushia yaani walimuona ni kituko.
CCK enzi zile, ila Mh. Nape ni mnafiki sana, ntu wa ugali, ililipwa ndoga kubhwa na wauzaji ikauza mexhi, sema mtandao wa madawa ukiwasaliti wanakuua, ndiyo maana viongozi wengi wa kibongo wapo compromised hata usemeje kuhusu uadilifu hawatakusikia kwa sababu maisha yao yapo rehani na magenge ya kiharifu hata Mama msemeje probably yupo already compromised ndiyo maana kachagua na kurejesha ngandaaaaassswaa
Hili la msingiHiki chama inabid kiache kutumia picha ya magufuri ili kipate wafuasi wengi zaidi nje ya sukuma gang,maana wengine tukiona picha ya magufuri ni kama tumeona pe po
Mashabiki wa chama hicho wanapendekeza kiitwe Chato Democratic Party. Mbona kama hutaki hilo jina?Au kiitwe Chama Cha Umoja na Ukombozi Tanzania .-CUUTA
Kwanini kiitwe Chato ?Mashabiki wa chama hicho wanapendekeza kiitwe Chato Democratic Party. Mbona kama hutaki hilo jina?
That's just a joke chief. Don't take it seriously. JF ukiwa serious, lazima sukari ishuke. Na sisi hatutaki sukari, that's why we do joke around.Hahahaa daa
Sawa chiefThat's just a joke chief. Don't take it seriously. JF ukiwa serious, lazima sukari ishuke. Na sisi hatutaki sukari, that's why we do joke around.
Naona unataja watu ambao mioyoni mwa watanzania wanakubalika kinoma. Pole sana, maana mlivyo wachafu hata kuingia mitaani mnaogopa. Makamba alienda kule Stigler basi akafika akashusha vioo asalimie aisee watu walimkaushia yaani walimuona ni kitu
Hahahaa"Luwassa" in Kingunge's voice.
Ni kutoa mawazo tu sio lazima uwe mwanachamaSisi SII Wana umoja party hivyo pambana na Wana umoja wenzio🤔
SawaKalemani na Polepole ndio wafadhili wa hiki chama, pamoja na Luhaga Mpina na Bashiru.
Nashauri kiitwe Chato Democratic Party -CDP