Kuna haja ya wazazi kuwaaandalia watoto wao mazingira ya kazi kama ilivyo jamii za kipemba ,kiarabu na kihindi.

Kuna haja ya wazazi kuwaaandalia watoto wao mazingira ya kazi kama ilivyo jamii za kipemba ,kiarabu na kihindi.

Wauzaji wa containers

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2024
Posts
615
Reaction score
1,443
Nimefatilia Sana na kuangalia mtu Amalia machozi na wengine wakianzisha umoja wao wa Majobless ili kuendesha harakati za kudai Ajira.

Ni kweli serikali inabidi kuhakikisha inaweka mazingira wezeshi ya kupunguza hili tatizo hata kwa asilimia kadhaa .

Ila kubwa kuliko ni wazazi kuwa na uwezo wa kufikiria kesho ya watoto wao.

Mfano mnaweza kuanzisha biashara mbali mbali mkazikuza na kupitia hizo biashara mkaajiri vijana wenu na wakaishi vizuri tu.

Waarabu , wahindi na sasa wapemba na wakinga ni nadra kumkuta anaweweseka na hela ya kula ,kuishi n.k

Swala ubinafsi kwa Mbantu litamtesa Sana .

Elimu haiwezi ikawa urithi hata siku moja.

Tafuta Mali ,wekeza fungua miradi endelevu ili watoto wako wasije kuwa watumwa wa hii dunia.
 
Wenzenu wanaishi maisha ya kijamaa ,wanaishi kwa pamoja nyie humu kila siku ni nyuzi za kuwasema ndugu zenu hayo mafanikio mtayasikia kweny bomba .

Hapa kitaa jamaa kaozesha watoto wake wote watano ; wakiume wamebaki kwao kila mtu ana chumba na mkewe tena ni graduates wote ,huku wanasongesha biashara za kifamilia.
 
Wenzenu wanaishi kwa maisha ya kijamaa ,wanaishi kwa pamoja nyie humu kila siku ni nyuzi za kuwasema ndugu zenu hayo mafanikio mtayasikia kweny bomba .

Hapa kitaa jamaa kaozesha watoto wake wore watano ; wakiume wamabaki kwao kila mtu ana chumba na mkewe tena ni graduates wote ,huku wanasongesha biashara za kifamilia.
Hakika ni nzuri Sana
 
Waarabu, wahindi na watu wa jamii hizo wana umoja sana na ndicho kinachowafanya kuwa na mafanikio. Sisi sasa ukifanikiwa unataka uabudiwe hadi na mbuzi wenu huko kijijini.

Naunga mkono mada, soko la ajira ni gumu sana kwa sasa, vijana wengi waliohitimu wanapitia hali ngumu mno hadi wengine wanawehuka kwa ugumu wa maisha kwa sababu hawana kitu cha kufanya.

Kama familia itakuwa imewekeza kama wafanyavyo waarabu na wahindi ni rahisi kijana akihitimu kuwa na kitu cha kufanya kupata kipato hata kidogo huku akitafuta ajira n.k

Shida kubwa nayoiona kwa waliojaliwa kupata fursa hizo wengi wanazichezea kwa kutokuwa waaminifu hali inayosababisha kuyumba kwa biashara wanazoingizwa kufanya. Vijana tuchangamkie fursa kwa uaminifu mkubwa, mtaa ni mgumu sana.
 
Waarabu, wahindi na watu wa jamii hizo wana umoja sana na ndicho kinachowafanya kuwa na mafanikio. Sisi sasa ukifanikiwa unataka uabudiwe hadi na mbuzi wenu huko kijijini.

Naunga mkono mada, soko la ajira ni gumu sana kwa sasa, vijana wengi waliohitimu wanapitia hali ngumu mno hadi wengine wanawehuka kwa ugumu wa maisha kwa sababu hawana kitu cha kufanya.

Kama familia itakuwa imewekeza kama wafanyavyo waarabu na wahindi ni rahisi kijana akihitimu kuwa na kitu cha kufanya kupata kipato hata kidogo huku akitafuta ajira n.k

Shida kubwa nayoiona kwa waliojaliwa kupata fursa hizo wengi wanazichezea kwa kutokuwa waaminifu hali inayosababisha kuyumba kwa biashara wanazoingizwa kufanya. Vijana tuchangamkie fursa kwa uaminifu mkubwa, mtaa ni mgumu sana.

Umewahi kukuta muhindi anafundisha Shule za serikali ?
 
Kwel nakubaliana na wew miaka kadhaa nilihitimu chuo nilitunza kaboom kangu ikafika 2m nikasema nikimaliz naacha mtaji wa maisha aisee nilitapeliwa mpk leo naishi maisha magumu sielewi nachanganyikiwa hela ambayo nilitunza miaka mitatu imepotea kwa siku moja
 
Kwel nakubaliana na wew miaka kadhaa nilihitimu chuo nilitunza kaboom kangu ikafika 2m nikasema nikimaliz naacha mtaji wa maisha aisee nilitapeliwa mpk leo naishi maisha magumu sielewi nachanganyikiwa hela ambayo nilitunza miaka mitatu imepotea kwa siku moja
Pole sana mkuu, kwenye haya maisha kila ulichonacho kuna mtu anakitaka, hata uhai.
 
Nimefatilia Sana na kuangalia mtu Amalia machozi na wengine wakianzisha umoja wao wa Majobless ili kuendesha harakati za kudai Ajira.

Ni kweli serikali inabidi kuhakikisha inaweka mazingira wezeshi ya kupunguza hili tatizo hata kwa asilimia kadhaa .

Ila kubwa kuliko ni wazazi kuwa na uwezo wa kufikiria kesho ya watoto wao.

Mfano mnaweza kuanzisha biashara mbali mbali mkazikuza na kupitia hizo biashara mkaajiri vijana wenu na wakaishi vizuri tu.

Waarabu , wahindi na sasa wapemba na wakinga ni nadra kumkuta anaweweseka na hela ya kula ,kuishi n.k

Swala ubinafsi kwa Mbantu litamtesa Sana .

Elimu haiwezi ikawa urithi hata siku moja.

Tafuta Mali ,wekeza fungua miradi endelevu ili watoto wako wasije kuwa watumwa wa hii dunia.
Black skinned people hawana discipline ya pesa, mtoto anamtapeli baba ake asubuhi mapema.
 
Nimefatilia Sana na kuangalia mtu Amalia machozi na wengine wakianzisha umoja wao wa Majobless ili kuendesha harakati za kudai Ajira.

Ni kweli serikali inabidi kuhakikisha inaweka mazingira wezeshi ya kupunguza hili tatizo hata kwa asilimia kadhaa .

Ila kubwa kuliko ni wazazi kuwa na uwezo wa kufikiria kesho ya watoto wao.

Mfano mnaweza kuanzisha biashara mbali mbali mkazikuza na kupitia hizo biashara mkaajiri vijana wenu na wakaishi vizuri tu.

Waarabu , wahindi na sasa wapemba na wakinga ni nadra kumkuta anaweweseka na hela ya kula ,kuishi n.k

Swala ubinafsi kwa Mbantu litamtesa Sana .

Elimu haiwezi ikawa urithi hata siku moja.

Tafuta Mali ,wekeza fungua miradi endelevu ili watoto wako wasije kuwa watumwa wa hii dunia.
Ahsante kwa muongozo mkuu.

Hii ni ndoto nzuri sana inapaswa kutekelezwa na kutimizwa kwa kila mzazi atakayekuwa na wasaa wa kufanya hivi.

Ndio maana mtu kama mzee wa scuff ya Taifa anamwandaa mwanae kupitia chipukizi ili baadae aweze kuwa na wadhifa kwenye game
 
Pole sana mkuu, kwenye haya maisha kila ulichonacho kuna mtu anakitaka, hata uhai.
Asante kaka maisha haya acheni tu kuna muda unataka utoke tu duniani alafu unashangaa viongozi wapo serikalini wanapiga mabilioni ya pesa huku watoto wa kimasikini tunazidi kuteseka viongozi wa nchi na familia wamechangia ongezeko la umasikini nchini ......

hawajali kabisa hawatengenez aina za ukuaji wa vijana hawawapi vijana nafasi leo mtu ana miaka 70 ashakuwa retired unamuongezea tena nafasi juu ya nafasi ambapo kuna vijana wanatakiwa wapatiwe wafungue biashara wainue wengine aisee ..

Kibaya zaid unaendelea kudahiri wanafunzi .
wa elimu ya juu kada ya ualimu tena wengi zaid ukijua kabisa unaend kuweka mzigo mpya hawatak kubadili mfumo wa elimu kutoka kweny theory kwenda kweny practical na technolojia mpya unasoma motherboard kwa kuiona unaend interview unaambiwa tengenez mfano wa motherboard nothing else here nor
 
Wenzenu wanaishi maisha ya kijamaa ,wanaishi kwa pamoja nyie humu kila siku ni nyuzi za kuwasema ndugu zenu hayo mafanikio mtayasikia kweny bomba .

Hapa kitaa jamaa kaozesha watoto wake wote watano ; wakiume wamebaki kwao kila mtu ana chumba na mkewe tena ni graduates wote ,huku wanasongesha biashara za kifamilia.
Sema wazazi wa kibantu Wana roho mbaya kwakuwa wao walipata tabu wanataka na watoto wake wapate tabu
 
Ujue watu wengi hasa hasa sisi wabantu.
Tunatokea familia za kimaskini na kwenye ELIMU unakuta mzazi anasema Ina maana amekosa hata four ya ualimu?

Mfumo ambao ummetuandaa ni kua tusome tufaulu kisha tupate ajira na watoto wa kimaskini wakakimbilia kusoma EDUCATION wakijua fasta fasta ni ajira Nje Nje..

Maoni yangu mfumo Sasa umebadirishwa sio Kama ule wa zamani na haiwezi kurudi Kama dhamani walimu wote kuajiriwa kwa mkupuo..

Unajua nashaur vijana kuto kubakia kwenye page Ile Ile na kulalamika hakoto saidia pesa ipo mtaani / street ni kutafuta industry yeyote na kukubali kuanzia Chini yaan weka vyeti kabatini then scratch from the beginning...

Na jamaa yangu mbagala vyeti kavifungia kabatini now mwaka wa 10 anauza mitumba mbagala..kwanza jamaa Katengeneza jina ana wateja wengi.. uaminifu 💯 now anajenga nyumba yake nzurii ana mke amefungua biashara nyingine

Vijana tukubali kuanzia Chini..Mimi Nina hiyo spirit sijui sababu ya damu ya upande mmoja ya kichaga.. nilishindwa Maisha natafuta Kijiji naenda kaa naanza kuscratch from beginning.
 
Back
Top Bottom