Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Enzi zote.. JK na JPM.Enzi za JK au JPM?
Kinqcho matter ni aina ya kozi uliyoomba na sio umesoma shule gani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Enzi zote.. JK na JPM.Enzi za JK au JPM?
Enzi zote.. JK na JPM.
Kinqcho matter ni aina ya kozi uliyoomba na sio umesoma shule gani.
Huu ni uongo 100%Moja Kwa Moja anakosa sifa ya kupata mkopo wa HESLB,
Kwanini serikali imeendelea kuiacha elimu hiyo ya kidato cha 5 & 6 kama ni kupoteza muda?Usipoteze mda kwenda 5 na 6 , Haina professional yoyote , tafuta cheti chenye professional, kwa Tz ya kipindi hiki 5 na 6 ni kupoteza mda. Haina thamani tena. Mwanzako anasoma miaka mitatu diploma anauwezo wa kuomba kazi yoyote na akaajilika , lakini six labda ukalime JkT .
Waendelee kuiacha tu ila sisi ambao tupo field baaada ya hiyo elimu ndo tunaona udhaifu wake , sio mbaya ni nzuri tu , ila serikali ndo inavyo ishusha hadhiKwanini serikali imeendelea kuiacha elimu hiyo ya kidato cha 5 & 6 kama ni kupoteza muda?