NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Kwenye kupambania uhai wa mtuwako wa karibu aisee,achana na mali hata figo mtu unaweza toa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani ingekuwa kuna option hio utajiri ungekuwa sio nyumba wala asset bali ni uwezo wa kuzuia ndugu asife kila mtu ndio ingekuwa lengo lake namba 1!Katika kitu ambacho binadamu au pengine wanyama wote tumejaliwa na kinatutenganisha na mimea ni kitu kinaitwa HOPE/MATUMAINI
Tumaini ulilonalo wewe unapambana mpk mwisho hata mambo yakiwa magumu kiasi gani ndo matumaini hayo hayo yanafanya hio unayoita "busara" isitumike
Kuwa na kitu "to hold on to". Wewe sio unayeamua kuwa atakufa au hafi lakini at least uweze kusema nilifanya kila lililo ndani ya uwezo wangu kuokoa maisha ya babaangu ila Mungu alimpenda zaidi.
Tatizo ni kama utaanza kujuta baadae(hujasema kama jamaa yako anajutia hatua hiyo) kama unajuta basi hukutumia " busara"
Anaweza kuwa karudi nyuma sana kimaisha lakini akawa na amani mno moyoni kwa jinsi alivyompambania mzazi wake. Na unaweza ukatumia "busara" kwamba huyu anakufa tu yanini tuhangaike halafu ukabaki na machungu na majuto makubwa sana rohoni hata hiyo nyumba haiwezi kutafuta machungu hayo. Ukabaki na maswali tu kwamba "what if" ninge ninge kibao
Kifo kisikieni tu kwa wengine. Ungekua ni uwezo wetu kila mtu angezuia ndugu/mpendwa asife kwa gharama yoyote ile
RIP to the fallen
Jamaa anaongea, akizaa watoto na mke anae ataona jinsi ambavyo hata taxi bubu yake anaweza kuuza hata kwa bei ya hasara ili asimkose mwanaeKwenye kupambania uhai wa mtuwako wa karibu aisee,achana na mali hata figo mtu unaweza toa.
Licha ya udogo wako Soja unaandikaga mada za maana sana. Kudos Soja wangu.
Kuna kisa kimoja cha shangazi yangu mwalimu mstaafu nitakuja kukiandika hapa ngoja kidogo kwa maana nipo safarini.
Jamaa anaongea, akizaa watoto na mke anae ataona jinsi ambavyo hata taxi bubu yake anaweza kuuza hata kwa bei ya hasara ili asimkose mwanae
Familia masikini/fukara kuuza nyumba yao ya pekee ni pigo kubwa sana kwa watoto wadogo.Kabisa sijaona mbadala wa uhai ,kama kuna possibility ya kuokoa uhai kwa kuuza nyumba ni bora iuzwe!! Watu wanakufa kwa malaria tu hivyo hata figo/kansa kuna possibility ya kupona vile vile,
Familia masikini/fukara kuuza nyumba yao ya pekee ni pigo kubwa sana kwa watoto wadogo.Jamaa anaongea, akizaa watoto na mke anae ataona jinsi ambavyo hata taxi bubu yake anaweza kuuza hata kwa bei ya hasara ili asimkose mwanae
Eeh mkuu, yani mambo haya ni mitihani ya kimaisha. Uwe na asset halafu maza anaumwa ile mbaya na anatibika eti useme siwezi kuuza tv nikamtibu bi. mkubwa. Halipo hilo!Kabisa sijaona mbadala wa uhai ,kama kuna possibility ya kuokoa uhai kwa kuuza nyumba ni bora iuzwe!! Watu wanakufa kwa malaria tu hivyo hata figo/kansa kuna possibility ya kupona vile vile,
Ni pigo ila kumbuka mzazi bila yeye msingekuwepo. Afterall ni nyumba yake.Familia masikini/fukara kuuza nyumba yao ya pekee ni pigo kubwa sana kwa watoto wadogo.
Una waachaje watoto wa darasa la 4 baada ya kufa?Ni pigo ila kumbuka mzazi bila yeye msingekuwepo. Afterall ni nyumba yake.
Ina maana baba kazaa akiwa na miaka 50+ au?Una waachaje watoto wa darasa la 4 baada kufa?
Soma hapa. Wewe pia ulikuwa unaunga mkono wanaozaa uzeeni.Ina maana baba kazaa akiwa na miaka 50+ au?
Yah i remember SajukiSoma hapa. Wewe pia ulikuwa unaunga mkono wanaozaa uzeeni.
Bado kuna wazazi wanaendelea kuzaa hata baada ya mtoto wao wa kwanza kuolewa? Mtoto wa mwisho analingana na mjukuu wa kwanza? Huku ni kukosa maadili
Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa hapa JamiiForums. Ndugu zangu Watanzania; Bado kuna watu wazima wanaendelea kuzaa hata baada ya mtoto wao wa kwanza kuolewa? Mtoto wa mwisho analingana na mjukuu wa kwanza? Huku ni kukosa maadili. Siku ya sherehe ya mwaka mpya nilikutana na...www.jamiiforums.com
Pia kumbuka terminal illness inawakuta sana vijana siku hizi ambao wapo below 45. Kumbuka Sajuki wa bingi movie
Mbona Ulaya kama mgonjwa ni mahututi na mnajua hawezi kupona anapewa option ya Anaesthesia (kipimo kinazidishwa) mpaka unafariki ili kupunguza maumivu, gharama za kulaza/Matunzo, na sijui kuuza mali ili apone.Eeh mkuu, yani mambo haya ni mitihani ya kimaisha. Uwe na asset halafu maza anaumwa ile mbaya na anatibika eti useme siwezi kuuza tv nikamtibu bi. mkubwa. Halipo hilo!
You said it right bro.Mbona Ulaya kama mgonjwa ni mahututi na mnajua hawezi kupona anapewa option ya Anaesthesia (kipimo kinazidishwa) mpaka unafariki ili kupunguza maumivu, gharama za kulaza/Matunzo, na sijui kuuza mali ili apone.
Nadhani ni uelewa tu wa jamii na kukubaliana na ukweli kwamba huyu atakufa tu hta tufanye nini. So ku minimize risks ni muhimu zaidi ya kuwa emotional.
Btw sheria imepitishwa nchi za EU huko kwamba hyo dozi anaweza pewa mpaka mtoto mchanga. Mfano mtoto anazaliwa leo ila tayari mapafu cjui yametoboka instead of kuishi maisha yake yote na mipira kifuani mnaona arudi tu kwa muumba wake kuliko ateseke kwa miaka 60 hapa duniani.
who cares! mimi mwenyewe nimejiweka kwenye IGNORE LIST yangu unadhani nashughulishwa sana na wewe kuniweka kwenye list yako!? acha kua NAIVE.Insults reported. WELCOME TO MY IGNORE LIST. GOOD BYE.
Hii ipo sana Afrika mkuu.Kuna kuitumikia mali na mali kututumikia sisi...
Kama sherehe tunatumia mamillions ya pesa,hvyohvyo tunajibana tuchange tusherehekee tule bata....
Bado wale wanaoonga majumba,simu,gari n.k