Kuna hawa wakuja pm kuomba kupigiwa kura hii si rushwa tu kma rushwa nyingine

Kuna hawa wakuja pm kuomba kupigiwa kura hii si rushwa tu kma rushwa nyingine

goroko77

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2019
Posts
8,845
Reaction score
13,072
Wakuu kila siku nacheki pm yangu member nakuta massage na ujumbe watu kuomba niwapigie kura mm bila mm kusoma hata Uzi wake je hi si rushwa tu Kama rishwa zingine Kama mtu unajiamini na unauhakika na bandiko lako ya nn upitepite humu kuomba kupigiwa kura .

Mm huwa sipigi kura bila chochote kitu Ni desturi yangu toka mwak 2005 kuwa ukiwa unaitaji kura yangu bas niwezeshe niweze kukuwezesha na wee ufikie malengo yako
Nb
Pia mm nadhani hao wanaoendesha shindano lile waangalie namna Bora ya kupata mshindi mnk inaonesha wengi wanakuja pm kuomba kupigiwa kura bila kusoma mabandiko yao
 
Wakuu kila siku nacheki pm yangu member nakuta massage na ujumbe watu kuomba niwapigie kura mm bila mm kusoma hata Uzi wake je hi si rushwa tu Kama rishwa zingine Kama mtu unajiamini na unauhakika na bandiko lako ya nn upitepite humu kuomba kupigiwa kura .

Mm huwa sipigi kura bila chochote kitu Ni desturi yangu toka mwak 2005 kuwa ukiwa unaitaji kura yangu bas niwezeshe niweze kukuwezesha na wee ufikie malengo yako
Nb
Pia mm nadhani hao wanaoendesha shindano lile waangalie namna Bora ya kupata mshindi mnk inaonesha wengi wanakuja pm kuomba kupigiwa kura bila kusoma mabandiko yao
Sawa mkuu,hivi utaamua vipi unapigiwa simu na chairperson wa ccm kuomba kura yako, utamwambia akuwezeshe kwanza?,hii ni dunia ya sasa kuombana kura kwa njia hii ni kitu cha kawaida kabisa
 
mbona sie tumeombwa hazarani kbs wala hatujawaza hivo.
 
Wakuu kila siku nacheki pm yangu member nakuta massage na ujumbe watu kuomba niwapigie kura mm bila mm kusoma hata Uzi wake je hi si rushwa tu Kama rishwa zingine Kama mtu unajiamini na unauhakika na bandiko lako ya nn upitepite humu kuomba kupigiwa kura .

Mm huwa sipigi kura bila chochote kitu Ni desturi yangu toka mwak 2005 kuwa ukiwa unaitaji kura yangu bas niwezeshe niweze kukuwezesha na wee ufikie malengo yako
Nb
Pia mm nadhani hao wanaoendesha shindano lile waangalie namna Bora ya kupata mshindi mnk inaonesha wengi wanakuja pm kuomba kupigiwa kura bila kusoma mabandiko yao
Ndio maana awamu hii siingia inbox ya mtu kuomba kura. Unakesha kuomba kura afu hushindi dadadeki. Acha wachague mshindi atake onekana anafaa kulingana na vigezo vyao
 
Back
Top Bottom