Kuna idadi kubwa ya sup UDSM

Bidii katika masomo ndio siri ya Mafanikio kwa Mwanafunzi.
Hizi tambo za Chuo kigumu hazina Mashiko.
Kuwa mwangalifu unaweza shindwa hata kuichomoa hiyo supp....
 

!
!
udom na kwenyewe mnasapu kumbe? utakuwa kilaza mno kupata sup hapo. Nilikosoma mimi hata nafasi ya kusoma usingepata.
 
Usijitetee wewe si wa kwanza kubukua hapo, watu tumepita hapo tena kitambo wakati muhandisi unatoka muhandisi kweli sio sasa hivi michakachuo kibao...mimi ni graduate wa 2002 nafahamu A-Z za hapo mlimani, wanaoshikwa vilaza wacheza viduku na disco!

We ni muongo na hujasoma udsm bwe9e wewe
 
Kuna sehemu hapo mabibo panaitwa kwa mama kifusi nenda pale upate wali utaoshindwa kumaliza mkuu, nadhani siku nikitembelea mabibo hostel nitaenda pale kujikumbushia maisha ya chuo, then kuna wamama pale geti maji wanauza misosi nawakumbuka sana

mkuu umesahau ukoko wa kafeteria ya coet 500 tu fuko linajaa
 
Samahani kwa kuingilia,
Eti nasikia tarehe ya kufungua chuo (UDSM) imesogezwa mbele hadi tarehe 18 October.
Kuna mwenye Uhakika katika hili wana Jamvi?…………

Mkuu usituaibishe bwana soma university almanac usipende vya kuhadithiwa
 
Ukweli unabaki palepale anayepata supp ni kilaza bila kujali ni chuo gani bcoz ambao si vilaza wanamaliza chuo bila sup miaka yote


NB. hakuna chuo kigumu TANZANIA ila vichwa vya watu ni vigumu unless iwe wanasup darasa zima
 
We ni muongo na hujasoma udsm bwe9e wewe

Kwani kusoma udsm ni nini yani.. Daahh watu washamba kweli aiseh.. Nimeamin msemo kuwa wanafunzi w udsm wamebakiwa na tambo tu..... Ila kichwani sifuri

watu tulichaguliwa vyuo vitatu ikiwemo udsm tukaenda vyuo vingine.....

miaka hyo unaomba chuo kwa form

darasa linakuwa na wanafunzi 300????? arghhhhhhhhh
 
We ni muongo na hujasoma udsm bwe9e wewe

Lazima usiamini F.A.L.A kwa Kuwa vilaza ni wagumu kuelewa that's why supp kwao ni sifa hadi kufikia kujitangaza JF na kuona wao pekee ndo wamesoma pale Udsm na kutaka kudanganya wengine wasiojua mazingira ya pale.Sasa wewe kilaza wa nguvu chomoa dude(supp) hilo kwanza litaleza madhara ma.ta.koni!
 
[QUOTE=madukwappa;1063778

watu tulichaguliwa vyuo vitatu ikiwemo udsm tukaenda vyuo vingine.....




Mi si nilisema wewe hujasoma udsm

kuwa mpole kijana
wacha wana udsm wajikumbushe yaliyopita
 

Malizia ku risit alafu usubiri BRN ijayo
Kwa taarifa yako nina 1st class na sijawahi sap
B0y@Wewe
 
Supp ya udsm =pass ya st joseph+saut+udom+tumain+wdmi+ifm
 
Na zile tosti mkuu moja mia2 ukila 2 siku imepita

ahaaha aisee nina wasiwasi na uraia wako uko blok C nilikua na marafiki zangu huko tulikuwa tunatoka hata saa 4 tukichoka kusoma tufata tost hahahah aisee mkuu akujua wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…