Kuna jamaa yangu alikua USAID akawa ananifungia vioo, leo kanitumia ujumbe kama nina mchongo wowote nimpasishie

Kuna jamaa yangu alikua USAID akawa ananifungia vioo, leo kanitumia ujumbe kama nina mchongo wowote nimpasishie

nakupa mfano Jamaa yangu 1 wa toka udogoni, nyumba yetu hapa kwao pale.
.
hustle ali anza mapema, aka pata vi nafasi, still haku ni beba, na Wala siku mind kwani simdai.

alivyo anguka nikawa mimi ndio balance ya mzani, aka rudi juu kumbe haja badilika nika mvumilia tu.
Mwaka unao fata ukawa wa mageuzi kwangu.
still nili muona Jamaa.

2023 ndio ushikaji wetu ume kufa, ali pata tender ya kusambaza vifaa fulani.
Nika tafuta cheap market tuka kusanya pesa ya maana, mida ya kurudi nika muambia oya nime sahau kadi ya benki hotelini.

naomba 20k hapo nichukue kitu fulani, tuki fika nakurudishia. Si aka goma!.
na zile hela aka sema ana mpango nazo, nili ondoka siku hiyo na mpaka Leo hazi ivi.
Mwenyekiti wa ujobless nakuheshimu sana.. ila huu uandishi wako unaumiza macho kwakweli.
 
Sasa mbona hao waliojiajiri ndio wengi wao ni maomba omba na wapiga vizinga kwa walio ajiriwa
Duh ila kama kuna ukweli hivi....aliyejiajiri ataenda kwa aliyeajiriwa akitaka amkopeshe maana mzigo umeingia na hana hela ya kuutolea....
Aliyejiajiri atakupigia simu akiomba umkopeshe maana muda wa kulipa fremu umefika......
Halafu kuna waliojiajiri wengine wana roho ngumu yaan akikopeshwa tena hela isiyo hata na riba kurudisha huwa ni kwa mbiinde bin mtiti
 
Kuna watu sijui ni ulimbukeni au ushamba.

Huyu jamaa yangu yeye alibahatika kupata kazi tu after graduation kwenye hizi NGO zilizokua chini ya USAID, kwa kipindi kile kijana mdogo kulipwa 3m per month ilikua ni pesa nyingi mno.

Jamaa akaanza maringo na akawa anatuona akina sisi ambao by that time tulikua majobless sio wa standard zake. Imepita miaka kadhaa hatimae Trump kafanya yake huko.

Jamaa leo kanitumia ujumbe eti nikisikia au kama nina mchongo wowote nimpasishie. Nimemjibu me niko nalima kijijini kwetu kama unaweza njoo tupige jembe, huo ndio mchongo nilionao kwa sasa.

Jamaa hajajibu kitu.
Ajira za kimataifa
 
Ma HR ndo mlivo sisi watu wa kada flan tunatajana tu
Aisee mimi sitaweza ila mchek mwamba flan kanyooka hana shida
 
Kuna watu sijui ni ulimbukeni au ushamba.

Huyu jamaa yangu yeye alibahatika kupata kazi tu after graduation kwenye hizi NGO zilizokua chini ya USAID, kwa kipindi kile kijana mdogo kulipwa 3m per month ilikua ni pesa nyingi mno.

Jamaa akaanza maringo na akawa anatuona akina sisi ambao by that time tulikua majobless sio wa standard zake. Imepita miaka kadhaa hatimae Trump kafanya yake huko.

Jamaa leo kanitumia ujumbe eti nikisikia au kama nina mchongo wowote nimpasishie. Nimemjibu me niko nalima kijijini kwetu kama unaweza njoo tupige jembe, huo ndio mchongo nilionao kwa sasa.

Jamaa hajajibu kitu.
Umekaa zako apo sebuleni kwa Mshua umeamua kutupiga fix ili mradi masaa yaende.
 
Kuna watu sijui ni ulimbukeni au ushamba.

Huyu jamaa yangu yeye alibahatika kupata kazi tu after graduation kwenye hizi NGO zilizokua chini ya USAID, kwa kipindi kile kijana mdogo kulipwa 3m per month ilikua ni pesa nyingi mno.

Jamaa akaanza maringo na akawa anatuona akina sisi ambao by that time tulikua majobless sio wa standard zake. Imepita miaka kadhaa hatimae Trump kafanya yake huko.

Jamaa leo kanitumia ujumbe eti nikisikia au kama nina mchongo wowote nimpasishie. Nimemjibu me niko nalima kijijini kwetu kama unaweza njoo tupige jembe, huo ndio mchongo nilionao kwa sasa.

Jamaa hajajibu kitu.
Acha roho ya korosho mwisho utafanana naye alivyokufanyia.Mpe mchongo mtaweza mkaibuka pamoja.Lipa ubaya kwa wema hutajuta kufanya hivyo mwamba.
 
Maisha Yana tabia ya kukurudisha kwa walewale unaowaona km walikukosea kwa namna Moja ama nyingine, kuwa makin mleta story
 
Kwanini unafuraia baba watoto kupata majanga jaribu kufikiri watoto watabaki hali gani nawewe ikatokea umepoteza kazi hivi vitu sio vya kufuraia ni kuomba Mungu
Hahaha,nalea mwenyewe tangu wanazaliwa,nikifa watalelewa na wengine....Mungu huinua mtu mkuu
Siyo kupoteza kazi tu,nitaumia kaburini nikitangulia kufa kabla hajafa yeye.... Lazima aanguke😡
 
Broo usiwe na huruma kwa rafiki ako ambae alijipata akakuchunia yaani funga vioo kuwa kama michael ob tunaishi dunia ya wanafiki wivu chuki majivuno why alikuona huendani nae akakuacha mataa leo umep nafac tena ukimpa atakuangusha na kukuchoma kwa bosy wako
 
Back
Top Bottom