nakupa mfano Jamaa yangu 1 wa toka udogoni, nyumba yetu hapa kwao pale.
.
hustle ali anza mapema, aka pata vi nafasi, still haku ni beba, na Wala siku mind kwani simdai.
alivyo anguka nikawa mimi ndio balance ya mzani, aka rudi juu kumbe haja badilika nika mvumilia tu.
Mwaka unao fata ukawa wa mageuzi kwangu.
still nili muona Jamaa.
2023 ndio ushikaji wetu ume kufa, ali pata tender ya kusambaza vifaa fulani.
Nika tafuta cheap market tuka kusanya pesa ya maana, mida ya kurudi nika muambia oya nime sahau kadi ya benki hotelini.
naomba 20k hapo nichukue kitu fulani, tuki fika nakurudishia. Si aka goma!.
na zile hela aka sema ana mpango nazo, nili ondoka siku hiyo na mpaka Leo hazi ivi.