Thomas Brown
JF-Expert Member
- Jan 25, 2025
- 344
- 856
Lipa kisasi mkuu. Wema kwa wema. Ubaya kwa ubaya.jifunze usilipe kisasi msaidie kama unauwezo mchane ukweli pita kushoto
Hata kama ungekuwa nao au unao, usimpe. Let him also feel the pinch.Sina mchongo wa kumpa
Kwani jamaa ana kosa gani?? Huyo mseng€ wa USAID kwanini anaomba msaada kwa aliyekuwa anamuona takataka?? Kwani angekaa kimya au kuendelea ku deal na high class wenzie, jamaa angekuja kutusimulia humu??Una Roho ya kimaskini, ulichokifanya kimekuweka kwenye position ya kufanana nae, namshukuru MUNGU sijawahi kuwa na Roho ya kimaskini Kiasi hiki.
Nikikusaidia na ukafanikiwa, nitafurahi Sana, ukifanikiwa kabla Yangu, namshukuru MUNGU maana najua na Mimi Kesho Yangu ipo, nikifanikiwa kwa namna Yoyote ile, nitafurahi kuona nakua na Msaada Kwako.
Kama Una ubaya ni wa Kwako Sio wa Kwangu, siwezi kuumia kwa MTU mwingine kufanikiwa (mafanikio mema lakini) au siwezi kufurahia MTU mwingine akipata shida. Hii ndio Imani Yangu.
Inapunguza stress na unnecessary makasiriko
We should learn to uplift good people and suppress the evil onesNawaombea kwa mwenyezi MUNGU awafungulie milango ya baraka, wakapate Kibali kila watakapoenda. We must learn to uplift others......
Usimuonee huruma ambaye alikuwa hana huruma na wewe.Inabidi tusaidianee kwa lolote maana effectsutaziona watoto wakirudi home maisha yame change wao hawajuiii....ada sasaaa.....Mungu awarudishe kazini sasa wqtaishi kwa akili kubwa saving
Adui muombee njaaAisee...ndo gwaride limepiga nyuma geuka wa mwisho kawa wakwanza ndo hii sasa
Hero gani anaomba msaada kwa mtu aliyekuwa anamfungia vioo??NAKUOMBEA uishi humu
"When a hero stumbles, the cowards rejoice. Nothing feels better to a coward than to see a brave guy fall" - Dave Chappelle.
sio mchawi,,,kaongea ukweli,kuna wa2 wanakera sana!! wacha wajifunze kupitia makosa yao!!Hii hadithi mchongo, we ni mchawi unafurahia matatizo ya wenzako
Una roho ya huruma sana ambayo mimi sina kwa mtu aliyekuwa ananiona takataka.Mssamehe tu mkuu, watu wengi wako hivyo. Mimi classmate wangu mmoja aliwahi kupata kazi benki moja hivi, akapata vijisenti wakati wengine bado tunajitafta, akawa na maringo mengi sana hata kwenye group la darasa letu wa mwaka wetu akajitoa. Miaka michache iliyopita nadhani pale kazini paliota nyasi, akaanza kututafta ambao hatukua na chochote( kwa sasa tuna zaidi ya chochote)
Akaanza kuomba akopeshwe elfu 20, mara 30 eti atalipwa siku flani, siku flani. Akaanza kuomba akopeshwe kiwango cha pesa ambacho mimi siwezi kumkopesha mtu, below 100k sikukopeshi, nakupa tu, sasa ajabu mtu ananiomba nimkopeshe elfu 20 au 30 nikajiuliza sasa hii inamsaidia nini huyu boss?
Mpuuze tu mkuu.
Never have mercy on your enemies..Kuna elimu ya kuwa na akiba wengi hawajaijua unavyobahatika kupata mchongo wa pesa nyingi ni lazima uhakikishe unaendelea kuishi maisha yale yale ata kwa mwaka mmoja kutunza kingi ili kesho yake inapotokea crisis yoyote basi unajua unaanzia wapi
Lakini hata hivyo sio jambo jema kufurahia anguko la mtu hata kama ni adui yako
Hahahahaaa safi sana mkuuMtukane.
Dunia hii ukiwa mjinga utatumika kama daraja na wewe kubaki palepale
Kwanini unamtafuta mtu baada ya mambo kwenda mrama??inaonyesha jinsi ulivyo rafiki mnafiki, unadhani anguko la rafiki yako litaongeza kipato chako?
Unaombaje msaada kwa mtu aliyekuwa anamfungia vioo??Sijaona tatizo la jamaa wako wa USAID.
Kamwe usimuonee huruma mtu aliyetaka kukuua lakini akakukosa kosaMleta mada km inawezekana usilipe kwa ubaya, km una mchongo msaidie ili jamii tuendelee kujifunza kwa makosa!
Lazima kila mmoja avune alichokipandaMtusamehe wakuu! ni wenge tu lile.
Unamuombaje msaada mtu uliyekuwa unamfungia vioo?? Mbona nyie watu mnachekesha sana?? Kwanini asiende kuomba msaada kwa hao high class wenzie??Bora yeye hakuja jf kukusimanga, alipiga kimyakimya, ila wewe si wa kuombwa msaada maana unaweza andika bango kabisa.
Duh mimi pia nishawahi omba MDHMfano wa hizo NGo ambazo watu walipeana connection bila hata ya kuwa na sifa stahiki naanza na...... ( 1). JHPIEGO. (2). MDH. ( 3) EGPAF. (4) ICAP. HIZI NGO WATU WALIPEANA AJIRA KWA KUJUANA SANA TENA NA WENGINE HATA HUO UTAALAMU KWENYE MAMBO YA AFYA ZA WATU WALIKUWA HAWANA.............NILIOMBA SANA AJIRA ENZI HIZO PAMOJA NAKUWA NA DEGREE YA NURSING PAMOJA NA DIPLOMA YA CLINICAL OFFICER SIKUWAHI KUITWA HATA INTERVIEW TU, VYETI NILIVITUPA KABATINI NILIONA NIKIENDELEA KUVIKUMBATIA VYETI NITAKUWA MASIKINI WA KUTUPA , NIKO MTAANI NAFANYA ISSUE NYINGINE KABISA NA MAISHA YANAENDA NAMSHUKULU MUNGU KWA HILI🙌🙌...........MLiokuwa mnata niteseke maisha yangu yote pumbavu zenuuuuuuu, mliokuwa mnatamani nishindwe hata kuwa na familia niharibikiwe kimaisha cumernina zenu nyinyiiiii, mliokuwa mnataka siku moja nije niwapigie magoti kuwaomba msaada nikiwa choka mbaya mbwa nyinyiiii, ....anaepanga riziki ya mtu ni MUNGU TU sio nyie wanadamu kama mnaoenda chooni kama Mimi 🙂🙂
Bongo bila connections haupati shavu lolote lile mkuuDuh mimi pia nishawahi omba MDH
Japo wanalipa vizuri sana,Bongo bila connections haupati shavu lolote lile mkuu