Kuna jamaa yangu kanipa number ya mkewe nimtest kumtongoza kama atakubali

Kuna jamaa yangu kanipa number ya mkewe nimtest kumtongoza kama atakubali

Men at work

Huenda rafiki yako hatekelezi jukumu lake kama mwanaume .... na kwa sasa bado anaishi ka mvulana - kijana

Usiingilie ya watu hujui wametoka wapi na wanenda wapi ... unless kuna viashiria vya hatari zaidiii vinavyoweza pelekea kifo
 
Wakuu,hizi ndoa za siku hizi sijui zina tatizo gani.
Kuna huyu jamaa angu amefunga ndoa mwaka jana December na binafsi nilichangia sherehe ya harusi yake.
Sasa bana siku za hivi karibuni namuona jamaa amefululiza kupiga tungi sana so jana nikapata wasaa wa kukaa nae kujua kulikoni mipombe kila kukicha.
Kanifungukia kuwa anahisi mkewe sio muaminifu ktk ndoa yao kwa ushahidi kadha wa kadha.
Akaenda mbali akaniambia mkewe hajui kukataa mwanaume yeyote na kila mwanaume anaemtongoza basi yeye anamkubalia.
Jamaa akaniambia kama siamini nichukue number ya mkewe nijaribu kumpiga sound kisha nimpe mrejesho.
Hapa nipo nawaza hii task niliyopewa na jamaa nikiifanya afu shem akatiki nimtafune au nimpotezee tu?
Naombeni mawazo yenu waheshimiwa.
usiwe chanzo cha kuvunjika kwa ndoa yao. mkuu usijiingiza kwenye ndoa ya rafiki yako acha wapambane na wayamalize wenyewe.
 
Kazindogo ,potezea kama mwezi hivi majibu umeona ujinga umefuta namba

harafu utafute utambulisho tofauti kimawasiliano Kisha tupa ndoani
 
Duuuh Ndoa zina mengi ya kusikitisha na kuogopeshaaa.
Poleee zao, Lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wakuu,hizi ndoa za siku hizi sijui zina tatizo gani.
Kuna huyu jamaa angu amefunga ndoa mwaka jana December na binafsi nilichangia sherehe ya harusi yake.
Sasa bana siku za hivi karibuni namuona jamaa amefululiza kupiga tungi sana so jana nikapata wasaa wa kukaa nae kujua kulikoni mipombe kila kukicha.
Kanifungukia kuwa anahisi mkewe sio muaminifu ktk ndoa yao kwa ushahidi kadha wa kadha.
Akaenda mbali akaniambia mkewe hajui kukataa mwanaume yeyote na kila mwanaume anaemtongoza basi yeye anamkubalia.
Jamaa akaniambia kama siamini nichukue number ya mkewe nijaribu kumpiga sound kisha nimpe mrejesho.
Hapa nipo nawaza hii task niliyopewa na jamaa nikiifanya afu shem akatiki nimtafune au nimpotezee tu?
Naombeni mawazo yenu waheshimiwa.
Achana nae jamaa yako inaonekana yuko too emotional for now so akikaa sawa na akaja kugundua ulimla mkewe mtauwana.
 
Wakuu,hizi ndoa za siku hizi sijui zina tatizo gani.
Kuna huyu jamaa angu amefunga ndoa mwaka jana December na binafsi nilichangia sherehe ya harusi yake.
Sasa bana siku za hivi karibuni namuona jamaa amefululiza kupiga tungi sana so jana nikapata wasaa wa kukaa nae kujua kulikoni mipombe kila kukicha.
Kanifungukia kuwa anahisi mkewe sio muaminifu ktk ndoa yao kwa ushahidi kadha wa kadha.
Akaenda mbali akaniambia mkewe hajui kukataa mwanaume yeyote na kila mwanaume anaemtongoza basi yeye anamkubalia.
Jamaa akaniambia kama siamini nichukue number ya mkewe nijaribu kumpiga sound kisha nimpe mrejesho.
Hapa nipo nawaza hii task niliyopewa na jamaa nikiifanya afu shem akatiki nimtafune au nimpotezee tu?
Naombeni mawazo yenu waheshimiwa.
Never ever test anybody, if you want to live safely and peacefully. Mtu anayekwambia hivyo anakudanganya (hakwambii ukweli wote). Hata mimi mwanzoni nilikuwa nikisema "I don't care, hata watu wakimtongoza mke wangu." Lakini nikwambie ukweli ni kwamba "I care and protect her as much as I can." Hivyo, usije ukadanganyika ukafanya kosa la "kutesti"! Ukitesti akakubali, je na wewe hapo hautakuwa umetestiwa na kukubali pia? Unaweza ukamtesti na akakuingia kwenye hisia zako (uka'fall in love with her), halafu na yeye akakubali. Halafu mkaanzisha mahusiano ya kimapenzi, unadhani huyo rafiki yako atafikiri kwamba mlianza siku uliyomtesti au umekuwa mwendelezo tu? Take "great care" bro, usije ukaangamia.
 
Wakuu,hizi ndoa za siku hizi sijui zina tatizo gani.
Kuna huyu jamaa angu amefunga ndoa mwaka jana December na binafsi nilichangia sherehe ya harusi yake.
Sasa bana siku za hivi karibuni namuona jamaa amefululiza kupiga tungi sana so jana nikapata wasaa wa kukaa nae kujua kulikoni mipombe kila kukicha.
Kanifungukia kuwa anahisi mkewe sio muaminifu ktk ndoa yao kwa ushahidi kadha wa kadha.
Akaenda mbali akaniambia mkewe hajui kukataa mwanaume yeyote na kila mwanaume anaemtongoza basi yeye anamkubalia.
Jamaa akaniambia kama siamini nichukue number ya mkewe nijaribu kumpiga sound kisha nimpe mrejesho.
Hapa nipo nawaza hii task niliyopewa na jamaa nikiifanya afu shem akatiki nimtafune au nimpotezee tu?
Naombeni mawazo yenu waheshimiwa.
Mtu asiye na experience ya ndoa si rahisi kujua ups and downs za ndoa. Baadhi ya watu ni wacheshi na wanaoonekana kama rahisi vile, lakini wana msimamo. Unaweza kufikiri umpitie, lakini utakapothubutu unaweza kuingia aibu ya mwaka, anakutangaza kwa watu na unaweza kuingia mgogoro na mke wako, mkaanza kufarakana kwa sababu tu rafiki yako alikushauri vibaya umtesti mkewe. Acha kabisa kama unataka kuishi kwa amani na uishi maisha marefu. Kuna jamaa nilisikia alifumaniwa mahali wahuni wakamfira, kisha wakampakia kwenye pikipiki hadi nyumbani kwake na walipofika wakamwambia mkewe walichomfanyia. Labda na yeye ilikuwa ni kutesti. Sasa faida gani hiyo?
 
Huyo kwa tabia hiyo ndio maana mkewe analiwa,hana sifa za wanaume rijali
 
Shunie umepotea sana cheupe, umesema jamaa afanyaje[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ampelekeee moto bwanah si mwenyewe ametaka kuna vitu vya kujaribishana sio kuhusu mume wala mke
 
Mwenyezi Mungu alishasema kwenye vitabu vyake tuishi nao kwa akili wanawake atumie akili yake atapa jibu
 
Jamaa Kama tayari amejua mkewe anamcheat sasa anatafuta Nini kingine Cha ziada
 
Wakuu,hizi ndoa za siku hizi sijui zina tatizo gani.
Kuna huyu jamaa angu amefunga ndoa mwaka jana December na binafsi nilichangia sherehe ya harusi yake.
Sasa bana siku za hivi karibuni namuona jamaa amefululiza kupiga tungi sana so jana nikapata wasaa wa kukaa nae kujua kulikoni mipombe kila kukicha.
Kanifungukia kuwa anahisi mkewe sio muaminifu ktk ndoa yao kwa ushahidi kadha wa kadha.
Akaenda mbali akaniambia mkewe hajui kukataa mwanaume yeyote na kila mwanaume anaemtongoza basi yeye anamkubalia.
Jamaa akaniambia kama siamini nichukue number ya mkewe nijaribu kumpiga sound kisha nimpe mrejesho.
Hapa nipo nawaza hii task niliyopewa na jamaa nikiifanya afu shem akatiki nimtafune au nimpotezee tu?
Naombeni mawazo yenu waheshimiwa.
Don't risk your manhood..
 
Mkuu mtongoze akikubali mpelekee moto halafu kampe mrejesho wa kila kitu jamaaa yako
Wacheni kumshauri vibaya mwenzenu jamani, huyo ni mke wa mtu hata kama ana mapungufu yake mshaurini asijiingize kwenye matatizo.

Inawezekana huyo rafiki anamshuku yeye huyo na amemtegeshea lakini hajagundua.

Halafu kama mwanamke mwenyewe ni huyo hamuogopi ukimwi jamani?
 
Back
Top Bottom