Kuna jamaa yangu kanipa number ya mkewe nimtest kumtongoza kama atakubali

Kuna jamaa yangu kanipa number ya mkewe nimtest kumtongoza kama atakubali

Wakuu,hizi ndoa za siku hizi sijui zina tatizo gani.
Kuna huyu jamaa angu amefunga ndoa mwaka jana December na binafsi nilichangia sherehe ya harusi yake.
Sasa bana siku za hivi karibuni namuona jamaa amefululiza kupiga tungi sana so jana nikapata wasaa wa kukaa nae kujua kulikoni mipombe kila kukicha.
Kanifungukia kuwa anahisi mkewe sio muaminifu ktk ndoa yao kwa ushahidi kadha wa kadha.
Akaenda mbali akaniambia mkewe hajui kukataa mwanaume yeyote na kila mwanaume anaemtongoza basi yeye anamkubalia.
Jamaa akaniambia kama siamini nichukue number ya mkewe nijaribu kumpiga sound kisha nimpe mrejesho.
Hapa nipo nawaza hii task niliyopewa na jamaa nikiifanya afu shem akatiki nimtafune au nimpotezee tu?
Naombeni mawazo yenu waheshimiwa.

Kamuulize Maza yako akushauri
 
Wakuu,hizi ndoa za siku hizi sijui zina tatizo gani.
Kuna huyu jamaa angu amefunga ndoa mwaka jana December na binafsi nilichangia sherehe ya harusi yake.
Sasa bana siku za hivi karibuni namuona jamaa amefululiza kupiga tungi sana so jana nikapata wasaa wa kukaa nae kujua kulikoni mipombe kila kukicha.
Kanifungukia kuwa anahisi mkewe sio muaminifu ktk ndoa yao kwa ushahidi kadha wa kadha.
Akaenda mbali akaniambia mkewe hajui kukataa mwanaume yeyote na kila mwanaume anaemtongoza basi yeye anamkubalia.
Jamaa akaniambia kama siamini nichukue number ya mkewe nijaribu kumpiga sound kisha nimpe mrejesho.
Hapa nipo nawaza hii task niliyopewa na jamaa nikiifanya afu shem akatiki nimtafune au nimpotezee tu?
Naombeni mawazo yenu waheshimiwa.
Sasa umtafune kwanini,si kakwambia tu ujaribu usikie atakujibuje?,by the way hilo jaribio halifai hata kidogo,usithubutu kutekeleza,si tunaambiwa watakrabu zinaa.
 
Wakuu,hizi ndoa za siku hizi sijui zina tatizo gani.
Kuna huyu jamaa angu amefunga ndoa mwaka jana December na binafsi nilichangia sherehe ya harusi yake.
Sasa bana siku za hivi karibuni namuona jamaa amefululiza kupiga tungi sana so jana nikapata wasaa wa kukaa nae kujua kulikoni mipombe kila kukicha.
Kanifungukia kuwa anahisi mkewe sio muaminifu ktk ndoa yao kwa ushahidi kadha wa kadha.
Akaenda mbali akaniambia mkewe hajui kukataa mwanaume yeyote na kila mwanaume anaemtongoza basi yeye anamkubalia.
Jamaa akaniambia kama siamini nichukue number ya mkewe nijaribu kumpiga sound kisha nimpe mrejesho.
Hapa nipo nawaza hii task niliyopewa na jamaa nikiifanya afu shem akatiki nimtafune au nimpotezee tu?
Naombeni mawazo yenu waheshimiwa.
sikia sio kumtry tu,we mtry akikubali mle ndipo urejesho mrejesho kwa mumewe kuwa ni kweli
 
Kuna mwamba aliniomba nimtongize mke wake, nikakataa. Huwa wanawaza nini?
 
Wakuu,hizi ndoa za siku hizi sijui zina tatizo gani.
Kuna huyu jamaa angu amefunga ndoa mwaka jana December na binafsi nilichangia sherehe ya harusi yake.
Sasa bana siku za hivi karibuni namuona jamaa amefululiza kupiga tungi sana so jana nikapata wasaa wa kukaa nae kujua kulikoni mipombe kila kukicha.
Kanifungukia kuwa anahisi mkewe sio muaminifu ktk ndoa yao kwa ushahidi kadha wa kadha.
Akaenda mbali akaniambia mkewe hajui kukataa mwanaume yeyote na kila mwanaume anaemtongoza basi yeye anamkubalia.
Jamaa akaniambia kama siamini nichukue number ya mkewe nijaribu kumpiga sound kisha nimpe mrejesho.
Hapa nipo nawaza hii task niliyopewa na jamaa nikiifanya afu shem akatiki nimtafune au nimpotezee tu?
Naombeni mawazo yenu waheshimiwa.
Sijasoma ila kichwa cha habari tu nakupa jibu wewe mkazie mkewe maana akili take haiko sawa inibidi iwekwe sawa
 
Wakuu,hizi ndoa za siku hizi sijui zina tatizo gani.
Kuna huyu jamaa angu amefunga ndoa mwaka jana December na binafsi nilichangia sherehe ya harusi yake.
Sasa bana siku za hivi karibuni namuona jamaa amefululiza kupiga tungi sana so jana nikapata wasaa wa kukaa nae kujua kulikoni mipombe kila kukicha.
Kanifungukia kuwa anahisi mkewe sio muaminifu ktk ndoa yao kwa ushahidi kadha wa kadha.
Akaenda mbali akaniambia mkewe hajui kukataa mwanaume yeyote na kila mwanaume anaemtongoza basi yeye anamkubalia.
Jamaa akaniambia kama siamini nichukue number ya mkewe nijaribu kumpiga sound kisha nimpe mrejesho.
Hapa nipo nawaza hii task niliyopewa na jamaa nikiifanya afu shem akatiki nimtafune au nimpotezee tu?
Naombeni mawazo yenu waheshimiwa.
Huyo jamaa yako hana akili ujue

 
Wakuu,hizi ndoa za siku hizi sijui zina tatizo gani.
Kuna huyu jamaa angu amefunga ndoa mwaka jana December na binafsi nilichangia sherehe ya harusi yake.
Sasa bana siku za hivi karibuni namuona jamaa amefululiza kupiga tungi sana so jana nikapata wasaa wa kukaa nae kujua kulikoni mipombe kila kukicha.
Kanifungukia kuwa anahisi mkewe sio muaminifu ktk ndoa yao kwa ushahidi kadha wa kadha.
Akaenda mbali akaniambia mkewe hajui kukataa mwanaume yeyote na kila mwanaume anaemtongoza basi yeye anamkubalia.
Jamaa akaniambia kama siamini nichukue number ya mkewe nijaribu kumpiga sound kisha nimpe mrejesho.
Hapa nipo nawaza hii task niliyopewa na jamaa nikiifanya afu shem akatiki nimtafune au nimpotezee tu?
Naombeni mawazo yenu waheshimiwa.
Okota DODO chini chini ya mperaaa....
Nenda kajitafunie ww na nguvu zako tyu....
 
Wakuu,hizi ndoa za siku hizi sijui zina tatizo gani.
Kuna huyu jamaa angu amefunga ndoa mwaka jana December na binafsi nilichangia sherehe ya harusi yake.
Sasa bana siku za hivi karibuni namuona jamaa amefululiza kupiga tungi sana so jana nikapata wasaa wa kukaa nae kujua kulikoni mipombe kila kukicha.
Kanifungukia kuwa anahisi mkewe sio muaminifu ktk ndoa yao kwa ushahidi kadha wa kadha.
Akaenda mbali akaniambia mkewe hajui kukataa mwanaume yeyote na kila mwanaume anaemtongoza basi yeye anamkubalia.
Jamaa akaniambia kama siamini nichukue number ya mkewe nijaribu kumpiga sound kisha nimpe mrejesho.
Hapa nipo nawaza hii task niliyopewa na jamaa nikiifanya afu shem akatiki nimtafune au nimpotezee tu?
Naombeni mawazo yenu waheshimiwa.
Vidume vya leo wacha wawe MASHOGA TU!
HAWAKUWI! UTOTO MWINGI MNO!
 
Wakuu,hizi ndoa za siku hizi sijui zina tatizo gani.
Kuna huyu jamaa angu amefunga ndoa mwaka jana December na binafsi nilichangia sherehe ya harusi yake.
Sasa bana siku za hivi karibuni namuona jamaa amefululiza kupiga tungi sana so jana nikapata wasaa wa kukaa nae kujua kulikoni mipombe kila kukicha.
Kanifungukia kuwa anahisi mkewe sio muaminifu ktk ndoa yao kwa ushahidi kadha wa kadha.
Akaenda mbali akaniambia mkewe hajui kukataa mwanaume yeyote na kila mwanaume anaemtongoza basi yeye anamkubalia.
Jamaa akaniambia kama siamini nichukue number ya mkewe nijaribu kumpiga sound kisha nimpe mrejesho.
Hapa nipo nawaza hii task niliyopewa na jamaa nikiifanya afu shem akatiki nimtafune au nimpotezee tu?
Naombeni mawazo yenu waheshimiwa.
Wewe na rafikio wote hamnazo
 
Wakuu,hizi ndoa za siku hizi sijui zina tatizo gani.
Kuna huyu jamaa angu amefunga ndoa mwaka jana December na binafsi nilichangia sherehe ya harusi yake.
Sasa bana siku za hivi karibuni namuona jamaa amefululiza kupiga tungi sana so jana nikapata wasaa wa kukaa nae kujua kulikoni mipombe kila kukicha.
Kanifungukia kuwa anahisi mkewe sio muaminifu ktk ndoa yao kwa ushahidi kadha wa kadha.
Akaenda mbali akaniambia mkewe hajui kukataa mwanaume yeyote na kila mwanaume anaemtongoza basi yeye anamkubalia.
Jamaa akaniambia kama siamini nichukue number ya mkewe nijaribu kumpiga sound kisha nimpe mrejesho.
Hapa nipo nawaza hii task niliyopewa na jamaa nikiifanya afu shem akatiki nimtafune au nimpotezee tu?
Naombeni mawazo yenu waheshimiwa.
Mtafune kwani huyo jamaa yako ni zoba kabisa, yeye anajua kuwa mkewe anagawa uroda kama taarifa ya habari na bado yuko naye. Mtafune lakini tumia kinga kwani hadi mumwewe anajua kuwa analiwa ovyo huyo siyo safe kabisa.
 
Wakuu,hizi ndoa za siku hizi sijui zina tatizo gani.
Kuna huyu jamaa angu amefunga ndoa mwaka jana December na binafsi nilichangia sherehe ya harusi yake.
Sasa bana siku za hivi karibuni namuona jamaa amefululiza kupiga tungi sana so jana nikapata wasaa wa kukaa nae kujua kulikoni mipombe kila kukicha.
Kanifungukia kuwa anahisi mkewe sio muaminifu ktk ndoa yao kwa ushahidi kadha wa kadha.
Akaenda mbali akaniambia mkewe hajui kukataa mwanaume yeyote na kila mwanaume anaemtongoza basi yeye anamkubalia.
Jamaa akaniambia kama siamini nichukue number ya mkewe nijaribu kumpiga sound kisha nimpe mrejesho.
Hapa nipo nawaza hii task niliyopewa na jamaa nikiifanya afu shem akatiki nimtafune au nimpotezee tu?
Naombeni mawazo yenu waheshimiwa.
Hahaha
 
Mtafune kwani huyo jamaa yako ni zoba kabisa, yeye anajua kuwa mkewe anagawa uroda kama taarifa ya habari na bado yuko naye. Mtafune lakini tumia kinga kwani hadi mumwewe anajua kuwa analiwa ovyo huyo siyo safe kabisa.
Hahaha
 
Back
Top Bottom