Tetesi: Kuna jambo baya linaendelea Mtwara...

Kila nchi inatofautiana katika rasilimali za kijeshi kuanzia personnel,ujuzi,vifaa,technologia,etc.Sasa kama rasilimali zao za kupambana na ugaidi ni chache unawatuhumu vipi kuwa wanawafuga?
Haijalishi sababu, end result ni wanafugwa!
 
Kwani mimi nimepinga kuwa hawafugwi?Umesoma nilichoandika?Mimi nimepinga lawama
Kama mtu mmoja anawekeza pesa zake kwenye kuongeza mke na mwingine anawekeza pesa zake kusomesha watoto, tunakosea kumlaumu huyu mmoja anaefuga ujinga?
 
Na kwasababu hiyo sasa, kwakuwa wameamua kufanya hiki na wakaacha kile kwa uamuzi wao wenyewe, ndio tunasema wanafuga magaidi, wacha wanyooshwe!!
 
Kwani wamekuambia kuwa wananyooshwa?Wewe unawasemea kama nani?Yaani mimi niwe na wake kumi halafu wewe uje kunisemea kuwa wananipa taabu?What if mimi naenjoy kuwa nao?
Sawa, hatujasema huienjoy, ila fact is watoto hawapati elimu stahiki na hivyo unafuga ujinga!
 
Nasikia washakalishwa zimebaki kambi mbili tu katika 7 zilizokua zinapigana na wajeda na Sasa wajeda wanasubiri mzeebaba awape go ahead wazema kabisa Hadi huko msumbiji Mana ndio wanafugwa huko
 
Nasikia washakalishwa zimebaki kambi mbili tu katika 7 zilizokua zinapigana na wajeda na Sasa wajeda wanasubiri mzeebaba awape go ahead wazema kabisa Hadi huko msumbiji Mana ndio wanafugwa huko
Unafurahisha genge
 
Mkuu you are miss informed!..,Naapa kwa MUNGU Hali ni tete Mtwara,,,Tarehe 18 hii ulipocomment huu uongo Waasi wevamia Wilaya ya Tandahimba,kijiji cha Michenjele,,Wameua watu wamechoma majumba moto!.. Mkuu Wamechinja mwalimu OMBENI wa SHULE ya msingi Michenjele,,wamemteka Mwalimu Mkuu msaidizi wa SHULE ya sekondari Michenjele,,Wamemteka mke wa Mwalimu wa SHULE hiyo pia,,,,,SHULE ZIMEFUNGWA HAKUNA WANAFUNZI,,, BAADHI TU NDO WAMEHAMISHIWA TANDAHIMBA DAY..,,, NIPO TANDAHIMBA MJINI ,,,,,MILINDIMO YA RISASI NA MABOMU NILISIKIA KWA UZURI NA HATA MAITI NA KICHWA CHA MWALIMU OMBENI NILIKIONA ,,SASA SIJUI UNAONGEA NA WATU WA MTWARA IPI?....
 
Mkuu,, ni KWELI Wapo na mipaka kwa sasa inalindwa Naungana na wewe kumuombea dogo
 
Mkuu kuna mijitu humu ipo kusifia ujinga ujinga tu by the time the situation is not good at all
 
tuendelee kupambana na watu waliopo na wanaofanya majukumu yao kwa mujibu wa katiba,
 
We akili huna yani unashindwa kujua mgaidi Wana kambi au hawana?
Hawa magaidi wanaovaa ndala na bunduki za kupasiana ndio unasema wana kambi. Kambi ina ghala la silaha, hifadhi ya mafuta, zana za kivita, makazi ya wapiganaji. Muhimu, kambi inakuwa na namna ya kulindwa.

Sasa magaidi wakiwa na kambi si unatuma ndege zikaishambulie na kumaliza kazi? Unadhani wao ni wajinga kiasi hicho kujirundika sehemu moja wawe target wakati hata silaha zenyewe wanabahatisha. Kwanza gharama za kuendeshea wala kujenga hiyo hawana.

Hawa hata observation post hawana sembuse camp.
 
JWTZ inabidi lipelekwe Syria kuona jinsi gaidi avyozibitiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…