Hata wao ni woga tu, kama unavamia kijiji chenye watu 200 mnakwenda magaidi zaidi ya 300 halafu mnajisifia kuua wasiokukosea kwa kisingizio cha kumpigania Allah, huku mnaiba fedha chakula, mnabaka, na kulawiti hakuna dini ya hivyo watoto hao wamejengewa saikolojia ya uwongo wakifa wanadhani kweli wana malipo kwa Allah kumbe ni Al-khawariji tu, wote watalipishwa uovu wao hakuna hata wa kuiona pepo hapo, na watu wakiacha ujinga wakaamua kuungana na kuwafurusha watakwisha kma walivyokimbia Somalia na Kenya, ishu ni watu kuacha kuwaogopa hata wao wanaogopa pia ndio maana wakata binadaam vichwa ili kuzidi kutishia watu wawaogope, wakibananishwa vizuri nao sisi wakristo tukaungana tutawakata nao vichwa kama wanavyotishia, waache kutumia dini kuiba mali na wake za watu, jihadi ilikwishamalizwa na Nabii Muhammad, hawa ni wezi tu, Umoja ni ushindi.