Tetesi: Kuna jambo baya linaendelea Mtwara...

Tetesi: Kuna jambo baya linaendelea Mtwara...

Mimi naombea nafsi yangu na familia yangu tu. Hao wanajua wanachokitaka, inabidi tuwape ili yaishe
 
Hivi vikundi vya kigaidi havina mbabe kabisa.

Tena hao JW unaowataja wanaweza wakawa wabovu zaidi.

Mpaka leo licha ya Israel kuwa na Teknolojia kubwa lakini bado inahaha na mambo haya.

Ni kuomba Mungu aepushe suala hili.

Wewe ndio umesema point, Hwa Wajinga ISIS wanasumbua mataifa yenye nguvu na uwezo kivita sembuse sisi nchi changa..! Tuombe Mungu asimame nasi kwenye hili. [emoji22][emoji22]
 
Ehee wameona Msumbiji hapatoshi.

Ngoja tuone JWTZ watafanya nini.

Mie naombea hawa Jwtz walioandaliwa kwa ajili ya kunyanyasa watu kipindi hiki cha uchaguzi wapelekwe huko. Wapuuzi hawa fisiemu ambao hawataki kushindana kwa sera kazi yao kuwakandamiza wenzao...!

Nachukia sana Chana kinachojifanya kuwa Chama cha Watu wema wakati wamejaa wauaji, wezi na Mafisadi. Shukuruni Awamu hii mmepata m/kiti kawarudisha kwenye chat
 
Jf is joke nowdays, hii taarifa ilikuwa hapa mapema sana, mkaishia kuifungia, sasa mmeifungulia ya nini?
 
Jf is joke nowdays, hii taarifa ilikuwa hapa mapema sana, mkaishia kuifungia, sasa mmeifungulia ya nini?
Daaah nilishangaa Sana kuona thread imekuwa locked, Sasa wanairuhusu muda ushapita na imekuwa c habari tena
 
Kuna INTELIJENSIA ya JESHI


KUNA taarifa sio za KUSAMBAZWA ovyo.. na nashangaa watu kuilalamikia JF kuzuia NYUZI za Tukio la MTWARA..

(hii ni Nchi ya Amani.. endapo Utaachia kila MTU aandike anachojiskia.. ndipo hapo MBWA Anapotea kwa Miruzi Mingi)

Kuachia Taarifa Nyeti za tukio zisambae kunaibua TAHARUKI kwa Wananchi.. na ukizingatia TUPO ktk UCHAGUZI.


Hao Magaidi/Waasi.. watakuwa TAYARI washamalizwa MUDA mrefuu sana...

Na TAARIFA za kijeshi zinaenda CHINI kwa CHINI..

(wanabanwa.. wanafinywa.. Wanafukiwa KIMYA KIMYA..)

Hamtaskia fyoko fyoko tena
 
Kuna INTELIJENSIA ya JESHI


KUNA taarifa sio za KUSAMBAZWA ovyo.. na nashangaa watu kuilalamikia JF kuzuia NYUZI za Tukio la MTWARA..

(hii ni Nchi ya Amani.. endapo Utaachia kila MTU aandike anachojiskia.. ndipo hapo MBWA Anapotea kwa Miruzi Mingi)

Kuachia Taarifa Nyeti za tukio zisambae kunaibua TAHARUKI kwa Wananchi.. na ukizingatia TUPO ktk UCHAGUZI.


Hao Magaidi/Waasi.. watakuwa TAYARI washamalizwa MUDA mrefuu sana...

Na TAARIFA za kijeshi zinaenda CHINI kwa CHINI..

(wanabanwa.. wanafinywa.. Wanafukiwa KIMYA KIMYA..)

Hamtaskia fyoko fyoko tena
Kuna tetesi wameingia dar slam n
 
Ngumu Kuzuia Uasi Kutokea.. uwepesi ni Jamii kuibua hao Waasi..

Kutoa Taarifa pale mnapohisi Mtu msiyemwelewa.. (Kwa wanaoishi Ktk Majiji Makubwa Tunatambuana Mienendo yetu)

Hii itapunguza Uwezekano wa Mashambulizi Ktk Miji mikubwa

Kwa Wale wa Maporini.. ndio Ngumu

kuiacha INTELIJENSIA ifanye kazi yake usiku na Mchana na Kumuomba Mungu
 
Kiuhalisia Wapo kila Mahari..
Sawa
Ngumu Kuzuia Uasi Kutokea.. uwepesi ni Jamii kuibua hao Waasi..

Kutoa Taarifa pale mnapohisi Mtu msiyemwelewa.. (Kwa wanaoishi Ktk Majiji Makubwa Tunatambuana Mienendo yetu)

Hii itapunguza Uwezekano wa Mashambulizi Ktk Miji mikubwa


Kwa Wale wa Maporini.. ndio Ngumu

kuiacha INTELIJENSIA ifanye kazi yake usiku na Mchana na Kumuomba Mungu
Huoni hii uliyosema hapa inakinzana na maelezo yako ya awali
 
Inakinzana wapi..? Soma kwa Sauti.. na kwa Makini
Nipo makini ndo maana nimekuuliza, umesema "Kuachia Taarifa Nyeti za tukio zisambae kunaibua TAHARUKI kwa Wananchi.. na ukizingatia TUPO ktk UCHAGUZI."

Hapo hapo ukasema"
Ngumu Kuzuia Uasi Kutokea.. uwepesi ni Jamii kuibua hao Waasi..

Kutoa Taarifa pale mnapohisi Mtu msiyemwelewa.. (Kwa wanaoishi Ktk Majiji Makubwa Tunatambuana Mienendo yetu)"
Nakuuliza tutaibua vipi hayo maasi kama vyombo vya habari vikifungwa midomo?
 
Au unalijumlisha Tukio la Waasi wa Mtwara kuwa itakuw Ngumu Kubainika na Kumalizwa?

Wale wapo TARGETED.. .. Located ..(identifiable) ni Rahisu kuwafanyia Ambush..

Tofaut na wale waliopo sehem za Maporini ambapo bado hawajafanya lolote la kujenga Taharuki..

(Means hadi wafanye..tukio,, ndio jitihada zifanyike.. wakikaa kimya huko Porini ni ngumu kuwa Identifiable unless Sources zipeleke Classified Information ktk sehem husika kwa ajir ya Uchunguz yakinifu)

Ndio Maana kule Tanga waasi walikaa Mapangoni bil kutambulika mpk ilipobainika baadae.. na kufanyiwa Special operation ya kuwaua.
 
Nipo makini ndo maana nimekuuliza, umesema "Kuachia Taarifa Nyeti za tukio zisambae kunaibua TAHARUKI kwa Wananchi.. na ukizingatia TUPO ktk UCHAGUZI."

Hapo hapo ukasema"
Ngumu Kuzuia Uasi Kutokea.. uwepesi ni Jamii kuibua hao Waasi..

Kutoa Taarifa pale mnapohisi Mtu msiyemwelewa.. (Kwa wanaoishi Ktk Majiji Makubwa Tunatambuana Mienendo yetu)"
Nakuuliza tutaibua vipi hayo maasi kama vyombo vya habari vikifungwa midomo?
Nikuulize Swali.. ukimjua JAMBAZI mtaani kwako utakuj kutangaza JF au kwenda KITUO cha polisi?
 
Nitasema jf na polisi nitakwenda pia
Ngoja nikutell kitu kizuri..

Mambo mazuri siku zote yanafanyika Kimya kimya na si Kupayuka..

Chunguza..
Kuwa na Uhakika.. (Si lazima uhakika)

Karipot Polisi.. (Kituo Kikubwa)

Matokeo ya ripot yako huko polisi ndio Uilete hapa JF.

Ukianza kuandika JF.. et "Mimi nipo Sinza mtaa wa Mugabe.. nyumba namba 234.. kuna jirani yangu namuhisi ni JAMBAZI.." unahisi ni sahihi?
 
Back
Top Bottom