Kuna jambo lazima litafanyika hivi karibuni nchini Urusi ili kumaliza vita ya Urusi na Ukraine, na bei ya mafuta inaweza kuanguka kuliko kawaida

Nampongeza putin kupigana na ulaya na marekani na bado anahimili vishindo.
Anahimili? Bila shaka hujui Kiingereza.ajenerali wa Urusi wanasema hakuna askari asiemtukana Putin kwa sasa. Yaani Putin anapigika sawasawa
 
Nchi unazozitegemea kumuangusha Urusi zenyewe ziko frustratedView attachment 2389072
Mkuu, hii ni Twit ya Urusi. Ndio kitu kinaitwa propaganda, mbona unadanganyika kirahisi?

Ona kwamba ni ya mtu najiita Kyiv Independent, na Kyiv iko Ukraine. Sasa unafikiri mtu wa Ukraine atatoa habari kama hii hata kama ni ya kweli?

Vitu vingine vinahitaji ufikirishe ubongo wako kidogo tu. Ukitaka ukweli wa habari nenda Al Jazira basi.
 
Mkuu, umeandika vizuri na inaonyesha una kitu fulani ila pia kimeegamia upande fulani!
Haya mambo yana namna kadhaa za kuyaelewa ila inabidi uwe na free mind sana.
1. Kuna conspiracy zinasema vita ya kwanza na ya pili ya dunia zilikuwa planned na kuna ushahidi na kwa nini zilitakiwa zotokee, migogoro mingi huwa iko planned itokee kwa malengo ya watu au kundi fulani... kuna ushahi wa haya mambo na hata hii vita ya saiz ilishatabiriwa miaka kadhaa nyuma na watu wanajaribu kuielezea inakoelekea sema tumeamua kupuuza na kushikilia sababu nyepesi.
Unaweza kujiuliza hizi shida zote za uchumi, tafrani iliyokotea duniani, uwezekano wa vita ya nuclear kutokea ikaharibu dunia yetu viongozi wa dunia hawaoni namna ya kulikwepa... kuna ugumu gani kufanya mazungumzo ya kawaida matakwa ya putin yakasikilizwa. Na ni matakwa mepesi na yanayotekelezeka tu kuliko kuvuruga amani ya dunia. Jibu ni hawawezi kuzungumza kwa sababu wana agenda tusizozijua.
2. Kwa nini rusia alivamia na hataki kurudi nyuma... ili linasemwa kirahisi kwamba ana matakwa yake ambayo yanakuwa mentioned tu hayasemwi kiundani.. ili uelewe inabidi ujaribu kufatilia interview za viongozi wa russia at least kuanzia 2008, utajua logic yao ni kwa nini ni lazima wafanikiwe na iyo mission yao au dunia isiwepo tu... maneno ya putin ayo.
3. Tunaijua ulaya na amerika jinsi wanavotumia mifumo yao ya ubepari kunyonya mataifa mengine na kuona watu wengine ni tofauti na wao.
Kumbuka biashara za utumwa, ukoloni na mengine mengi, mpka leo na kesho bado tunachukuliwa sisi ni kama makoloni yao ushahidi upo kwene mambo mengi, yaan wanahubiri uhuru na usawa lakini wanachofanya ni tofauti, ulaya ukiondoa amerika ni sehemu ambayo ilishaishiwaga rasilimali, ndo mana utaona walitakiwa watawale mataifa mengine ili kusurvie, tumeona ushahidi mpk saiz tunaona vita ya ukraine imeonesha hawana hata uhakika wa chakula na nishati.
Ni hivi kwa miaka mingi wanaplan kurudisha hali ya zamani... yaan warudi kutumia watu wengine kama sehemu ya uzalishaji mpk saiz wanafanya ivo ila sio kwa kiwango wanachotaka. Uwepo wa russia na china zinazostawi ni kikwazo katika hilo lengo... sasa karata yao ya sasa ilikuwa ni kudistabalize russia ikiwezekana kuivamia kabisa, na unaona choko choko wanazopeleka china ili mradi tu nako kupoteze stability... lakini yote ili wafanikishe mambo yao.
Nyongeza ni kwamba mfumo wa kijamaa ndio adui wa ajenda zao kwa sabb kwene ujamaa binadamu wote ni sawa ila kwene ubepari kuna mtumwa na bepari mwenyewe.
Kuna mlundikano wa mambo mengi ili kujua wanaelekea wapi, moja ya ajenda ya ni kupunguza idadi ya watu duniani ili kutawalike vizuri, na ilo jambo ujamaa upo kinyume
 
Uyo jamaa ni mwehu achana naye wala asikupe shida mzee mpotezee kabisa sasa uyo mtu anayeandika vitu kama ivo huoni kuwa hajielewi yaani ni empty set chiz fresh uyo achana naye
I see ni kweli.
 
We umemsikia nani hizi habari? Waache kutumia gesi Ili waokote kuni Kwa ajili ya kuotea moto majira ya baridi? Unawazimu bila shaka .
Kama unajua Kiingereza soma hapa chini. Ila nina wasiwasi hujui, la sivyo usingekuwa unatoa off point kama hizi bila kuwa na chanzo. Halafu mbona nimeshasema kwentye thread Putin kajipendekeza kuwapa Ulaya gesi wamemshushua kuwa wako tayari kukaa na baridi kuliko kuchukua gesi yake?

 
Nampongeza putin kupigana na ulaya na marekani na bado anahimili vishindo.
Sikiliza huu mziki hapa chini kabla ya kumpongeza Putin. Askari wake wanaanza kusingizia kuharisha wasiende vitani, hadi wanajikata na visu waseme wamejeruhiwa vitani!

 
mrusi wengi walitegemea baada ya vikwazo hata mwezi hataboi cha ajabu hata ngano waliyoruhusu ilienda kusaidia hao matajiri hali ilikuwa tete,wengi wanamwona mrusi kakurupuka lakini heshima lazima ije hata kwa gharama yoyote ile NATO walichofanya libya ndicho wanachojaribu urusi lakini wamekutana mfupa uliomshinda fisi
 
Warusi wamuombe sana mungu, huyo Dictator amwondoe. Sisi mungu alitufanyia makubwa sana kwa kutuondolea lile jitu.
 
BBC wamekiri kwamba kama ni vita ya mtandaoni ukraine angeshashinda lakini kinachoendelea kwenye battle field ni tofauti hata mleta mada anategemea propaganda za western media,ukitaka kujua nguvu ya mrusi piga hesabu ya wanaomsapoti ukraine ndio utajua mwanaume ni nani!
 
Maelezo mengi unatujazia server alafu pumba yaani kila siku ni maconsipirac yasio isha makosa ayafanye putin alafu lawama wabebeshwe west ar you serious swali UKRAIN ni nchi huru ama sio huru?
 
Da, I say kuna watu matomaso kweli kweli. Yaani video zote za Sun jinsi Ukraine wanavyppasua silaha za Mrusi, Video za CNN wanaonyesha skari wa Urusi wanalalamika hawajala, simu za askari wa Urusi wakiongea na ndugu zao wakimtukana Putin nk, vyote hivyo hamuamini? Kweli kuna watu mna shingo ngumu.
 
Afadhali mtu upoteze macho kuliko kupoteza akili. Kichwa kimejaa urojo mtupu. Naona umebakiwa na akili za kulia ugali tu.
 
Uchafu unaomwagwa hapo Ukraine umeshindwa kuamua mwisho wa mapambano,hata sasa wanajigeuza magaidi,wakiendelea kumtibua mwamba watakiona cha moto,endapo naye akaamua kutumia njia hizo za kigaidi 🤸🤸
Hakuna mwamba wewe duniani ni majira tu kula mtu anayajiweke.Hakuna mtu aliyetisha kama Hitler na wakamwondoa after 2 years. Putin ni muda tu .Yeye nwenyewe Ameshaona after this winter kama ulaya hawatatumia gas yake inamaana hana cha ku offer ndio kwishei.
 
Hili la kupinduliwa au kuuwawa kwa Putin ni dhahiri. Na vita hii imesaidia kuanika Russia kuwa ina silaha za kizamani sana.
Siyo silaha za kizamani tu, bali pia wana jeshi la kizamani sana lislokuwa na mbinu za kivita. Linategemea kutisha tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…