Kuna jambo lazima litafanyika hivi karibuni nchini Urusi ili kumaliza vita ya Urusi na Ukraine, na bei ya mafuta inaweza kuanguka kuliko kawaida

Kuna jambo lazima litafanyika hivi karibuni nchini Urusi ili kumaliza vita ya Urusi na Ukraine, na bei ya mafuta inaweza kuanguka kuliko kawaida

Watu wengi walio kwenye nchi maskini na wengine wanaochukia ubepari wameegdmea upande wa urusi, na ni kundi hilo hilo linamshabikia Rais wa Korea ya kaskazini. Hata hivyo, pamoja na madhira yaliyosababishwa na Marekani kwa nchi nyingi zilizo kinyume na msimamo wake, tunapaswa kutambua hii vita ya Russia na Ukraine, Putin ni kama yuko peke yake pamoja na ujasiri alionao. Ukraine anasaidiwa na wengi tena wazi wazi. Nchi za magharibi zinaijua urusi zaidi kuliko sisi wa mitandaoni. Kujitoa wazi wazi kuisaidia Ukraine, maana yake hazitishwi na uwezo wa urusi kama tunavyofikiri. Wako wengi wenye tekinolojia ya juu zaidi. Viinchi kama Norway unaweza kuvidharau, lakini viko mbali sana kwenye sayansi ya nyuklia. Wakati mtambo wa nyuklia unavuja huko urusi mwa miaka ya 90 waliogundua ni wasweden ndo waliwapa taarifa warusi. Pia wakati nyambizi ya kirusi iliyobeba silaha za nyuklia ilipolipuka na kuzama na baadaye kuua wanamaji wote 118. Walioweza kwenda kuifunga nyambizi hiyo ikiwa kwenye kina cha mita zaidi ya 100 ni waNorway, kumbuka warusi wenyewe walikuwa wameshindwa. Kwa hiyo, vita hii siyo nyepesi kwa urusi kama wengi wanavyofikiria. Vita inapochukua muda mrefu huharibu uchumi. Urusi inatumia gharama kubwa sana kwenye vita hii. Tena ingekuwa bora huko nyuma ikiwa imekumbatia ukomunisti, sasa hivi urusi ina uchumi wa soko huria, kama ilivyo china. Wakati huo ilikuwa siyo rahisi raia kiipinga serikali yao kwenye mission kama hizi.
Nakuunga mkono. Na wengi ni wataliban weusi wa Africa ndo wanamuunga mkono Putin hasa kwa sbb Marekani imeweka mkono wake hapo. Hawampendi mmarekani over.
 
Kwa ujumla vita hivi vimeiweka mahali pabaya sana Urusi. Sasa ule udhaifu wa nguvu za kijeshi umewekwa wazi, na kuonekana kuwa kumbe Urusi si chochote.

Silaha zake nyingi za kisasa, mrusi alikuwa anaokoteza parts kadhaa toka Ulaya. Baada ya vikwazo hawezi kutengeneza silaha mpya wala kufanyia marekebisho ya zile zilizoharibika. Sasa Urusi imefikia kutumia silaha za kale, silaha za wakati wa enzi za USSR, silaha zisizo na ubora wala umakini.

Askari wa Urusi, kila mmoja analazimika kujinunulia vest ya kujikinga na risasi yeye mwenyewe. Maana yake ni kama Putin anawaambia kuwa usiponunua shauri yako, unaenda kuishia huko huko.

Putin ameamua kuwapeleka mpaka wazee wenye miaka 60 mstari wa mbele, alimradi kama una mafunzo ya kijeshi. Jana, wapiganaji wawili miongoni hawa wa kuokoteza waliamua kuwaua wenzao 11, na kujeruhi wengi kadhaa waliokuwa kwenye mafunzo, kwa risasi. Jana hiyo hiyo, bogari yao moja ya mafuta huko Ukraine imelipuka moto, ni mikasa kila siku.
Wazee kama nyie ndio maana mnaitwa wapumbavu, sasa Ukraine na Nato wenye silaha makini wanashindwa nini kuwaondoa warusi nchini Ukraine? Wanashindwa nini kuingia vitani ukraine? Yaani nchi inanyang'anywa ardhi yake alafu mnaisifu eti ina nguvu ya kijeshi, na inayonyang'anya ardhi eti ina silaha dhaifu hii inaingia akilini?

Yaan mtu unayejipambanua kua msomi na mtu mzima unaongea mashudu kiasi hiki?
 
Hapa ishu ni kumuua putin tu maana hata raia wake hawamuelewi pia hata haieleweki kaanzisha vita kw7bb zipi pia kesha chokoza na alaska huko hivyo sio mtu sahihi kuwepo kwa namna moja ama nyingine
ketchup.gif
 
Kama NATO Ingekuwa na siraha zenye uwezo huo uliosema hakuna mji wowote wa Ukraine au askari yeyote wa Ukraine angeuwawa au kombola la Russia lingetua Ukraine. Na Putin asingekuwepo kama Rais wa Russia.
Da, hivi umewahi kupitia hata jeshini? Kwani ukiwa na silaha nzuri za kupiga maana yake wewe huwezi kupigwa? Hebu jaribu kutumia common sense kabla ya kujibu. Kuwa na silaha nzuri haina maana adui yako hana silaha au akikupiga makombora yake yanageuka maji. Marekani alikuwa na silaha nzuri Afgjanstan zaidi ya Mujaheeden, lakini nae alikuwa anapigika na hizo hizo AK 47 ambazo ni za kizamani ukilinganisha na bunduki wanazotumia USA
 
Da, hivi umewahi kupitia hata jeshini? Kwani ukiwa na silaha nzuri za kupiga maana yake wewe huwezi kupigwa? Hebu jaribu kutumia common sense kabla ya kujibu. Kuwa na silaha nzuri haina maana adui yako hana silaha au akikupiga makombora yake yanageuka maji. Marekani alikuwa na silaha nzuri Afgjanstan zaidi ya Mujaheeden, lakini nae alikuwa anapigika na hizo hizo AK 47 ambazo ni za kizamani ukilinganisha na bunduki wanazotumia USA
For your very best information my file no at MMJ is P 98** Ni sawa na Kichaa akwambie ana file Mirembe Hospital. If you know what I mean.
 
Back
Top Bottom