davejillaonecka
JF-Expert Member
- Oct 17, 2018
- 697
- 749
Msamehe amekurupukaKwani ipo jukwaa la uchumi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msamehe amekurupukaKwani ipo jukwaa la uchumi?
Wakwendreee hukooo 🤣🤣Mi mwenyewe tatizo.😄
Hamna kitu sipendi kama kukaa jikoni😭
Mkuu,Anauliza mdau wangu wa karibu ambaye tunaheshimiana na kushirikiana mambo mengi.
Mimi na mke wangu tuna miaka mitatu tangu tuoane,
Nampenda sana,na yeye ananipenda sana,sijawahi kushitukia usaliti toka kwake japo akiwa kama binadamu anaweza kufanya hata kwa siri ila binafsi sijawahi mshitukia ,kwani naweza shika simu yake na kuchezea huku na kule ila hajawahi hata kuonesha hataki na siku za weekend tukiwa wote ndiyo kabisa simu anaitelekeza labda ikiita ndiyo anashughulika nayo.
Suala nalotaka kushare nawe (Mimi) ni kwamba mke wangu hajui kupika , iwe wali,ugali,sijui rost lile nalolifaidi migahawani lakini sijawahi onja taste hiyo.
Yeye anapenda sana nile chakula alichopika ,hususani mida ya jioni akiandaa dinner au siku za mapumziko lakini wapi,huwa anaotea mara Moja Moja lakini asilimia 80 hajui.
Tunaye dada wa kazi ambaye ni fundi haswa tena anajua lakini mke wangu hutaka yeye asimame kama mke anipikie na nikiangalia ni kweli anastahili kunipikia,Sasa akipika basi siku hiyo mjiandae kula mataputapu,
Dada wa kazi aliwahi kusema hili wazi kwangu ila nilimkanya nikajifanyq sijui kama chakula huwa kibovu lengo nilitaka heshima kwa my wife isishuke.
Mimi mwenyewe sijui kupika zaidi ya kuchemsha tu vitu ilimradi vimeiva ila huwa si vitamu, natamani ningekuwa najua ningemfundisha mke wangu A to Z jinsi ya kuandaa misosi.
Je,nimuanzeje?
Nimwambie ukweli?
Je,lugha gani nitumie ili tusigombane?
Nampenda sana mke wangu.
Kijana mdogo anawauliza nyie wanaume wa jamii forum,hata wanawake mnaweza kuchangia.
Sio kosa mbona, mie nlikuaga napika ugali una mabonge mabonge, mme wangu akanielekeza kupika vizuri, chapati ndo usiseme nlikua napika ile mikate ya yesu akanifundisha pia.....Anauliza mdau wangu wa karibu ambaye tunaheshimiana na kushirikiana mambo mengi.
Mimi na mke wangu tuna miaka mitatu tangu tuoane,
Nampenda sana,na yeye ananipenda sana,sijawahi kushitukia usaliti toka kwake japo akiwa kama binadamu anaweza kufanya hata kwa siri ila binafsi sijawahi mshitukia ,kwani naweza shika simu yake na kuchezea huku na kule ila hajawahi hata kuonesha hataki na siku za weekend tukiwa wote ndiyo kabisa simu anaitelekeza labda ikiita ndiyo anashughulika nayo.
Suala nalotaka kushare nawe (Mimi) ni kwamba mke wangu hajui kupika , iwe wali,ugali,sijui rost lile nalolifaidi migahawani lakini sijawahi onja taste hiyo.
Yeye anapenda sana nile chakula alichopika ,hususani mida ya jioni akiandaa dinner au siku za mapumziko lakini wapi,huwa anaotea mara Moja Moja lakini asilimia 80 hajui.
Tunaye dada wa kazi ambaye ni fundi haswa tena anajua lakini mke wangu hutaka yeye asimame kama mke anipikie na nikiangalia ni kweli anastahili kunipikia,Sasa akipika basi siku hiyo mjiandae kula mataputapu,
Dada wa kazi aliwahi kusema hili wazi kwangu ila nilimkanya nikajifanyq sijui kama chakula huwa kibovu lengo nilitaka heshima kwa my wife isishuke.
Mimi mwenyewe sijui kupika zaidi ya kuchemsha tu vitu ilimradi vimeiva ila huwa si vitamu, natamani ningekuwa najua ningemfundisha mke wangu A to Z jinsi ya kuandaa misosi.
Je,nimuanzeje?
Nimwambie ukweli?
Je,lugha gani nitumie ili tusigombane?
Nampenda sana mke wangu.
Kijana mdogo anawauliza nyie wanaume wa jamii forum,hata wanawake mnaweza kuchangia.
Mikate ya Yesu🤣Sio kosa mbona, mie nlikuaga napika ugali una mabonge mabonge, mme wangu akanielekeza kupika vizuri, chapati ndo usiseme nlikua napika ile mikate ya yesu akanifundisha pia.....
Muelekeze, ikibidi ingieni u tube mnaelekezana mnaingia jikoni wote kimahaba.
Hivi kwani mtu ukimuelekeza dada vile unataka baba apikiwe kuna shida gani?Wakwendreee hukooo 🤣🤣
Chakula ni chakula muhimu ushibe usife njaa..!!
Ahahahahh 🤣 🤣 🤣 🤣Ukweli mtupu
Gubu tu limewajaa 😂😂😂Hivi kwani mtu ukimuelekeza dada vile unataka baba apikiwe kuna shida gani?
Ukute hajui kupika ila ana mambo mengine ya maana anajua ila anaonekana tatizo kisa tu kupika
Mi bana kuspend hours jikoni singeweza labda siku moja moja coz kama kuchepuka atachepuka tu sasa cha kufia nini😀Gubu tu limewajaa 😂😂😂
Bora tulivyokuwa kataa ndoa
Chapati ukifanya tu jaribio la kuikunja inavunjika vipande vipande.....ni kyapati bin kaukauMikate ya Yesu🤣
Wala tusijichoshe hata ujifanye shishi food km kuchepuka litachepuka tyuuu.!!Mi bana kuspend hours jikoni singeweza labda siku moja moja coz kama kuchepuka atachepuka tu sasa cha kufia nini😀
Fanya kama unatuma parcel basi?Chapati ukifanya tu jaribio la kuikunja inavunjika vipande vipande.....ni kyapati bin kaukau
Ila leo balaa kabisa hata ikikaa siku mbili bado laini.
HahahahahJifunze wewe mkuu, sio lazima yeye apike...
Familia nzima hamjui kupika aloo basi huwa mnakula vitu vya hovyo sana.