Kweli tutamkumbuka kwa mazuriNobody cares anymore. Mtanikumbuka kwa mazuri.
Aliwaambia mlipe 200 tu na hakukua na sababu ya kivuko kuwa kibovuKwenye vivuko alifanyaje?
Kivuko cha wapi kigamboni, kamanga au busisi mbona taarifa yako haileweki,tambua jamii forumWakuu, jana na leo! Nimeshuhudia kitu kisicho cha kawaida.
Sijui kivuko ni kibovu ama vipi.
Tumepanda kikagoma kabisa kwenda, nafikiri tulikuwa wengi kupita kiasi.
Tukapunguzwa at least kikatembea kwa shida.
Yaani kwa sasa Feri ni shida kweli kweli.
Wasipochukua hatua kwa siku hizi ambapo vivuko ni viwili tu, lolote linaweza kutokea hasa nyakati za Asubuhi na Jioni.
Nawasilisha
MV Magogoni Kigamboni KAZI zote zilipiga mzigo kiuhakika. Lakini sasa hivi hata zikiwa nzima wanaamua waachie mbili au moja wapige weseKwenye vivuko alifanyaje?
Mwanangu vile vidude vinatisha, maji yanakuwa sentimeta 3Siku hizi sina muda na Pantoni.
Naenda soko la samaki nashuka down napanda Fibre boat nauli 500 ndani ya dakika tatu nipo ng’ambo.
Kama huwezi kuogelea usijaribu,maana kifo nje‘nje.
Awamu yake kiliua watu 200Kweli tutamkumbuka kwa mazuri