Kuna janga linaandaliwa vivuko vya Kigamboni, TEMESA chukueni hatua

Kuna janga linaandaliwa vivuko vya Kigamboni, TEMESA chukueni hatua

Tatizo "kiilikuwa akifanyiwi service enzi za mwendazake"
 
Kuna Siku Nilipanda Hicho Kivuko Badala Ya Kutupeleka Magogoni Pale Kikaelekea Bandarini Na Ilikuwa Usiku.


Vile Vivuko Vina Hali Mbaya Kuna Siku Vitazamana Na Raia Walahi.
 
Wakuu, jana na leo! Nimeshuhudia kitu kisicho cha kawaida.

Sijui kivuko ni kibovu ama vipi.

Tumepanda kikagoma kabisa kwenda, nafikiri tulikuwa wengi kupita kiasi.
Tukapunguzwa at least kikatembea kwa shida.

Yaani kwa sasa Feri ni shida kweli kweli.

Wasipochukua hatua kwa siku hizi ambapo vivuko ni viwili tu, lolote linaweza kutokea hasa nyakati za Asubuhi na Jioni.
Nawasilisha
Ohoo..
Isije kuwa kama Mv Bukoba
 
Kuna Siku Nilipanda Hicho Kivuko Badala Ya Kutupeleka Magogoni Pale Kikaelekea Bandarini Na Ilikuwa Usiku.


Vile Vivuko Vina Hali Mbaya Kuna Siku Vitazamana Na Raia Walahi.
Ndio janga linalokuja kama hawatachukua hatua.
 
Kuna siku vilikosanisha na mtu nilichelewa appointment

(ngoja kwanza niwatukane kimoyo Moyo)
unasubiria mpaka unachoka na bado

unajiuliza tutafika kweli
Mara nyingi huwa napanda mv magogoni lakini hio sijui mv kazi Kama vile umepanda kwenye mtumbwi
 
Wakuu, jana na leo! Nimeshuhudia kitu kisicho cha kawaida.

Sijui kivuko ni kibovu ama vipi.

Tumepanda kikagoma kabisa kwenda, nafikiri tulikuwa wengi kupita kiasi.
Tukapunguzwa at least kikatembea kwa shida.

Yaani kwa sasa Feri ni shida kweli kweli.

Wasipochukua hatua kwa siku hizi ambapo vivuko ni viwili tu, lolote linaweza kutokea hasa nyakati za Asubuhi na Jioni.
Nawasilisha
Hilo tatizo linaingia wiki ya tatu sasa.. Last weekend usiku wa saa 7 karibia kipotee njia kabisa
 
Back
Top Bottom