Kuna janga linaandaliwa vivuko vya Kigamboni, TEMESA chukueni hatua

Kuna janga linaandaliwa vivuko vya Kigamboni, TEMESA chukueni hatua

Ile Tanzanite Bridge [emoji563] ilitakiwa iwe pale kigamboni feri then ndio waendelee na hiyo Tanzanite org ya salenda au mnasemaje waungwana? [emoji848]

Halafu meli ziingieje?
 
Wakuu, jana na leo! Nimeshuhudia kitu kisicho cha kawaida.

Sijui kivuko ni kibovu ama vipi.

Tumepanda kikagoma kabisa kwenda, nafikiri tulikuwa wengi kupita kiasi.

Tukapunguzwa at least kikatembea kwa shida.

Yaani kwa sasa Feri ni shida kweli kweli.

Wasipochukua hatua kwa siku hizi ambapo vivuko ni viwili tu, lolote linaweza kutokea hasa nyakati za Asubuhi na Jioni.
Nawasilisha
yah! I hope tulikuwa wote siku ya ijumaa tar 04/03 jioni hivi na palikuwa na gari chache sana... ila watu wanasubiri mda mrefu inapelekea kujaa sanaaa...
 
Ile Tanzanite Bridge [emoji563] ilitakiwa iwe pale kigamboni feri then ndio waendelee na hiyo Tanzanite org ya salenda au mnasemaje waungwana? [emoji848]
ndio maana wakaweka kule nyerere brig kutokana na bandari ili meli kubwa zipite bila shida....
 
Na huu mfumo wa N-Card kuwa wa lazima tangu tar 01/03/2022 kwakweli si rafiki kwa wale wanaotumia kivuko mara moja moja.
 
Mkapa-mv bukoba
Kikwete- mv sijui nn
Magufuli- mv sijui kitu gan
Samia- ..............
 
Back
Top Bottom