Kumbuka pale ni pitio la meli za kila ukubwaIle Tanzanite Bridge [emoji563] ilitakiwa iwe pale kigamboni feri then ndio waendelee na hiyo Tanzanite org ya salenda au mnasemaje waungwana? [emoji848]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbuka pale ni pitio la meli za kila ukubwaIle Tanzanite Bridge [emoji563] ilitakiwa iwe pale kigamboni feri then ndio waendelee na hiyo Tanzanite org ya salenda au mnasemaje waungwana? [emoji848]
Kajumlisha na parking...Hii 160,000 umeitoa wapi? Gari inakuwa 1500 au 2000 hata ukivuka kila siku kwa mwezi ni 120,000/- (bado ni hela pia)
Technology imekuwa mkuu, hakuna linaloshindikana....it can be cost but relief to tax payers!!Tatzo pale zinapita meli kubwa kuelekea bandarini
Acha uongo hapa! Aliwaambia watu wa Kigamboni wapige mbizi kama hawawezi kulipa nauli!Aliwaambia mlipe 200 tu na hakukua na sababu ya kivuko kuwa kibovu
Yaani jana tulijaa sanaHuu uzi utarudi siku janga likitokea,
wewe mwanaccm Soma kichwa Cha habari kwanza hujachangia ,sawa mwanalumumbaKivuko cha wapi kigamboni, kamanga au busisi mbona taarifa yako haileweki,tambua jamii forum
ni jukwaa la nchi nzima.
Ile Tanzanite Bridge [emoji563] ilitakiwa iwe pale kigamboni feri then ndio waendelee na hiyo Tanzanite org ya salenda au mnasemaje waungwana? [emoji848]
Hiyo hatari. Hivi Haiwezekani kuweka daraja pale pale kituo kinapokatiza? Why wapeleke daraja mbali vile?
yah! I hope tulikuwa wote siku ya ijumaa tar 04/03 jioni hivi na palikuwa na gari chache sana... ila watu wanasubiri mda mrefu inapelekea kujaa sanaaa...Wakuu, jana na leo! Nimeshuhudia kitu kisicho cha kawaida.
Sijui kivuko ni kibovu ama vipi.
Tumepanda kikagoma kabisa kwenda, nafikiri tulikuwa wengi kupita kiasi.
Tukapunguzwa at least kikatembea kwa shida.
Yaani kwa sasa Feri ni shida kweli kweli.
Wasipochukua hatua kwa siku hizi ambapo vivuko ni viwili tu, lolote linaweza kutokea hasa nyakati za Asubuhi na Jioni.
Nawasilisha
ndio maana wakaweka kule nyerere brig kutokana na bandari ili meli kubwa zipite bila shida....Ile Tanzanite Bridge [emoji563] ilitakiwa iwe pale kigamboni feri then ndio waendelee na hiyo Tanzanite org ya salenda au mnasemaje waungwana? [emoji848]
Halafu meli ziingieje?
Kwahio nyinyi hamjawahi kuona daraja baharini na meli zinapita chini yake?Halafu bandari ife?
Kwahio nyinyi hamjawahi kuona daraja baharini na meli zinapita chini yake?
Hebu tuelezee pale daraja ungewekaje mkuuKwahio nyinyi hamjawahi kuona daraja baharini na meli zinapita chini yake?
umezaliwa liniAcha uongo hapa! Aliwaambia watu wa Kigamboni wapige mbizi kama hawawezi kulipa nauli!
Kabla baba yako hajazaliwa!umezaliwa lini