West standard
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 441
- 649
Hiyo hatari. Hivi Haiwezekani kuweka daraja pale pale kituo kinapokatiza? Why wapeleke daraja mbali vile?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafikiri uongeze kwa upendo kwa huyu wa sasa zaidiNilimchukia sana JPM, lakini kuna mambo alinifanya niounguze chuki juu yake. Tozo kubwa huduma mbovu vimerejea.
Yalaaaa ni kweli pale haiwezekani coz ya meli zinazo ingizia patokubwa taifa kuliko wana kigamboni wote, kwa vyovyote hawa wezi kujengewa daraja pale labda bandari ihamishwe kitu ambacho ni fikirishi sana [emoji23] so hapo cha kufanya wanakigamboni cha kufanya wa boreshewe vivuko vyao pia waongezewe hata vi wili au kimoja ita wasaidia ila sio daraja, case closed [emoji1]Tatzo pale zinapita meli kubwa kuelekea bandarini
Hicho ndio kinanikera huko Kigamboni yani kungekuwa hamna mambo ya ma Pantoni ni chap ningedaka uwanja. Swala la kulipishana kwa huduma ya kwenda na kurudi nyumbani ndio silikubali kabisa bora nikanunue uwanja Bagamoyo tu 😅!Mtihani wa kuishi kigamboni
Nilikesha usiku mzima kabla ya tangazo nikiwa mwenye mwenye hofu na baada ya tangazo la kifo. Nikishikwa na hasira kwa kuwa nilijua dagama wa kike atashika nchi.Nafikiri uongeze kwa upendo kwa huyu wa sasa zaidi
Waweke daraja la kuvuka free kama la Sealander sio kulipishana mahela!Hiyo hatari. Hivi Haiwezekani kuweka daraja pale pale kituo kinapokatiza? Why wapeleke daraja mbali vile?
Tatzo pale zinapita meli kubwa kuelekea bandarini
Hii 160,000 umeitoa wapi? Gari inakuwa 1500 au 2000 hata ukivuka kila siku kwa mwezi ni 120,000/- (bado ni hela pia)I can’t imagine nalipa 160,000 kwa mwezi kama charge za kutoka na kurudi kwangu...There more things that money can do!
Mkuu ni.kweli kabisaWakuu, jana na leo! Nimeshuhudia kitu kisicho cha kawaida.
Sijui kivuko ni kibovu ama vipi.
Tumepanda kikagoma kabisa kwenda, nafikiri tulikuwa wengi kupita kiasi.
Tukapunguzwa at least kikatembea kwa shida.
Yaani kwa sasa Feri ni shida kweli kweli.
Wasipochukua hatua kwa siku hizi ambapo vivuko ni viwili tu, lolote linaweza kutokea hasa nyakati za Asubuhi na Jioni.
Nawasilisha
Weye sema huna hela acha maneno mengi,Hicho ndio kinanikera huko Kigamboni yani kungekuwa hamna mambo ya ma Pantoni ni chap ningedaka uwanja. Swala la kulipishana kwa huduma ya kwenda na kurudi nyumbani ndio silikubali kabisa bora nikanunue uwanja Bagamoyo tu [emoji28]!
I can’t imagine nalipa 160,000 kwa mwezi kama charge za kutoka na kurudi kwangu...There more things that money can do!
KumbeeeeMV Magogoni Kigamboni KAZI zote zilipiga mzigo kiuhakika. Lakini sasa hivi hata zikiwa nzima wanaamua waachie mbili au moja wapige wese
Ndio maana niliachana na kivuko.Hii kero sana kwa wakazi wa kigamboni
Unatumia dakika 40 kusubiri kivuko ambacho nacho huna uhakika utafika baada ya muda gani
Na Sasa hivi wameweka mfumo wa N-card unaoziba mirija yao ya kula.MV Magogoni Kigamboni KAZI zote zilipiga mzigo kiuhakika. Lakini sasa hivi hata zikiwa nzima wanaamua waachie mbili au moja wapige wese
Mkuu muda huu tena kinazinguaNa Sasa hivi wameweka mfumo wa N-card unaoziba mirija yao ya kula.
Haichukui Muda hii mifumo lazima waihujumu.
Kama ilivyokuwa kwenye mwendo kasi.
Na sijui kwa nini namba deni za kutosha.. muda huu hapa joto lake si la Nchi hiiNa Sasa hivi wameweka mfumo wa N-card unaoziba mirija yao ya kula.
Haichukui Muda hii mifumo lazima waihujumu.
Kama ilivyokuwa kwenye mwendo kasi.
Akachukua hatua kuwajengea vipya msiteseke.Kwamba hujui kama kiliua awamu yake?
Mungu anawaonaTatizo "kiilikuwa akifanyiwi service enzi za mwendazake"