Kuna janga linaandaliwa vivuko vya Kigamboni, TEMESA chukueni hatua

Mjini hapa bila Dili hakuendeki.

Tengeneza tatizo wanaume waje kulitatua.

Toka Mzee WA Chato kuondoka naona kivuko kimefululiza kuharibika.

Hapa mpaka mtu apewe Tenda. Hela zinatafutwa anyhow.
 
Kuna haja gani ya kuwa na vivuko visivyo vya uhakika na usalama wake ni mdogo ikiwa serikali inaweza kujenga daraja zuri tu hapo na maisha yatakuwa rahisi kwa wakazi wa kigamboni. Tanzania bhana ni nchi fulani ya hovyo sana serikali inawatesa tu wakatwa tozo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…