Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Habari zinazotrend huko Zimbabwe zinasema magari ya wanajeshi yameonekana mitaani Harare.
Haijulikani ni nini hasa kinaendelea ila kuna tetesi ya jaribio la mapinduzi kuendelea.
Naona wanajeshi wameamua kudeal na wakoloni weusi.
Haijulikani ni nini hasa kinaendelea ila kuna tetesi ya jaribio la mapinduzi kuendelea.
Naona wanajeshi wameamua kudeal na wakoloni weusi.