Olodarasero
Senior Member
- Aug 4, 2024
- 122
- 196
Habari za udaku hakuna media yeyote duniani inatangaza hi habarii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari za udaku hakuna media yeyote duniani inatangaza hi habarii
Tawala dhalimu lazima ziangukeHabari zinazotrend huko Zimbabwe zinasema magari ya wanajeshi yameonekana mitaani Harare.
Haijulikani ni nini hasa kinaendelea ila kuna tetesi ya jaribio la mapinduzi kuendelea.
Naona wanajeshi wameamua kudeal na wakoloni weusi.
🤣 Daah banana..,.,...Banana Republic lini?
Point za akili kama hizi mbuzi wengi kwenye ulimwengu wa unafiki na uchawa kwa viongozi wataupinga but ukweli Africa tumefeli tumefeli sana ukiangalia mambo yanayotokea Uganda,Sudan Rwanda na nchi nyingi ndo utajua cc hatuwezi kujitawalaKwa kweli Tawala za kiafrika za Kiraia zinatia kinyaa na hasira .
Hebu Fikiri Mbunge wa Darasa la Saba analipwa posho kiinua mgongo na mshahara mkubwa kuliko Kanali wa Jeshi na hata Kamishina wa polisi.
Mbunge wa kuteuliwa tu kirafiki bila taaluma yoyote ya muhimu kwa Taifa analipwa mara 20 ya Mwalimu wa shule ya sekondari . Halafu anakaa bungeni hajadili maisha magumu yanayowakuta Watumishi wa umma badala yake anapiga kelele Mume au mke wa Rais alipwe mshahara wa kufanya anasa na starehe za dunia .
Watu kama hawa wanasababisha wananchi watamani serikali za kijeshi zenye uzalendo na uchungu wa kuifia nchi.
Wanajeshi tupeni Raha bara zima la Afrika kuondoa Tawala dhalimu kama za Kongo.
M23 ni mkombozi wa Wakongo na sio utawala wa Kinshasa unaojilimbikizia mali huku wakishindwa kulipa mishahara ya askari wake.
Miaka 60 ya uhuru Tawala za kiraia hazijafanya jambo la maana zaidi ya kujilimbikizia mali .
Una hoja ya msingi sana ila sijui kwama wengi wamekuelewaKwa kweli Tawala za kiafrika za Kiraia zinatia kinyaa na hasira .
Hebu Fikiri Mbunge wa Darasa la Saba analipwa posho kiinua mgongo na mshahara mkubwa kuliko Kanali wa Jeshi na hata Kamishina wa polisi.
Mbunge wa kuteuliwa tu kirafiki bila taaluma yoyote ya muhimu kwa Taifa analipwa mara 20 ya Mwalimu wa shule ya sekondari . Halafu anakaa bungeni hajadili maisha magumu yanayowakuta Watumishi wa umma badala yake anapiga kelele Mume au mke wa Rais alipwe mshahara wa kufanya anasa na starehe za dunia .
Watu kama hawa wanasababisha wananchi watamani serikali za kijeshi zenye uzalendo na uchungu wa kuifia nchi.
Huku GEN Y hawana habari kabisa
Safi sana, hawa viongozi wapuuzi wa Kiafrika wapinduliwe tu, tunataka maendeleo Afrika.Habari zinazotrend huko Zimbabwe zinasema magari ya wanajeshi yameonekana mitaani Harare.
Haijulikani ni nini hasa kinaendelea ila kuna tetesi ya jaribio la mapinduzi kuendelea.
Naona wanajeshi wameamua kudeal na wakoloni weusi.
Ndio maana CCM wako madarakani mpaka sasa.Kwahiyo Gari za Wanajeshi tu zikipita ni jaribio tayari?
Mpaka vijini vya mama dullah kutoka arabuni vife.Banana Republic lini?
🤣🤣Ndio maana CCM wako madarakani mpaka sasa.
Samia is busy politicizing the army not knowing kuwa kwa kufanya hivyo anawakaribisha wampindue!!Huku Tanzania ndiyo hawajitambui, wamekaa kimya huku wanaburuzwa kama mambuzi.
Yaje na huku. Hawa nzi wa kijani wanalifisadi sana hili Taifa na wameshaligeuza kuwa lao binafsi.
Weka chanzo cha habariHabari zinazotrend huko Zimbabwe zinasema magari ya wanajeshi yameonekana mitaani Harare.
Haijulikani ni nini hasa kinaendelea ila kuna tetesi ya jaribio la mapinduzi kuendelea.
Naona wanajeshi wameamua kudeal na wakoloni weusi.