Tetesi: Kuna jaribio la Mapinduzi nchini Zimbabwe muda huu

Tetesi: Kuna jaribio la Mapinduzi nchini Zimbabwe muda huu

Toka maktaba
11 February 2025

Geza anasema suala la Urithi wa wa uongozi ndani ya chama dola kongwe tawala ZANU-PF "safari hii hakuna utani, mJitayarishe kwa msukumo wa mwisho utakaoleta mabadiliko mapya ya kushangaza ndani ya chama "

View: https://m.youtube.com/watch?v=Gwg9QXq96hQ
Geza anasema hakuna cha utamaduni wala mazoea au desturi, safari hii lazima kulingoa kundi lililopo lililodhi madaraka ya kurithiana kwa muda mrefu

ZANU-PF succession “Get ready for final push-Signal is coming “ Says Geza

Vyama vya Uhuru vimepoteza muelekeo hebu angalia CCM wananchi wanadai Katiba Mpya na wao wanasema Katiba ni "Kijitabu tu"
 
Habari zinazotrend huko Zimbabwe zinasema magari ya wanajeshi yameonekana mitaani Harare.

Haijulikani ni nini hasa kinaendelea ila kuna tetesi ya jaribio la mapinduzi kuendelea.

Naona wanajeshi wameamua kudeal na wakoloni weusi.

Labda kama haujawahi kuishi Zimbabwe, literally wanajeshi na war veterans hata Mugabe walikuwa wanamuona soft na uporwaji wa ardhi zilizokuwa zikimilikiwa na walowezi wa Kizungu zilitoka kwa wanajeshi na war veterans. Kama Munangagwa alikuwa na mpango wa kuwapora ardhi kuwarudisha Wazungu lazima wpindue tu.
The last time I was in Zim was 2014, unless if the political dynamics have drastically changed since the last time I was there wanajeshi wako against Wazungu vibaya mno na wanaona wanasiasa ni soft na ni sellouts.
 
Kwa kweli Tawala za kiafrika za Kiraia zinatia kinyaa na hasira .

Hebu Fikiri Mbunge wa Darasa la Saba analipwa posho kiinua mgongo na mshahara mkubwa kuliko Kanali wa Jeshi na hata Kamishina wa polisi.
Mbunge wa kuteuliwa tu kirafiki bila taaluma yoyote ya muhimu kwa Taifa analipwa mara 20 ya Mwalimu wa shule ya sekondari . Halafu anakaa bungeni hajadili maisha magumu yanayowakuta Watumishi wa umma badala yake anapiga kelele Mume au mke wa Rais alipwe mshahara wa kufanya anasa na starehe za dunia .
Watu kama hawa wanasababisha wananchi watamani serikali za kijeshi zenye uzalendo na uchungu wa kuifia nchi.


Wanajeshi tupeni Raha bara zima la Afrika kuondoa Tawala dhalimu kama za Kongo.
M23 ni mkombozi wa Wakongo na sio utawala wa Kinshasa unaojilimbikizia mali huku wakishindwa kulipa mishahara ya askari wake.

Miaka 60 ya uhuru Tawala za kiraia hazijafanya jambo la maana zaidi ya kujilimbikizia mali .
Bandiko lako ni zuri ila umechemsha kwa kuamini kuwa kusoma sana ni kupata mshahara mkubwa(regardless the sector) kuwazidi wasiosoma.
Kama unasoma ili upate mshahara mkubwa zaidi ya wasiosoma, you'll be disappointed.
 
Kwa kweli Tawala za kiafrika za Kiraia zinatia kinyaa na hasira .

Hebu Fikiri Mbunge wa Darasa la Saba analipwa posho kiinua mgongo na mshahara mkubwa kuliko Kanali wa Jeshi na hata Kamishina wa polisi.
Mbunge wa kuteuliwa tu kirafiki bila taaluma yoyote ya muhimu kwa Taifa analipwa mara 20 ya Mwalimu wa shule ya sekondari . Halafu anakaa bungeni hajadili maisha magumu yanayowakuta Watumishi wa umma badala yake anapiga kelele Mume au mke wa Rais alipwe mshahara wa kufanya anasa na starehe za dunia .
Watu kama hawa wanasababisha wananchi watamani serikali za kijeshi zenye uzalendo na uchungu wa kuifia nchi.


Wanajeshi tupeni Raha bara zima la Afrika kuondoa Tawala dhalimu kama za Kongo.
M23 ni mkombozi wa Wakongo na sio utawala wa Kinshasa unaojilimbikizia mali huku wakishindwa kulipa mishahara ya askari wake.

Miaka 60 ya uhuru Tawala za kiraia hazijafanya jambo la maana zaidi ya kujilimbikizia mali .
Tumewachokaaaaaaa wao na watoto wao
 
Nakumbuka walisema Wamemweka Mugabe mahali salama hivyo Jeshi liko ktk majukum ya kuweka mambo sawa na hakuna Mapinduzi.
Jeshi lilikuwa likimuona Mugabe kuwa ni soft na ameanza kulegeza misimamo ya Africanization, current soldiers and war veterans hawataki kabisa mambo ya kuwalegezea kamba Wazungu.
Uporwaji wa ardhi zilizokuwa zikimilikiwa na Wazungu(remember Wazungu nao pia walizipora kutoka kwa natives) ilikuwa ni pressure ya soldiers pamoja na war veterans na ndiyo maana hao ndiyo waliofaidika na uporaji huo.
 
Jeshi lilikuwa likimuona Mugabe kuwa ni soft na ameanza kulegeza misimamo ya Africanization, current soldiers and war veterans hawataki kabisa mambo ya kuwalegezea kamba Wazungu.
Uporwaji wa ardhi zilizokuwa zikimilikiwa na Wazungu(remember Wazungu nao pia walizipora kutoka kwa natives) ilikuwa ni pressure ya soldiers pamoja na war veterans na ndiyo maana hao ndiyo waliofaidika na uporaji huo.
Unazungumzia Zimbabwe ipi? Unazungumzia askari na veterans gani waliochukua ardhi na mashamba ya wazungu? Hawa walipewa chakula Cha Msaada na China jana au wengine?
 
S
Mambo haya yanafikirisha kweli

Maana ni kweli kabisa kuna wakati uongozi wa kirai unafukarisha nchi zetu na kuanza kudhalaurika na wakati huo huo tunao watu waliofundishwa kuifia nchi

Mimi nataka, mahali popote penye uongozi usiokidhi matarajio ya wananchi, uondolewe kwa namna yoyote

Wananchi tunakuwa tunapiga kura kuwakataa mabeberu weusi, unashangaa wanaiba kura kuingia madarakani kinguvu, kwa nini wasiangushwe na jeshi?
Safi Sanaa CCM Itoke tuu
 
Back
Top Bottom