Kuna kaka anaashiria ananipenda ila hanitongozi, nifanye nini?

Kuna kaka anaashiria ananipenda ila hanitongozi, nifanye nini?

Unique Flower

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
12,838
Reaction score
25,282
Jamii humu ni watu wanakushauri vizuri ila sio wote.

Ishu yangu ni hii nimepewa namba namaza nikakutane na mtu ofisini ili nikamilishe zoezi lake la kupata vyeti vyake vya kusafiria ila kiukweli nilikuwa sipendi kumfuata huyo mtu.

Sasa siku moja nikampigia tusettle kumeet ofisini ila huyo kijana tokea tuwe tunafanya hiyo business ananiangalia kimahaba ila haongei ananiangalia hadi naona aibu wadada wahapo ofisini wanakonyezana.

Hivi majuzi ilipokamilika hizo pasi nikaondoka ila hadi na leo namkumbuka ila tatizo lipo hivi mbona haongei? Yeye huniangalia tu kimahaba,? Hadi nakosa nguvu?

Amani? Nifanyaje anitoke?

Nimsahau hajaoa nasijaolewa.
 
Hahahahahhaha kwamba anakutizama tu kimahaba!
Ukute ni macho yake, na alikuwa anakusikiliza kwa makini.

Sasa sio issue, we umemwelewa, sio?

Anza kumwita mpenzi.
As in umekula mpenzi?
Umeshindaje mwaya.
Asipomind wa kwako huyo
 
Hahahahahhaha kwamba anakutizama tu kimahaba!
Ukute ni macho yake, na alikuwa anakisikiliza kwa makini.

Sasa sio issue, we umemwelewa.
Anza kumwita mpenzi.
As in umekula mpenzi?
Umeshindaje mwaya.
Asipomind ,wa kwako huyo
Kuna siku nilimcall nikamwomba masaada alinisaidia ila shida sianawake naogopa someone akiwa na mtu hajaoa ila yupo na mtu
 
Back
Top Bottom