Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,717
- 13,176
Mtongoze au Kama huwezi basi mpe
Nalog off
Nalog off
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UtawadakaJamii humu ni watu wanakushauri vizuri ila sio wote.
Ishu yangu ni hii nimepewa namba namaza nikakutane na mtu ofisini ili nikamilishe zoezi lake la kupata vyeti vyake vya kusafiria ila kiukweli nilikuwa sipendi kumfuata huyo mtu.
Sasa siku moja nikampigia tusettle kumeet ofisini ila huyo kijana tokea tuwe tunafanya hiyo business ananiangalia kimahaba ila haongei ananiangalia hadi naona aibu wadada wahapo ofisini wanakonyezana.
Hivi majuzi ilipokamilika hizo pasi nikaondoka ila hadi na leo namkumbuka ila tatizo lipo hivi mbona haongei? Yeye huniangalia tu kimahaba,? Hadi nakosa nguvu?
Amani? Nifanyaje anitoke?
Nimsahau hajaoa nasijaolewa.
Mtongoze wewe kwani mbaya nini? Si ikinaumana mwisho wa yote. Ila kama wewe si mchaga naye ni mchaga, kimbia haraka kabla hujaumizwa mwananguJamii humu ni watu wanakushauri vizuri ila sio wote.
Ishu yangu ni hii nimepewa namba namaza nikakutane na mtu ofisini ili nikamilishe zoezi lake la kupata vyeti vyake vya kusafiria ila kiukweli nilikuwa sipendi kumfuata huyo mtu.
Sasa siku moja nikampigia tusettle kumeet ofisini ila huyo kijana tokea tuwe tunafanya hiyo business ananiangalia kimahaba ila haongei ananiangalia hadi naona aibu wadada wahapo ofisini wanakonyezana.
Hivi majuzi ilipokamilika hizo pasi nikaondoka ila hadi na leo namkumbuka ila tatizo lipo hivi mbona haongei? Yeye huniangalia tu kimahaba,? Hadi nakosa nguvu?
Amani? Nifanyaje anitoke?
Nimsahau hajaoa nasijaolewa.
Kwa nini?Mtongoze wewe kwani mbaya nini? Si ikinaumana mwisho wa yote. Ila kama wewe si mchaga naye ni mchaga, kimbia haraka kabla hujaumizwa mwanangu
Ni kweli lips tamuNa wewe muangalie kimahaba.case closed.
Ila umeniuzi wewe Yani na wewe kumwangalia kimahaba umeshindwa kweli[emoji30]
Niliwe nanani mi simjuiJinga sana hili demu,ushaliwa kimasihara tupe mrejesho.