Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,812
- 107,628
Ooh no haijaisha maana ain't fair enough to me.. I missed themHahahaha ile kesi kwani haiishi lol.
Heee Sema nyie namba C,B na A ndio mnaona sio ishuu.. ila hawa namba D sasa sidhaniKabiiiisa.
Na we need to normalize this.
Girls shouldn't be kuona kutongozwa ni iiiiiiishu hivyo.
You deserve and you still does kwakweli...Babangu alizoea kuniita Princess.
Mamangu alikuwa anasifu miguu yangu sana.
So hakuna namna leo kuniita beautiful, sexy, na nini kutanifanya nione eeeeenh jamani huyu mwanaume kanipenda.
Nyie ndio mnasemaga "Yaani mimi unaniletea habari za kunipenda"😆
Sure thing!Nin tunalisha ubongo kuhusu mwonekano.
Kuhusu sisi ndani.
Me have very cute girls, na huwa nawaambia.
That you are beautiful, its obvious.
Sasa usione ni kitu cha ajabu, au usione ni kitu cha kuhangaika nacho kwamba mtu hajakutongoza au wanakwambia you are beautiful wewe uhamishe Milima na mabonde.
noooop!!
One can be both bold and beautiful
na vyote vikawepo tu mahala pake.
Bila maathiriano yoyote.
Ila nashukuru mimi Mwanaume asee