Kuna kaka anaashiria ananipenda ila hanitongozi, nifanye nini?

Kuna kaka anaashiria ananipenda ila hanitongozi, nifanye nini?

Hahahaha ile kesi kwani haiishi lol.
Ooh no haijaisha maana ain't fair enough to me.. I missed them
Kabiiiisa.
Na we need to normalize this.
Girls shouldn't be kuona kutongozwa ni iiiiiiishu hivyo.
Heee Sema nyie namba C,B na A ndio mnaona sio ishuu.. ila hawa namba D sasa sidhani
Babangu alizoea kuniita Princess.
Mamangu alikuwa anasifu miguu yangu sana.
So hakuna namna leo kuniita beautiful, sexy, na nini kutanifanya nione eeeeenh jamani huyu mwanaume kanipenda.
You deserve and you still does kwakweli...
Nyie ndio mnasemaga "Yaani mimi unaniletea habari za kunipenda"😆
Nin tunalisha ubongo kuhusu mwonekano.
Kuhusu sisi ndani.
Me have very cute girls, na huwa nawaambia.
That you are beautiful, its obvious.
Sasa usione ni kitu cha ajabu, au usione ni kitu cha kuhangaika nacho kwamba mtu hajakutongoza au wanakwambia you are beautiful wewe uhamishe Milima na mabonde.

noooop!!
One can be both bold and beautiful
na vyote vikawepo tu mahala pake.
Bila maathiriano yoyote.
Sure thing!
Ila nashukuru mimi Mwanaume asee
 
Hiyo ni mbinu yetu mpya ya kutotongoza tunachofanya ni kuzidisha ukaribu sana mwisho wa ck utashangaa unachezea liboro fc na kuacha huwa tua acha ivo ivo kmy kmy
 
Ooh no haijaisha maana ain't fair enough to me.. I missed them

Heee Sema nyie namba C,B na A ndio mnaona sio ishuu.. ila hawa namba D sasa sidhani

You deserve and you still does kwakweli...
Nyie ndio mnasemaga "Yaani mimi unaniletea habari za kunipenda"😆

Sure thing!
Ila nashukuru mimi Mwanaume asee
😂😂😂😂😂😂😂😂😂.
 
Hahahaha ile kesi kwani haiishi lol.

Kabiiiisa.
Na we need to normalize this.
Girls shouldn't be kuona kutongozwa ni iiiiiiishu hivyo.
Babangu alizoea kuniita Princess.
Mamangu alikuwa anasifu miguu yangu sana.
So hakuna namna leo kuniita beautiful, sexy, na nini kutanifanya nione eeeeenh jamani huyu mwanaume kanipenda.
Nin tunalisha ubongo kuhusu mwonekano.
Kuhusu sisi ndani.
Me have very cute girls, na huwa nawaambia.
That you are beautiful, its obvious.
Sasa usione ni kitu cha ajabu, au usione ni kitu cha kuhangaika nacho kwamba mtu hajakutongoza au wanakwambia you are beautiful wewe uhamishe Milima na mabonde.

noooop!!
One can be both bold and beautiful
na vyote vikawepo tu mahala pake.
Bila maathiriano yoyote.
Amen
 
Jamii humu ni watu wanakushauri vizuri ila sio wote.

Ishu yangu ni hii nimepewa namba namaza nikakutane na mtu ofisini ili nikamilishe zoezi lake la kupata vyeti vyake vya kusafiria ila kiukweli nilikuwa sipendi kumfuata huyo mtu.

Sasa siku moja nikampigia tusettle kumeet ofisini ila huyo kijana tokea tuwe tunafanya hiyo business ananiangalia kimahaba ila haongei ananiangalia hadi naona aibu wadada wahapo ofisini wanakonyezana.

Hivi majuzi ilipokamilika hizo pasi nikaondoka ila hadi na leo namkumbuka ila tatizo lipo hivi mbona haongei? Yeye huniangalia tu kimahaba,? Hadi nakosa nguvu?

Amani? Nifanyaje anitoke?

Nimsahau hajaoa nasijaolewa.
Unaonaje ukimtongoze wewe? Siku hizi si mnasema haki sawa kwa wote?
 
Jamii humu ni watu wanakushauri vizuri ila sio wote.

Ishu yangu ni hii nimepewa namba namaza nikakutane na mtu ofisini ili nikamilishe zoezi lake la kupata vyeti vyake vya kusafiria ila kiukweli nilikuwa sipendi kumfuata huyo mtu.

Sasa siku moja nikampigia tusettle kumeet ofisini ila huyo kijana tokea tuwe tunafanya hiyo business ananiangalia kimahaba ila haongei ananiangalia hadi naona aibu wadada wahapo ofisini wanakonyezana.

Hivi majuzi ilipokamilika hizo pasi nikaondoka ila hadi na leo namkumbuka ila tatizo lipo hivi mbona haongei? Yeye huniangalia tu kimahaba,? Hadi nakosa nguvu?

Amani? Nifanyaje anitoke?

Nimsahau hajaoa nasijaolewa.
Sasa hapa umekaa kibinafsi zaidi. Maelezo yako yanaonesha hata wewe umefagilia mzigo huo lakini husemi kwenye maelezo. Unabaki kusema tu yeye ndo anakuangalia kimahaba.

Ushauri

Hakikisha uchi wako una harufu ile yenyewe ya uchi, yani, hauna mawaa. Kisha isikrachi kama wafanyavyo maDJ kwenye CD. Bila ya kuosha mkono nenda kamsalimu huyo bwana kwa mikono. Yani atakusumbua mpaka utakukuja kutuambia hapa sasa amezidi. Ukiwa jasiri unaweza pia kumnusisha huo mkono. Hapo sasa ndo ataweweseka balaaa
 
Jamii humu ni watu wanakushauri vizuri ila sio wote.

Ishu yangu ni hii nimepewa namba namaza nikakutane na mtu ofisini ili nikamilishe zoezi lake la kupata vyeti vyake vya kusafiria ila kiukweli nilikuwa sipendi kumfuata huyo mtu.

Sasa siku moja nikampigia tusettle kumeet ofisini ila huyo kijana tokea tuwe tunafanya hiyo business ananiangalia kimahaba ila haongei ananiangalia hadi naona aibu wadada wahapo ofisini wanakonyezana.

Hivi majuzi ilipokamilika hizo pasi nikaondoka ila hadi na leo namkumbuka ila tatizo lipo hivi mbona haongei? Yeye huniangalia tu kimahaba,? Hadi nakosa nguvu?

Amani? Nifanyaje anitoke?

Nimsahau hajaoa nasijaolewa.
Una hamu ya DUDU wewe! Hakuna kingine! Hivyo ukiwa karibu naye, uma uma vidole, ng'ata kucha, jichekeshe chekeshe, mguse mguse kwenye mabega/mikono yake, msifie mwambie Tate Mkuu wewe ni Hendisam!! Halafu iba mayai nyumbani, yakaange halafu umpelekee geto kwake, kamuazime flash au pc geto kwake kama anayo! Halafu njoo utoe mrejesho!!

Uwe tu makini, ili hiyo hamu yako isije ikakuletea madhara ya kushindwa kumaliza masomo yako ya A level. Hata kama ningekuwa mimi, bado ningekutamani tu kama una zile sifa nizipendazo. Hivyo hakuna cha ajabu hapo.
 
Jamii humu ni watu wanakushauri vizuri ila sio wote.

Ishu yangu ni hii nimepewa namba namaza nikakutane na mtu ofisini ili nikamilishe zoezi lake la kupata vyeti vyake vya kusafiria ila kiukweli nilikuwa sipendi kumfuata huyo mtu.

Sasa siku moja nikampigia tusettle kumeet ofisini ila huyo kijana tokea tuwe tunafanya hiyo business ananiangalia kimahaba ila haongei ananiangalia hadi naona aibu wadada wahapo ofisini wanakonyezana.

Hivi majuzi ilipokamilika hizo pasi nikaondoka ila hadi na leo namkumbuka ila tatizo lipo hivi mbona haongei? Yeye huniangalia tu kimahaba,? Hadi nakosa nguvu?

Amani? Nifanyaje anitoke?

Nimsahau hajaoa nasijaolewa.
inaonekana ww mwenyewe umempenda kwahyo funguka tu mwambie ukweli muendeleze libeneke
 
Ookey.
So utamwangalia kimahaba au?
Tukubaliane kabisa hapa hapa!
Sio utuletee thread ya alikuja nikaishia kumuuliza mji mkuu wa Somalia.
Jaman jaman [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] uwiiiiii
 
Kwani hapa umeandika nini hata sijaelewa.

Hakuna mtu ambae hana mpenzi we nae...we jichomeke Chomeke tu huko mshindi atatangazwa kanisani au msikitin.

Unaniudhi wewe
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Back
Top Bottom