Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
- Thread starter
- #221
Hapana mayeuMtongoze wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mayeuMtongoze wewe
6 au 9? Au 5 na 5Mie nipo wastani kiumbo watu wengi wanasema na shep namba 6
Imeisha hiyoInaelekea unataka akutongoze, kwanini usimualike mahali Kwa dinner ili kumshukuru kwa “msaada” wake kisha nawe ukaanza kumuangalia “kimahaba”?
Na mimi ngoja nikuandikie kimahabaaaNa wewe muangalie kimahaba.case closed.
Ila umeniuzi wewe Yani na wewe kumwangalia kimahaba umeshindwa kweli[emoji30]
Wametu choke... na kutu suffocate😂Kweli katiba mpya ije tu.
Kuna vipengele vya kuweka.
Ibara ziongezeke,vifungu na tafsiri mpya za kisheria ziwe wazi.
Kuna namna hawa watu wawili wametuaffect.
unakujua kwake? nianzie hapoSasa hasemi kitu chochote na siwezi muanza mimi naogopa
Hahahah hapo ni kumchinja tuHiyo situesheni kwa vijana wadogo ni ngumu sana, mdomo ukishakwama inakuwa ni kama mwamba hapa unawaza unaanzaje anzaje kupata hiyo sufuria🤣👇
View attachment 1851807
Wametu abuseWametu choke... na kutu suffocate😂
Potential mcharukoJamii humu ni watu wanakushauri vizuri ila sio wote.
Ishu yangu ni hii nimepewa namba namaza nikakutane na mtu ofisini ili nikamilishe zoezi lake la kupata vyeti vyake vya kusafiria ila kiukweli nilikuwa sipendi kumfuata huyo mtu.
Sasa siku moja nikampigia tusettle kumeet ofisini ila huyo kijana tokea tuwe tunafanya hiyo business ananiangalia kimahaba ila haongei ananiangalia hadi naona aibu wadada wahapo ofisini wanakonyezana.
Hivi majuzi ilipokamilika hizo pasi nikaondoka ila hadi na leo namkumbuka ila tatizo lipo hivi mbona haongei? Yeye huniangalia tu kimahaba,? Hadi nakosa nguvu?
Amani? Nifanyaje anitoke?
Nimsahau hajaoa nasijaolewa.
Ulishaambiwa macho yako makali, Sasa inahusianaje na kuangalia kimahaba hapo mkuu ?, binafsi nafahamu kuwa kuangalia kimahaba ni Ile ya macho kumchuzi [emoji23][emoji23] ..[emoji23][emoji23][emoji23] Mi yangu ya kawaida mkuu, ila nakumbuka chuo madem tukiwa discussion walikua wanasema nisiwaangalie nna macho makali.
Tukigonganisha macho manzi anasema vishu una macho makali wewe. Kuna uhusiano na hilo la kuangalia kimahaba wakuu?? Mana mi nlikua nawaangalia kawaida tu ..
Na wewe muangalie kimahaba.case closed.
Ila umeniuzi wewe Yani na wewe kumwangalia kimahaba umeshindwa kweli[emoji30]
Inaelekea unataka akutongoze, kwanini usimualike mahali Kwa dinner ili kumshukuru kwa “msaada” wake kisha nawe ukaanza kumuangalia “kimahaba”?
Elimu haizeeki tulishen hizo hizo Bhangi.halafu nasikia bangi za zamani ni tamu sanaAhahhaahahaahahahahahhahahahhahaha.
Sisi wengine acha tu Katiba mpya ije.
Kuna namna naona navozidi kuzeeka na bhangi zinazidi.
Mi sredi kama hizi si inatakiwa niwe na busara nashauri kuhusu Ukimwi, mimba zisizotarajiwa, mila na desturi za Kiafrika.
Kwenda motoni, mambo ya uasherati sio mazuri.
Ila ona nayoandika!
Mxxxxxxxxxiiie
Mpe huyoEndelea kujuta na wala hujakumbatiwa dada.
Wenzako tulikuwa tunajuta wakati tunavaa gagulo.
Sifa wepesi.[emoji23][emoji23][emoji23]chapuo
wa unacheza na moto wallahiImagine yangu ilikutwa kwenye daftari la mwalimu wa Bookeeping.
Na nilikuwa namkataa, na akamjua na aliyeandika.
Na somo lake nilikuwa naliweza ila nikagoma kulisoma.
Hehehhehehhehehehhee
Nimefanyaje tena jamani 😁😁Chakorii bhana [emoji28][emoji28][emoji28]
Ni kweli Mwanamke asipokua hatongozwi na wanaume anakua desperate??Wametu abuse
We have a case to file.
Claims to be settled with.
We need a lawyer.
Nasubiri kwa hamu mno.fanya chap Sasa na wewe lohNa mimi ngoja nikuandikie kimahabaaa
Sio mamcho ya kumgali😁😁Ulishaambiwa macho yako makali, Sasa inahusianaje na kuangalia kimahaba hapo mkuu ?, binafsi nafahamu kuwa kuangalia kimahaba ni Ile ya macho kumchuzi [emoji23][emoji23] ..
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app